madagascar

Madagascar (; Malagasy: Madagasikara), officially the Republic of Madagascar (Malagasy: Repoblikan'i Madagasikara, Malagasy pronunciation: [republiˈkʲan madaɡasˈkʲarə̥]; French: République de Madagascar), and previously known as the Malagasy Republic, is an island country in the Indian Ocean, approximately 400 kilometres (250 miles) off the coast of East Africa. At 592,800 square kilometres (228,900 sq mi) Madagascar is the world's second-largest island country. The nation comprises the island of Madagascar (the fourth-largest island in the world) and numerous smaller peripheral islands. Following the prehistoric breakup of the supercontinent Gondwana, Madagascar split from the Indian subcontinent around 88 million years ago, allowing native plants and animals to evolve in relative isolation. Consequently, Madagascar is a biodiversity hotspot; over 90% of its wildlife is found nowhere else on Earth. The island's diverse ecosystems and unique wildlife are threatened by the encroachment of the rapidly growing human population and other environmental threats.
The archaeological evidence of the earliest human foraging on Madagascar may date up to 10,000 years ago. Human settlement of Madagascar occurred by Austronesian peoples, arriving on outrigger canoes from present-day Indonesia, where the contemporary social and religious situation was that of Hinduism and Buddhism, along with native Indonesian culture. These were joined around the 9th century AD by Bantu migrants crossing the Mozambique Channel from East Africa. Other groups continued to settle on Madagascar over time, each one making lasting contributions to Malagasy cultural life. The Malagasy ethnic group is often divided into 18 or more subgroups, of which the largest are the Merina of the central highlands.
Until the late 18th century, the island of Madagascar was ruled by a fragmented assortment of shifting sociopolitical alliances. Beginning in the early 19th century, most of the island was united and ruled as the Kingdom of Madagascar by a series of Merina nobles. The monarchy ended in 1897 when the island was absorbed into the French colonial empire, from which the island gained independence in 1960. The autonomous state of Madagascar has since undergone four major constitutional periods, termed republics. Since 1992, the nation has officially been governed as a constitutional democracy from its capital at Antananarivo. However, in a popular uprising in 2009, president Marc Ravalomanana was made to resign and presidential power was transferred in March 2009 to Andry Rajoelina. Constitutional governance was restored in January 2014, when Hery Rajaonarimampianina was named president following a 2013 election deemed fair and transparent by the international community. Madagascar is a member of the United Nations, the African Union (AU), the Southern African Development Community (SADC), and the Organisation Internationale de la Francophonie.
Madagascar belongs to the group of least developed countries, according to the United Nations. Malagasy and French are both official languages of the state. The majority of the population adheres to traditional beliefs, Christianity, or an amalgamation of both. Ecotourism and agriculture, paired with greater investments in education, health, and private enterprise, are key elements of Madagascar's development strategy. Under Ravalomanana, these investments produced substantial economic growth, but the benefits were not evenly spread throughout the population, producing tensions over the increasing cost of living and declining living standards among the poor and some segments of the middle class. As of 2017, the economy has been weakened by the 2009–2013 political crisis, and quality of life remains low for the majority of the Malagasy population.

View More On Wikipedia.org
  1. McLaren

    Maandamano yanaendelea Madagascar. Gen Z wamechafukwa

    Maelfu ya vijana wamejitokeza tena mitaani katika mji mkuu Antananarivo, wakiendelea kushinikiza serikali kushughulikia ukosefu wa maji, kukatika kwa umeme, na ufisadi. Tizama hali ilivyokuwa wakati wa makabiliano ya polisi na waandamanaji.
  2. The Supreme Conqueror

    Maandamano ya Gen Z nchini Madagascar yanaendelea siku ya tatu leo

    Wakuu ni siku ya tatu leo Madagascar hali si shwari kabisa,kumbuka jana Waziri wa nishati alishaliwa kichwa kunusuru malalamiko ya Wandaamanaji lakini bado haijasaidia kitu. Soma pia >> Gen Z Madagascar waandamana dhidi ya kukatika kwa umeme na ukosefu wa maji Naona kuna muamko mkubwa kwa...
  3. Think2

