magu

Gilbert "Magu" Luján (October 16, 1940 – July 24, 2011) was a well known and influential Chicano sculptor, muralist and painter. He founded the famous Chicano collective Los Four that consisted of artists Carlos Almaraz, Beto de la Rocha (Father of former Rage Against the Machine frontman Zack de la Rocha), Frank Romero and himself. In 1974, Judithe Hernández became the "fifth" and only female member of Los Four.
Luján was born in French Camp, California, near Stockton, to parents of Mexican and indigenous ancestry from West Texas. Six months later, his family relocated to East Los Angeles, California, where he spent his childhood and adolescence, except for some time in Guadalajara in 1944 or 1945. As a young teenager, Luján was heavily influenced by the Afro-American music scene in Los Angeles, for instance listening to Johnny Ace and Mary Wells. He went to El Monte High School, class of 1958.

View More On Wikipedia.org
  1. Updates:Vurugu zaendelea Tena magu Kwa siku ya pili

    Sakata la wananchi wa Magu kurushia mawe magari ya abiria yanayoingia na kutoka Barabara ya Mwanza-Musoma na zile Barabara ndogo ndogo limeendelea leo ambapo Vurugu za Leo zimekuwa maradufu ukilinganisha na zile za Jana. Madai ya wananchi ni kwamba Mkuu wa mkoa aliwaahidi kufika na kuongea nao...
  2. DOKEZO Mabomu ya machozi yanarindima Magu mjini

    Habarini wanajamvi, Leo kuna gari Moja ndogo ya abiria (hiace)imegonga watoto wawili wa shule na kuwaua karibu na sheli moja hivi. Sasa kuanzia asubuhi wananzengo wamefunga Barabara zote kuu hasa Ile ya Mwanza-Musoma. Gari linalolazimisha kupita linapigwa mawe balaa. Magari mengi yashaharibiwa...
  3. Z

    Lissu asitake kutuaminisha kuwa Magu alikuwa sahihi kuto mpa pole

    Kwa jinsi Lissu anavyoendelea vibaya kuutumia uhuru alionao kikatiba katika mikutano tofauti, inakaribia sana kwetu waTZ kuamini kuwa yaliyomtokea wakati wa Magufuli pengine haikuwa makosa. Mpaka sasa bado waTZ tunamuonea huruma kwa yaliyotomtokea wakati ule, ananafasi yakujisahihisha. Kauli...
  4. Dkt. Mwakyembe Makavu live sessions

    Tujikumbukushe Mwakyembe alipokua anawapa Ngumbaru wenzetu makavu live kuhusu elimu yake ya PhD bila kupindisha. Dkt. tutakukumbuka daima
  5. Vipimo "DNA" Mtoto "Aliyefufuka", kuokotwa Porini Vyaibua Mapya

    Vipimo vya vinasaba (DNA) vya mwili wa mtoto Mabirika Wilson (8), aliyefariki dunia Aprili 16 mwaka huu wilayani Magu, pamoja vya wazazi wake, vimeonesha ni mtoto wao. Uchunguzi huo unapingana na madai ya awali kwamba mtoto huyo amekutwa akiwa hai katika wilaya nyingine ya Kwimba mkoani hapo...
  6. B

    Magu: Watoto wawili wauawa na fisi wakienda shule

    Haya yanatokea leo karne ya 21. Tunaweza vipi kuwa na huruma na wezi na wabadhirifu au matumizi mabaya (yasiyokuwa na ridhaa ya watu) ya mali za umma? -------- Mwanza. Wanafunzi wawili wa darasa la kwanza katika shule ya msingi Ilumya wilaya ya Magu mkoani Mwanza wamefariki katika matukio...
  7. Fisi waliopora Mtoto Wilayani Magu, wakutwa na hirizi

    Mamlaka ya usimamizi wa Wanyamapori TAWA mkoani Mwanza imefanikisha kuua fisi wawili walioripotiwa kupora mtoto na kumjeruhi katika kijiji cha Nsola kata ya Nsola Wilaya ya Magu Mkoa wa Mwanza. Askari wa TAWA walifanikiwa kuwaua fisi hao huku mmoja akikutwa na hirizi katika mkia wake kama...
  8. DOKEZO Magu S/Msingi: Biashara kazini saa za kazi kwa walimu

    JMT; Kazi iendelee. Nilishaandika mara kadhaa kuhusu udhaifu wa uongozi wa Shule ya Msingi Magu; nikiomba uongozi wa Elimu Msingi (W) urekebishe hali hiyo, lakini kila uchao inakuwa kama heri ya jana. Sasa hivi baadhi ya waalimu wanafanya biashara shuleni hapo (wao wenyewe), tena wakati wa...
  9. Video: Dkt. Bashiru aliletwa CCM na Hayati Magufuli; Asilaumiwe kwa aliyotenda

    Kwenye video Hayati Magufuli anasema alimtoa Bashiru Ally CUF na kumleta CCM, hivyo basi wanaomlaumu Bashiru hawamtendei haki. Yeye siyo mwanachama wao. Magufuli aliharibu sana misingi ya CCM
  10. Afisa Elimu Msingi (W) Magu, rekebisha uongozi wa Shule ya Msingi Magu

    Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kazi iendelee, sawa; moja kwa moja kwenye Mada. DEO Msingi (W) Magu, napenda kukujulisha kwamba, uongozi wa Shule ya Msingi Magu umepwaya, kiasi kwamba mshikamano wa waalimu shuleni hapo haupo; waalimu wamegawanywa na Mwalimu Mkuu EZEKIEL NJALLA; kiasi kwamba...
  11. DOKEZO Nyagabona ni Afisa Elimu Taaluma (W) mla rushwa wilayani Magu

    Ingekuwa ni amri yangu; huyu Afisa Elimu Taaluma (W) Magu angeondolewa mara moja kwa sababu ni mla rushwa aliyekithiri na ayependelea waalimu wa kabila lake (Wajita). Amekula fedha kwa walimu wengi sana aliowaahidi kuwapa ualimu mkuu (hao nao wanastahili kushughulikiwa kwa sababu kutoa rushwa...
  12. Wazungu bado ni mabeberu na wanyonyaji. Ndo maana Magu aliwachana live

    Hizi ndo akili za wazungu. Kwa nini tusiwaite mabeberu wao wanaamini Bado wanatutawala. Napenda hii movie ingechezwa kipindi cha uncle tungeona rangi zote. Ujinga huu huu ndo uliochelwesha bwawa la nyerere Kwa miaka nenda Rudi bila magu ingekuwa historia Hadi Leo. Tunahitaji watawala jasiri...
  13. D

    Nahitaji usafiri wa kusafirisha mizigo(vitu vya nyumbani) kutoka Magu Mwanza kwenda Morogoro

    Wakuu naomba koneksheni ya kuweza kusafirisha mizigo ya nyumbani kutoka Magu Mwanza kwenda Morogoro. So nahitaji gari ya mizigo inayopita hapa Magu kuelekea Morogoro au Dar..
  14. Naibu Waziri Masanja akagua mradi wa Kitalu cha Miche ya Miti Wilayani Magu

    Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja (Mb) amekagua mradi wa kitalu cha miche ya miti wenye thamani ya shilingi milioni 43 unaosimamiwa na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) katika Wilaya ya Magu Mkoani Mwanza. Akizungumza leo Agosti 21, 2022 katika ziara, Masanja amewataka...
  15. Bandari ya Dar es Salaam kashapewa mwarabu kuiendesha. RIP Magufuli, Watanzania tukakukumbuka daima

    Jamani kwema Hayati Magufuli alikuwa ana mapungufu mengi ila kwenye vitu vinavyohusu maslahi ya taifa alikuwa mkali kupitiliza, alijitahidi kuboresha miondombinu kila idara majini (bandari zote), nchi kavu na angani Masikini Jiwe ameondoka watu wanaanza kugawana na wajomba zake kweli 😢😢😢😢...
  16. P

    Kero: Wasafirishaji wa mizigo kupakilia mizigo kwenye makazi ya watu Kariakoo

    Msingi wa shida zote ni serikali za mitaa, na hizi karibu zote zilipita bila kupingwa, Sasa hapa Kariakoo misheni kota yaani utafikiri uko sijui kwenye viwanda vya kutengezea malori, yaani mitaa yote kuanzia Ndanda hadi Muheza, Narun'gombe, Magira, Masasi na Aggrey street hapajulikani ni jiji...
  17. Wilaya ya Magu majina ya anuani za makazi yamekosewa, rekebisheni

    Hivi vibao vya anuani za makazi mmevichanganya. Barabara ya kutoka Mwanza kwenda Musoma inaitwa NYERERE ROAD. Ninyi mmeiita MUSOMA ROAD. Maeneo ya Kisesa wameandika inaitwa NYERERE ROAD hivyo hivyo na wilaya ya Busega wameiita NYERERE ROAD. Hata Mwanza mjini barabara hii ilipoanzia...
  18. P

    Kama Magufuli angekuwepo tusingechezewa hivi na Tigo

    Umeme umekata ghafla, giza, joto unaamua kununua umeme kupitia tigo, 30,000/= cash, unasubiriiiii weeee hakuna token zinatumwa, unawapigia unasikilizishwa mzikiiii weeee nusu saa ndio wanapokea, unawaeleza shida yako kwa utulivu ili angalau waKusomee hizo token uendelee kufanya biashara ni usiku...
  19. U

    Ilikuwa rahisi kwa CHADEMA kuchukua nchi wakati wa Magufuli, huyu wa sasa amebow kwa mabeberu they will protect her position

    Kama alivyokuwa Mobutu Seseko na Rais wengine wa Afrika, Wazungu ukiwapa access na resource zako, ukifanya vyote wanavyotaka kamwe hawatakutoa madarakani, hii ndiyo Afrika ilivyo. Sie tunajua Magufuli alivyopambana na Mabeberu na kuwapiga pliers kwenye interest zao, hivyo hawakutaka Magu...
  20. Magu: Wavunja makaburi na kuiba misalaba, nondo

    Mkuu wa Wilaya ya Magu mkoani Mwanza, Salum Kalli amekerwa na vitendo vya baadhi ya wananchi kuvunja makaburi na kutoa vyuma chakavu kama nondo na waya na kwenda kuuza. Akiwa katika zoezi la Uzinduzi wa Anwani ya makazi Februari 20, 2022, DC Kalli ameagiza kusakwa na kutiwa nguvuni kwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…