madarakani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JamiiForums Tanzania Kenani Kihongosi: CCM haiwezi kuondoka Madarakani

    "CCM haina mshindani kwenye siasa. Tunashindana na wote ambao wamesajiliwa kisheria. Vyama Vya siasa vinasajukiwa na msajili yoyote aliyesajiliwa sisi wote ni mshindani wetu wa kisiasa. Na sioni Chama cha Mapinduzi CCM kikiondolewa madarakani. "Unajua Watanzania wanajua wametoka wapi na CCM. Na...
  2. JamiiForums Tanzania Kwa hali ilivyo ndani ya CHADEMA, huenda John Heche akajiuzulu kabla ya kubanduliwa madarakani na mkutano wa baraza kuu la chadema taifa mwezi ujao..

    Kwasababu, mpaka sasa uhakika wa makamu mwenyekiti wa chadema taifa John Heche kuvuliwa nyadhifa zote za uongozi ndani ya chadema taifa na Baraza kuu la chadema taifa September 15 ni 100%. Pendekezo la azimio la kumbanudua John Heche madarakani linaungwa mkono na asilimia kubwa ya wajumbe wa...
  3. JamiiForums Tanzania Sijali CCM itakaa madarakani muda gani

    Kwangu mimi binafsi sijali CCM itakaa madarakani muda gani. Nimefika hatua sioni namna CCM itatoka madarakani kwa njia ya amani itakuwa njia mbaya sana wao kutolewa madarakani. Sasa kama hawawezi kutolewa madarakani basi bado wanacho chumba cha kujifanyia reforms. Sisi sio nchi ya kwanza...
  4. T

    JamiiForums Tanzania CCM Sio tena chama cha siasa, tusijidangaye kuwa itatoka madarakani kwa amani

    CCM kama chama cha siasa kilishakufa siku nyingi sana. Sasa hivi ni genge wa wahuni wamejivika mamvuli wa chama cha siasa. Lakini ni typical group la wahuni na wezi. Sijawahi kuona mwizi ana ambiwa tu acha kuiba na akaacha. CCM ni wezi hawako tayari kuacha wizi kwa mazungumzo. Hiyo tusahau...
  5. JamiiForums Tanzania Anaweza kuondolewa Madarakani, Iwapo...

    Kuna Ugumu ndio Maana anajiamini atakaa hadi 2030. Ingawa Inawezekana akaondolewa madarakani. Iwapo amefanya vitendo vinavyovunja Katiba au Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma. Pale anaposhindwa au kuacha kutekeleza kazi na majukumu ya kiti chake. Kama amepatikana na hatia ya kosa la jinai...
  6. JamiiForums Tanzania Mwendesha Mashtaka Mkuu wa ICC aondolewa madarakani kwa kashfa ya Ngono

    Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC), Karim Khan ambaye pia ni Mtaalamu wa masuala ya Ngono ameondolewa madarakani kwa kujihusisha na uhusiano wa kimapenzi na mtumishi ngazi ya chini wa ICC, na kutaka kumzuia kuwasilisha malalamiko yake. Khan ambaye ni mwendesha...
  7. JamiiForums Tanzania Utamkumbuka Samia kwa lipi akitoka madarakani?

    Sijatumia neno kustaafu maana ya Mungu mengi, Rais utoka madarakani ama kwa kumaliza muda wake, Kupinduliwa, au kupatwa na Mauti Je Una lipi la kumkumbuka ? Britanicca
  8. JamiiForums Tanzania Nimeona yote; CCM haitaondoka madarakani kwa kura

    Kwa uwekezaji na mali inazomiliki CCM nchi hii hakuna siku hiki chama kitakubali kuondoa madarakani kwa kura katika uchaguzi. CCM kukubali kuondoka madarakani ina maana ni kupoteza ukwasi wake wote wa mali kuanzia viwanja, majengo mpaka migodi, sio kupoteza dola tu.
  9. JamiiForums Tanzania Kama una sifa hizi huwezi ichukia CCM, huwezi sema au taka itoke madarakani. Utakuwa na kichaa wewe

    CCM Imefanikiwa sana kulinda amani kwa haya makundi ya watu 1. Mafisaidi 2. Wezi 3. Mapuyanga/mapapai/ mchicha mwiba, madafu. 4. Al munafiqina 5. Wachawi/Machawa Huwezi kuwa katika makundi au kundi ilo alafy ukajifanya kuichukia ccm. Utakuwa na kichaa. Watu atutakuelewa hata kidogo.
  10. B

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti wa CCM Simiyu: Ukistaafu pumzika waache waliopo madarakani, mimi naweza kushindana, mume wangu ni tajiri

    Kauli za Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Simiyu, Shamsa Mohammed kuhusu uwezo wake wa kifedha pamoja na nafasi ya viongozi wastaafu ndani ya chama zimeibua mjadala miongoni mwa wanachama wa CCM na wadau wa siasa. Katika video inayosambaa mitandaoni, Shamsa alizungumza kuhusu uchaguzi ujao wa ndani wa...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Hawa wahuni waliojipachika madarakani mnaonaje wanapofanya mikutano ya hadhara kumalizana nao hapohapo ili familia zao ziimbe palapanda?