    Timu yangu bora ya CHAN 2024 ni Madagascar

    Pamoja na kushinda kutwaa kombe la CHAN24 Madagascar inasalia kuwa timu yenye upambanaji mkubwa sana. Hata lile goli la tatu nahisi refa hakufanya maamuzi baada ya mchezaji wa madagascar kusikumwa chini refa hakupuliza kipyenga. Taifa stars nimeseme ukweli mlibahatisha tu kuwafunga madagascar...
  4. U

    Tetesi mechi ya kenya vs Madagascar kurudiwa uamuzi wa shirikisho la soka Afrika

    Barua husika hiyo OFFICIAL statement from CAF. The body will release the same Next Week. CAF DECISION STATEMENT Following a thorough review of the FIFA match report, referee assessments, and official video footage of the CAF Africa Cup of Nations Qualifier between Kenya (Harambee Stars) and...
  5. A

    Timu za Sudan na Madagascar zinacheza vizuri kuliko team ya Bongo na za Watani wa Jadi , sababu ni zipi?

    Nimeona timu ya Madagascar ilivyo cheza na Taifa Star na Harambee Stars , kwamba wapo vizuri kimpira kuliko Timu yetu na ya Watani zetu (ingawa Timu ya Watani wa Jadi wapo Bora kuliko yetu kwamba Ben McCarthy Kwa Muda mfupi amewabadili Harambee Stars na Wana cheza Kwa malengo ), Madagascar Wana...
  6. DuaZaMama

    Kenya yatupwa nje michuano ya CHAN 2024 na Madagascar kwa Mikwaju ya Penati 3-4

    Mchezo wa Robo fainali kati ya Kenya na Madagscar umemaliza kwa magoli 1-1 na sasa kinachosuburiwa ni muda wa ziada (Extra time) yaani dakika 30 za hatma baada ya hapo itakuwa mikwaju ya penalty endapo kama matokeo yatabaki yalivyo. Alphonce Omija 55' Fenohasina Razafimaro 69'
  7. S

    Mambo 10 Niliyoyaona Stars Ikiiangamiza Madagascar Huku Nikihamasisha Watanzania Kulipa Kodi KWa Maendeleo Yetu

    1. Mambo 10 yasipoanza na uwezo wa Clement Mzize itakuwa sio kweli, leo ameonyesha uwezo mkubwa sanaaaa na Kama angeongeza umakini kidogo tu angeondoka na ball leo. 2. Tanzania Ina viungo wengi sana wa chini tena wana uwezo mkubwa kushinda Abdulrazak Hamza, wapo Andambwile, Mkude, Sure Boy...
  8. DuaZaMama

    FT' Tanzania 2-1 Madagascar, Tanzania imekuwa timu ya kwanza kufuzu hatua ya Robo Fainali CHAN 2024

    Taifa Stars kuivaa Madagascar leo katika Uwanja wa Benjamin Mkapa Timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, inatarajiwa kushuka dimbani leo jioni kukabiliana na timu ya taifa ya Madagascar kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini Dar es Salaam. Mchezo huu ni wa tatu mfululizo kwa Stars katika...
  9. Roving Journalist

    Watendaji wa Bohari Kuu ya Dawa (MSD) watembelea Taasisi ya Mwenza ya Madagascar

    Watendaji wa Bohari Kuu ya Dawa (MSD) wakiongozwa na Meneja wa Masoko ya Kikanda, Bi. Nabila Hemed wametembelea Bohari Kuu ya Dawa ya Madagascar (SALAMA) na kuzungumza na uongozi wa bohari hiyo, wakiongozwa na Mwenyekiti wa Bodi, Bw. Claude Eric Ramanantoanina kuhusu njia bora za kuimarisha...
  10. Roving Journalist

    Mkutano wa 45 wa Wakuu wa Nchi wa SADC waanza Madagascar na kikao cha kujadili mpango wa maendeleo

    Mkutano wa 45 wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) umeanza Agosti 04, 2025 jijini Antananarivo, Madagascar na Kikao cha Wataalamu cha Maafisa Waandamizi cha kupitia Utekelezaji wa Mpango Mkakati Elekezi wa Maendeleo wa Kikanda 2030 (Regional Indicative...
  11. L

