maktaba

  1. Maktaba Imepokea Vitabu Katika Historia ya Iran, Misri na Marekani

    https://www.facebook.com/share/p/1CiWRBfewf/
  2. Kutoka Maktaba: Picha Adimu Hazikupata Kuwepo za Historia ya Uhuru wa Tanganyika

    Mkutano wa ndani wa TANU nyumbani kwa Ali Msham Mtaa wa Jaribu Magomeni Mapipa miaka ya mwanzoni 1950 Fatilia ukurusa huu In Shaa Allah nitaweka picha zaidi kila nipatapo nafasi. Tumia picha upendavyo hazina hati miliki. Picha hii ilipigwa 1942 wakati Abdul Sykes alipokuja Dar es Salaam...
  3. TBC Watembelea Maktaba Kutafuta Historia ya Mwami Theresa Ntare

    https://youtu.be/-rxfkdYqDjM?si=xaqGeZoMg-LGLW6U
  4. Maktaba Yapokea Kitabu Cha Historia ya Tippu Tip Kutoka kwa Hamisi Delgado

    MAKTABA YAPOKEA KITABU CHA TIPPU TIP KUTOKA KWA HAMISI DELGADO Leo nimepokea kitabu, "Tippu Tip: Ivory, Slavery and Discovery," kutoka kwa rafiki yangu Hamisi Delgado. Nimebahatika kuingia ndani ya nyumba ya Tip Tippu Mji Mkongwe Zanzibar na nje ya hii nyumba yake ndipo lilipo kaburi lake...
  5. Maktaba yapokea Kitabu cha Vassanji kutoka Marekani

    MAKTABA YAPOKEA KITABU CHA VASSANJI KUTOKA MAREKANI Kwa wale waliokulia Kariakoo ya miaka ile akisoma kitabu chochote cha Vassanji ataiona ile Kariakoo ya enzi zetu na yote yaliyokuwapo miaka ile. Niliijua kalamu ya Vassanji kwa mara ya kwanza Amsterdam nyumbani kwa dada yangu marehemu Haki...
  6. Salam Abu Sharar Balozi wa Palestine atembelea Maktaba

  7. Vyombo Vya Habari Vya CCM Maktaba mazungumzo Historia ya Muungano

    https://youtu.be/hzc1zFNRBnk?si=pKH9rskM6ijwPFzv
  8. Mwinyi Mangara Atembelea Maktaba

    https://youtu.be/2lbxEG81HcU?si=QQO7X8zivICICcFX
  9. Maktaba yapokea kitabu cha Michael Moore

    MAKTABA YAPOKEA KITABU CHA MICHAEL MOORE KUTOKA MBALI Rafiki yangu kipenzi leo adhuhuri kaniletea kitabu cha Michael Moore. Huyu ndugu yangu ni mpenzi wa Maktaba hii na kaitunuku vitabu vingi. Kwa wale wenzangu mie wasiomjua Michael Moore hakuna tatizo waingie kwa Prof. Google watapata habari...
  10. Mheshimiwa Kassim Amari Mbaraka Mbunge wa Ngamiani Tanga Atembelea Maktaba

    MHESHIMIWA KASSIM AMARI MBARAKA MBUNGE WA TANGA MJINI ATEMBELEA MAKTABA Mheshimiwa Kassim Makbel Mbunge wa Ngamiani Tanga leo ametembelea Maktaba na kuizawadia kitabu kizuri sana tena cha nyakati hizi tulizonazo. Mheshimiwa Kassim Amari Mbaraka kaizawadia Maktaba kitabu cha Ayatullahi Udhma...
  11. A

    KERO Wahitimu wa Industrial Engineering Management ya Mzumbe University tunakosa ajira

