Nimefika hapa chato nikaona kagest chakavu kameandikwa Magufuli lodge, yaani nmeingia ndani naambiwa ni kakwake, ka enzi akiwa mwalimu. Nikauliza huduma ya kulala naambiwa Kako kwa Ajili ya shoo time ila kana kunguni wa kutosha
Nashauri familia kaboeni jaman kanachafua Jina lake na kwa huduma...
Nimefika mwanza siku ya NNE sioni taa za daraja la furahisha je zilikufa na Magufuli?
Je kigamboni Bado zinawaka?
Hata kama hampendi magu tunzeni vitu vyake viwe kama alivyovijnga
Neno la Mungu linasema kwamba ukimtendea mwenzako ubaya utalipwa hapa hapa duniani. Huu ni ukweli wa wazi na ambao huwezi kuukwepa kwa kuwa umefungamanishwa na neno la Mungu.
Mwaka 2017 mheshimwa ndugu Tundu Antipas Mugway Lissu alinusurika kuuawa na watu wasiojulikana mchana kweupe mbele ya...
Rais Samia alipoingia tu madarakani 19 March 2021 alianza taratibu kuwaondoa Wakuu waVyombo vya Ulinzi na Usalama na kuweka wakwake.
Ndio, wengine walikuwa washakaribia kustaafu kama Jenerali Mabeyo, ila wengine waliondolewa kabla ya kustaafu kwao kama vile DGIS Diwani Athumani pamoja na IGP...
Ukikipata kitu kwa haki basi nafsi yako hufurahi na kukupa maisha marefu na Ukikipata kitu kwa dhuruma nafsi yako hukusuta mpaka mauti
Muangalie Magufuli alivyokuwa anacheka na watu kutoka moyoni sababu ushindi ulikuwa ni haki yake na watu walimpenda,kinyume chake ngoja nikae kimya
Nguvu yake ilianza from the grassroots (wananchi).
Alikuwa ni mtu wa watu. Hakupenda mtu aonewe bila sababu yoyote.
Ndiyo maana pamoja na kuwanyali mabeberu, aliweza kutoboa katika uongozi wake.
Na siku zote ukitaka utoboe kwenye uongozi wa nchi, basi hakikisha wananchi wanakuelewa kwanza...
..sikiliza tamko hapo chini na tuhuma kwamba AG wa kipindi cha Rais Magufuli, Prof. Kilangi, aliwahi kuwa Padri.
https://www.youtube.com/watch?v=RhbFPe8Z3yU
Haina salamu hiyo.
1. Wanaharati walituaminisha kuwa Magufuli ni zaidi ya Shetani
2. Wanaharakati walituaminisha kuwa Magufuli ndio chanzo Cha matatizo
3. Wanaharakati walituhamasisha Magufuli ni bonge la fisadi .
4. Wanaharakati walisema Magufuli ni muuaji mkubwa katili sana.
Magufuli...
Yaan nyinyi kama mlimteka Polepole mkadhani ndio mmezima Jinsi zenu, kimewalamba !!!!.
Jiandaeni !! Sisi tumeamua kuisafisha Nchi hii kuanzia Mizizi yake !!.
Sio mama samia tu na mwingine atakayekuja atapata tabu sana kuliongoza TAIFA 🇹🇿 kwa sababu Magufuli amewaonesha watanzania kwamba inawezekana kuyafanya mambo mengi makubwa ndani ya taifa, tena ni mambo ambayo watanzania hawakuwahi kuyawaza kwamba yanawezekana
MAGUFULI amewaamsha wananchi...
Alikwenda Washington DC. Akaonana na dada wa taifa. Tukawa na matumaini makubwa. Eti anaifungua nchi. Na kuachana na yote ya Magufuli. Leo kiko wapi? Mpaka wanawindana kukamatana 😂
Kipindi cha utawala wa Hayati Rais John Pombe Magufuli (Novemba 2015 – Machi 2021), Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) lilitoa matamko na waraka kulaani mauaji, utekaji nyara, kutoweka kwa watu, na kutoa maonyo makali kuhusu ukiukaji wa haki za binadamu, hofu nchini, na hatari ya...
Huyu mzee pamoja na mapungufu yake yote akuuza rasilimli za nchi ili kuendesha miradi yake Aliweza kubana matumizi kwa kuondoka watumishi hewa ambao walikua wanajilipa mamilioni ya pesa akabana...
Kwa mengi mema na mazuri aliyofanya katika nchi yetu hii aliyekuwa Rais wetu Magufuli (RIP) ukilinganisha na uchache wa makosa na mapungufu ya kibinadamu, hakusitahili kusemwa na kutukanwa kwa kiwango ambacho wachache walimwandama
Kwa niaba ya Watanzania walio wengi, Nachukua nafasi hii kuomba...
Utawala wa awamu ya 5 wa Mh. Magufuli ulijaa futuhi, propaganda na ukatili wa kila aina.
Alipambwa na vyombo vyote vya habari kwa hofu kuu. Mpaka wakaiita serikali yake ni serikali ya viwanda ilhali ndiyo serikali iliyoua channel ya ukuaji wa viwanda. Upotevu wa fedha usio wa kawaida ulioonekana...
Wakuu,
Yani katika vitu Magufuli alitukosea sana kama watanzania ni kuua upinzani kitu ambacho kinafanywa kwa muendelezo mpaka sasa.
Kitu kingine ni kumteua Samuya kama makamu wake asee hapa alitukosea mnooo.
Alikua Rais mzuri aliyependwa na kila mtu lakini katika uchaguzi mkuu wa 2020...
Kwa yanayoendelea nchini, mauaji ya wazi kwa raia na vitendo vya utekaji bila Rais kukemea - ni kweli Magufuli alikufa kifo cha kawaida?
Yaani, inatafakarisha sana:
1) Aliyetutangazia kifo cha Hayati Magufuli ni SAMIA.
2) Aliyesema Magufuli alikufa kwa COVID (Hakukuwa na taarifa ya kina juu...
Mgombea wa kujiteua wa CCM, Samia Suluhu Hassan anahitaji msaada tena wa bure na haraka. Tokana na kuabudiwa kichawa na kizwazwa, anajiona kama muungu mtu.
Ni ajabu hakujifunza kwa muungu wake John Pombe Magufuli aliyetenda makufuru hadi, watu tuliodhani wasomi na wazima, bila aibu wala woga...
Jesca Magufuli ulifanya mahojiano na Millard Ayo na katika mahojiano hayo ulikiri kwamba familia nzima ya hayati John Magufuli haikufahamu alipo hadi siku ilipotangazwa na raisi Samia kwamba John Magufuli amefariki.
Baadae tumeona na kusikia kwamba Jesca Magufuli umepitishwa kugombea nafasi za...
Niaje waungwana
Siku ya leo ningependa kuangazia wizara 2 ambazo ni ngumu kiutendaji, na zinahitaji mtu aina ya Magufuli kuziongoza ili zilete ufanisi, au matokeo chanya kwa wananchi na serikali kwa ujumla.
Wizara hizo ni Wizara ya Ujenzi inayoongozwa na Mheshimiwa Abdallah Ulega. Na Wizara ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.