Ndugu zangu naendelea Kuwakumbusha, Kila Mmoja anao wajibu, DEC 9 asionekane MTU kubakia nyuma.
Ni kwanini Ubaki wakati Umeuliwa Dada,Kaka ,Mama, Mjomba, Baba, Mpenzi ,Mume ,mtoto, Babu??? Kwann Ubaki????
Tutatoka wote Kwa Wingi wetu,alafu maandamanao ya Dec 9 YATAKUJA tofauti kabisaaa .