Kwa kifupi kuabudu ni haki ya kikatiba kwa kila mtanzania.
Walemavu wakusikia kama walivyo alemavu wengine wamesahaulika kabisa sehemu za ibada kama misikitini,makanisani.hata katika baadhi ya makusanyiko ya kijamii
Walemavu wa kusikia wanakutana na changamoto kadhaa katika maeneo ya ibada...