MAMA SASA NIMEKUA, ACHA KUCHEZA VIGODORO HUKU UNATIKIZA MAKALIO.
Anàandika, Robert Heriel
Mtibeli
Nimechoka. Acha niseme tuu. Niwe huru. Mama gani huyu, Bora kutokuwa na mama kuliko kuwa na Mama wa hovyo kama mama huyu. Oooh! Mama ni Mama, sijui Taikon unalaana, mmelogwa ninyi sio bure.
Ni...