    Mpunga chotara wa China waimarisha usalama wa chakula nchini Madagascar

    China na nchi za Afrika zimekuwa na uhusiano uliodumu kwa miongo kadhaa, na uhusiano huu unagusa maeneo mbalimbali ikiwemo elimu, biashara na uchumi, sayansi na teknolojia, ujenzi wa miundombinu, kilimo, na maeneo mengine mengi. Kupitia ushirikiano kati ya pande hizo mbili, nchi nyingi za Afrika...
  12. Komeo Lachuma

    Full Time: Tanzania Stars 0 - 1 Madagascar | COSAFA 2025

    Mpaka sasa Tanzania 0 na Madagascar 1 Kama Madagascar watatulia wana nafasi ya kuongeza tena goli. Tuendelee kuombeana. Mpira umekwisha na Stars anapasuka
  13. Mad Max

    Full Time: Madagascar 4 - 4 Tanzania | Futsal WAFCON 2025

    Utangulizi: Futsal ni Football ila inachezewa kwenye viwanja vidogo kama vya basketball, na havina nyasi vigumu kama basketball. Sasa kuna mashindano ya Futsal ya Africa, kwa upande wa Wanawake yanayofanyika Morocco kwa huu mwaka. Kila upande una wachezaji sita, na mpira ni dakika 40, inamaana...
  14. F

    SADC yaiandikia barua Jumuiya ya ECOWAS kumuunga mkono Mgombea wa Madagascar na sio wa Kenya (Raila).

    Naona Raila hana bahati. SADC yamruka na kumuunga mkono mgombea kutoka Madagascar na imeiomba jumuiya Africa Magharibi kufanya hivyo pia.
  15. Mjanja M1

    Madagascar yapitisha sheria ya kuwahasi wabakaji

    Bunge la Madagascar limeidhinisha sheria mpya ambayo itawafanya watu waliopatikana na hatia ya unyanyasaji wa kingono kwa watoto kuhasiwa na kuhukumiwa kifungo cha maisha jela. Kwa mujibu wa sheria mpya, wanaopatikana na hatia ya kubaka watoto wenye umri kati ya miaka 10 hadi 13, watahasiwa kwa...
  16. BARD AI

    Rais wa Madagascar kuapishwa licha ya Upinzani kususia Matokeo ya Uchaguzi

    Andry Rajoelina ambaye ni Rais wa taifa hilo ataapishwa leo Desemba 16, 2023 kuendelea na nafasi hiyo baada ya kushinda katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika huku kukiwa na madai ya Upinzani juu ya kuwepo kwa Ukiukwaji wa Haki na Uwazi. Rais huyo aliyeingia Madarakani mwaka 2009 baada ya Rais...
  17. R

    Shirika la Ndege la Tanzania anzisheni safari za Madagascar na Shelisheli moja kwa moja; naona fursa ya utalii kubwa

    Mashirika ya ndege yanayopeleka ndege kwenye visiwa maarifu Afrika ni machache sana. Nimejaribu leo kutafuta ndege ya Kwenye Madagascar au shelisheli kuwatembelea baadhi ya wafanya biashara wanaokula raha huko nimekosea hadi niende Dubai au Ethiopia au Kenya. Ikabidi nisome fursa zilizopo...
  18. BARD AI

    Rais wa Madagascar ajiuzulu kuelekea kwenye uchaguzi wa Novemba 2023

    Rais wa Madagascar, Andry Rajoelina amejiuzulu baada tu ya kuthibitishwa rasmi kuwa mgombea katika uchaguzi wa Rais wa taifa hilo uliopangwa kufanyika Novemba 9, taarifa hii ni kwa mujibu wa mahakama ya kikatiba ya nchi hiyo. Katiba ya Madagaska inamtaka kiongozi mkuu wa nchi anayetaka kugombea...
  19. JanguKamaJangu

    Kimbunga Kikali cha Freddy kinaelekea Afrika Mashariki

    Kimbunga ambacho kimesafiri zaidi ya maili 2,500 katika Bahari ya Hindi kina uwezekano wa kufika Ukanda. Kimbunga cha Tropiki Freddy kilifika katika Pwani ya Kusini ya Indonesia, mwezi huu Februari na kusababisha dhoruba kutokana na upepo mkali wa kasi ya 165 mph. Umoja wa Mataifa (UN) umesema...
  20. Mapank

    Na kule Madagascar, dawa hii anagawa Rais mwenyewe

Back
Top Bottom