Aliyekuwa Waziri wa Rasilimali za Mafuta wa Nigeria, Diezani Alison-Madueke, amefikishwa mahakamani jijini London akikabiliwa na tuhuma za kupokea rushwa zenye thamani ya mamilioni ya pauni kwa njia ya fedha taslimu, mali za kifahari na matumizi ya majengo ya gharama kubwa kutoka kwa...
Kama kweli wanaharakati wanaitakia mema Tanzania basi hii ingekuwa agenda yao ya msingi sana kuanzia ili kuleta mapinduzi ya kweli mchini.
Wangeandamana magari ya kifahari ya serikali yauzwe na maslahi ya viongozi na wanasiasa yapunguzwe ili kuleta usawa na unafuu kwa wote.
Hayo mengine...
Unawahi kufungua Instagram asubuhi tu, bado upo kitandani, halafu kitu cha kwanza unakutana nacho ni mtu kaweka picha ya breakfast ya kifahari – croissant, avocado toast, na kahawa ya Starbucks… huku wewe unatafuna mkate wa jana na chai ya majani? 😅
Kila siku timeline inajaa na watu wanaoishi...
Maslahi binafsi: Mimi ni mnazi wa magari.. Hivyo binafsi nampongeza Lugumi kuwa na collection ya maana kwa level zetu za kibongo.. Pili sio mtu wa show off za mitandaoni..
Lugumi anaweza asiwe tajiri sana lakini ameweza pengine kuziishi ndoto zake
Utajiri una level zake
Utajiri ngazi ya...
Chadema jaribuni kupunguza matumizi ya anasa ili mjenge chama;
1: Mikutano ya kamati kuu inafanyika kwenye hotel zenye hadhi ya nyota tano.
2: Viongozi wakuu kutembelea magari ya anasa.
3: Kipngozi mkuu kuomba michango watanzania ili anunue gari ya anasa
4:Viongozi wa chama kukesho mitandaoni...
Nakuonya ewe kijana, kamwe usioe Mwanamke ambae kwao ni maskini na hana kazi yoyote lakini anaishi maisha ya kifahari na matanuzi.
Wengi wao ni wauza Mbususu wa kimya kimya.
MLIOAMUA KUOA CHUKUENI DARASA HILO KUTOKA KWA MJANJA M1.
Note: Mjanja M1 kwasasa napatikana Vienna Austria 🇦🇹
Kwa sasa chukulia makundi haya mawili, kundi la kwanza ukiwaweka watu wa aina ya Kitenge, Mwijaku, Baba Levo na mwanasiasa mmoja, na kundi la pili ukawaweka wasomi wenye digirii na ambao hawajibia mitihani au kununua vyeti watatu tena wenye HIGH CLASS za vyuo vikuu nchini.
Je, kundi gani kati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.