ukiachana na yule mama aliyepigwa shaba akikimbia, kuna story ya jamaa mwimgine inasambaa-imeniumiza.
Kuna bwana mmoja, kazi yake ni mlinzi. Inaonekana bwana huyu aliondoka kwenda shift zake ya kazi tarehe 28/10 jioni. Amerudi 31/10. Amekutana na kitu ambacho hauwezi hata kumuombea adui yako...