    Habari, Kwa wahitimu wa course ya Industrial Engineering Management inayotolewa (Mzumbe University) imekuwa ngumu kupata kazi Serikalini. Kimsingi sisi ni wasimamizi wa viwanda na kuna Wizara ya Viwanda na Biashara ambao wana Idara ya Viwanda wanaweza kutuajiri kwa taalum yetu kufanya...
  12. Maktaba: Mazungumzo na Muhidin Issa Michuzi

    https://youtu.be/_6FtBWyaQ-w?si=CfeqLGmWTZcyH5zI
  13. A

    KERO Udhalilishaji kwa Watumishi na Nidhamu Mbovu ya Msimamizi wa Maktaba ya Mkoa Iringa iliyopo chini ya TLSB

    Mimi ni Mwanataaluma na mdau wa Maktaba ya Mkoa Iringa, pia ni Lecturer katika moja ya Chuo hapa Iringa Mjini. Nimekuwa nikitumia Maktaba ya Mkoa kwa muda mrefu sasa, lakini mimi pamoja na wadau wengine wa Maktaba tumekuwa tukishuhudia mara kwa mara udhalilishaji wa dhahiri unaofanywa na...
  14. E

    Ludewa kujengewa maktaba 45 kwa shule za msingi

    Wilaya ya Ludewa mkoani Njombe imefaidika na mpango madhubuti wa maktaba za shule unaoanza katika shule za msingi 45 wilayani humo kwa lengo la kuboresha upatikanaji wa vitabu na vifaa vya kujifunzia vinavyolingana na mtaala mpya wa Taifa. Mkurugenzi Mtendaji wa Uwezo Tanzania, Baraka...
  15. Ali Saleh Alberto alipoingia maktaba na kitabu mkononi - Zanzibari hustler

    ALBERTO ATEMBELEA MAKTABA NA KITABU "ZANZIBARI HUSTLER" MKONONI Mbele ya Ali Saleh mimi sinyanyui kalamu yangu kuandika kitu. Isome kalamu inayokata kama wembe mpya: "Leo nilifika kwa mwana historia na mwandishi maarufu na sahiba wangu Sk Muhammed Said mjini Dar. Pamoja na mazumgumzo maana...
  16. Channel Ten Maktaba: Historia ya African Association 1929, TANU 1954 hadi CCM 1977

    https://youtu.be/ewcNFGSVWAw?si=DKrusLtx0EUpYPa5
  17. Kutoka Maktaba: Mstaafu Kikwete alipoomba aachwe apumzike

    Hii ilikuwa mwaka 2016 wakati wa zama za JPM ila kwasasa ni kama anaomba aendelee na madaraka!! Nini kimemkuta mstaafu JK?
  18. KERO Maktaba ya Mkoa wa Lindi mmh! Ni Mungu tu ndio anajua wanaoitumia wanajisikiaje, ni mbovu na si salama

    Juzi kati nilienda Mkoani Lindi kumtembelea ndugu yangu wakati huu wa likizo, kuna jambo nililikuta huko na kuniacha mdomo wazi. Wenyeji wangu waliniambia kwa kuwa wao wako bize walilazimika kwenda kuwatafutia uanchama Watoto wao kwenye Maktaba ya Mkoa ili wapate nafasi ya kujisomea, lakini...
  19. Clouds Maktaba Kutafuta Chanzo Cha Harakati za Uhuru

    EMMANUEL SHONDE WA CLOUDS AMEFIKA MAKTABA KUTAFITI CHANZO CHA HARAKATI ZA UHURU WA TANGANYIKA Kijana Emmanuel wa Clouds leo asubuhi kaniweka kitako akinipiga maswali na kunihoji kuhusu historia ya kupigania uhuru wa Tanganyika. Emmanuel kasukumwa kuja kunihoji baada ya kusoma kitabu cha Abdul...
  20. Historia ya Bichwa Komwe: Maktaba ya Jamiiforums

    Anaandika BICHWA KOMWE ✍️✍️✍️ Kwa jina naitwa BICHWA KOMWE, mimi ni mtoto pekee katika familia ya kitajiri. Baba yangu ni mzaliwa wa mtwara, mmakonde wa chitoholi. Mama yangu ni mmwera. Mama halisi wa Kiafrika. Mimi ni Binti pekee katika familia yetu, ambapo, nilipofikisha umri wa miaka 16...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…