maharagwe

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Hongera Mama Samia kwa kuvunja genge la Wapigaji, Maharagwe ya January na chemba ya Yakobo

    Iko hivi miradi yote ya upigaji ya Tanesico alikuwa anaifanya Maharagwe na January Kipara,mikataba hiyo ilikuwa inasainiwa kwenye chemba ya Bwana Yakobo,huyu Yakobo ni rafiki sana wa Mzee Kinena,mambo yake mengi ya kisheria yanafanywa kwenye chemba ya Bwana Yakubo, Kwa mara nyingine Mama...
  2. Maharagwe mazuri Sana "Karianzee"

    Habari za uzima Ndugu zangu , Nina Maharagwe mazuri Sana yanayolimwa Sana Kilimanjaro , yanaitwa "Karianzee" ni Quality Sana kuyashinda hata Maharagwe ya Njano ila kutokana na kutojulikana watu wengi wamekuwa hawayanunui. Sina Imani kuwa ni wote hawayajui ila Kuna watu watakuwa wanayajua na...
  3. RC Homera: Kuleni Maharagwe aina ya Jesca muongeze nguvu za kiume

    RC wa Mbeya, Juma Homera amewashauri wanaume wenye matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume kuacha kutumia dawa za kienyeji kuongeza nguvu hizo akidai dawa hizo zina madhara na badala yake watumie maharagwe aina ya Jesca
  4. Ulaji wa Maharagwe na tatizo la kujaa kwa tumbo/kuuma

    Jamani nipo Huku kwa wangoni kjiji fulani kama week plus, ila kutokana na mazingira inanibidi nitumie maharagwe everyday kama mboga kuu kwa haya maeneo kiukweli haziishi Siku mbili lazima nipige maharagwe. Sasa tatizo najiona tumbo limeaanza kujaa gas sometime linauma hasa nyakati za usiku...
  5. Unaweza kuugua au kufa ukila maharagwe mekundu

    Kwa ujumla huwa tunasema kuwa maharage ni mazuri kwa afya, lakini kuna aina ya maharage kama hayataandaliwa vizuri yanaweza kukufanya uugue ukila. Maharage mekundu ndio aina ya maharage ambayo yanatajwa kuwa na ladha nzuri, yenye virutubishi, protini, vitamini na madini. Lakini kwa upande...
  6. Kilimo cha Maharage: Mbinu za kulima, Ushauri na Masoko yake

    Maharage ni zao jamii ya mikunde ambalo hulimwa kwa ajili ya kuliwa kama mboga au futari linaweza kama maharage mabichi au maharage makavu. Pia majani yake mni chakula cha mifugo na yanatumika pia kama mboga kwa binadamu. Katika ekari moja unaweza kupata Kg 600 hadi 1200 za maharage. Maharage...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…