    Ni maoni yangu kuwa hawa wahuni waliojipachika madarakani inafaa wanapofanya mikutano yao ya hadhara kumalizana hapohapo, je wadau mnaonaje hilo pendekezo? Hapa nataka watu wenye sound mind pekee sio machawa.
  12. JamiiForums Tanzania Ni muda wa kujitafakari kwa kina kama taifa sababu dalili sio nzuri haiwezekani GenZ na Millenials wote wasiipende serikali iliopo madarakani

    Jana nilikuwepo pale Mlimani City kwenye usiku wa Bongo fleva, audience ilikua ni vijana wa zamani (millenials) kwa wingi. Na hao hao ndio waliozomea pale Mwana FA alipoingiza mambo ya serikali. Ukiingia mtandaoni na mitaani utakuta GenZ hawaikubali kabisa serikali. Je tunaelekea wapi kama...
  13. JamiiForums Tanzania Serikali inapokosa uhalali wa kisiasa kubaki madarakani basi inakua serikali ya vyombo vya dola sio serikali iliyotokana na wananchi bali dola

    Tulionya kuhusu October 29 kwamba serikali kujipachika madarakani kwa kutegemea vyombo vya dola itakosa uhalali wa kisiasa na ungwaji mkono wa wananchi walio wengi sasa kiko wapi...
  14. JamiiForums Tanzania Serikali inapokosa uhalali wa kisiasa kubaki madarakani basi inakua serikali ya vyombo dola sio serikali iliyotokana na wananchi bali dola

    Tulionya kuhusu October 29 kwamba serikali kujipachika madarakani kwa kutegemea vyombo vya dola itakosa uhalali wa kisiasa na ungwaji mkono wa wananchi walio wengi sasa kiko wapi...
  15. JamiiForums Tanzania HUYU MBUNGE ASIRUDI JIMBONI MAANA HAJUI KIJANA NI YUPI

    Wana jamvi naomba tumsikikize Mbunge wetu kupitia chama tawala. Inanipa shida kuamini kama anajua maana ya vijana au wazee. Kwangu mimi ningemshauri arudi darasani badala ya kurudi jimboni Kwale maana vijana hakuwatendea haki.
  16. L

    JamiiForums Tanzania IGP Mstaafu Simoni Sirro: Tunajisahau Sana Tukiwa Serikalini

    Ndugu zangu Watanzania, Soma Hapa👉Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Balozi Simon Sirro amesema baadhi ya Viongozi wanapokuwa Serikalini hujikuta wakijisahau na kufikia hatua ya kujiona kuwa wao ndio kila kitu. Sirro ametoa kauli hiyo leo Juni 26, 2026 wakati wa kumuaga aliyekuwa Kamanda wa Polisi Mkoa...
  17. JamiiForums Tanzania CAG Mstaafu Prof Mussa Assad: Kuna Waziri Kijana ana ukwasi wa kutisha miaka mitano tu madarakani!!

    CAG Mstaafu Profesa Mussa Assad amedai kuna Waziri kijana Awamu hii ya Sita ana ukwasi wa kutish alipoingia tu madarakani. Prof Assad amesema "Namjua kijana mmoja Waziri, ana magari matatu ya Shillingi 300 kils mojs,ana gari aina ya Range Rover, ana flats(maghorofa) hapa Dar es salaam chungu...
  18. JamiiForums Tanzania Kutatua matatizo ya taifa letu tupate Katiba ambayo itaruhu rais kushitakiwa akiwa madarakani na hata atapokuwa amemaliza muda wake kama mkuu wa nchi

    Hii kinga ya rais kutoshitakiwa inamfanya rais kutumia madaraka yake vibaya sana. Watanganyika tupamnane tupate katiba ambayo itatupa madaraka sisi wananchi. Rais akijigeuza yeye sultani na familia yake aweze kupelekwa mahakamani na kushitakiwa. Hata akifanya makosa na kawa amestaafu...
  19. JamiiForums Tanzania Taifa pekee ambalo wananchi wake hawana raha kwa rais wao kuwa madarakani ni Tanzania

    Hili halipingiki kabisa maana Watanzania wengi hawafurahi kwa Kwa rais Samia kuwa madarakani. Wanasema yupo kwa sababu ya kiongozi mstaafu yaani Jakaya Kikwete. Alafu hakubaliki na kila analolifanya linaonekana ni jambo baya. Anaonekana yupo tu kwa ajili ya tumbo lake, familia ya mstaafu...
  20. JamiiForums Tanzania Sina imani na CHADEMA, sitamani wachukue nchi

    Chei chei Viongozi hawana ushirikiano na wana vita wenyewe kwa wenyewe ndani ya chama, hakuna masikilizano kila mtu yeye yupo mbele tu hakuna anayetaka kukaa nyuma ya mwenzake Acha tu CCM waendelee kushikilia nchi maana sioni dalili yeyote kwa CHADEMA kuingia madarakani Msimamo wangu upo pale...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…