maandamano oktoba 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. G

    Ukweli wa Warioba kuwa waliuwawa Oktoba 29 ni wengi kuliko waliuwawa na Idd Amini utabaki hadi CCM watakaposema walituulia vijana wenzetu wangapi

    Mpaka Leo ccm haijasema vijana waliuwa vijana wenzetu wangapi Wasije na maneno matupu TU ya kukanusha maneno ya Warioba. Waje na takwimu halisi za vijana waliowaua tarehe 29 na zile za vijana waliuwawa na Idd amini
  2. Carlos The Jackal

    PostGE2025 Ukweli ni kwamba amri ya kuua waandamanaji wasiokuwa na silaha ilitoka kwa Amiri Jeshi Mkuu, Ndugu Samia Suluhu

    Ukweli ni kwamba amri ya kuua waandamanaji wasiokuwa na silaha ilitoka kwa Amiri Jeshi Mkuu Ndugu Samia Suluhu. Hili hawezi kulikwepa !!!.
  3. Waufukweni

    PostGE2025 Mchungaji: Zipo athari za walioshuhudia vifo, serikali izungumze na wananchi kuliponya taifa

    Mchungaji Rose Shaboka ameiambia DW kuwa serikali pia lazima ijitoe ili kuzungumza wazi na wananchi katika kuliponya taifa, Lazima Wantanzania wakubali kilichotekea, na kutafuta suluhu kwa siku zijazo.
  4. Waufukweni

    PostGE2025 Video: Wananchi wazika nguo na viatu mara baada ya mwili wa marehemu aliyeuawa na polisi kutopatikana

    Wananchi, wakiwa na huzuni na mshikamano, walizika nguo za marehemu aliyeuawa na polisi baada ya mwili wake kutokupatikana ishara ya kuenzi utu na kupaza sauti ya haki.
  5. Waufukweni

    Mwananchi aliyepigwa Risasi ya Tumbo: Wamedhamilia kutuua wanatupiga Risasi za moto, Risasi hii hapa ninayo

    Mwananchi mmoja aliyepigwa risasi tumboni wakati wa maandamano amesema kuwa "Wamedhamilia kutuua wanatupiga Risasi za moto, Risasi hii hapa ninayo"
  6. Heparin

    GE2025 Serikali dhalimu ilibebesha Silaha hadi Traffic kuua raia Oktoba 29, 2025. Cheki video hii

    Ama kweli hii serikali iliingia vitani na raia wake, hadi traffic walipewa SMG kuingia mitaani kutungua watu waliokuwa majumbani. Serikali hii haina pa kujificha. Asanteni sana watanzania kwa kurekodi huu ushenzi, mmetuua sawa ila safari hii hamna pa kujificha.
  7. Black Opal

    PostGE2025 Waombelezaji wanatishwa, hakuna kuongelea misiba iliyotokea wakati wa maandamano, wanamaliza misiba bila miili!

    Wakuu, Hiki ndio kinachoendelea mtaani kipindi hiki! Wakati wa maandamano wananchi walishuhudia wapendwa wao wakipigwa risasi na polisi na kuona miili ikizagaa mtaani wengine mpaka siku tatu. Walipojaribu kuchukua miili hii kwa taratibu nyingine za kupumzisha wapendwa wao, polisi waliwakataza...
  8. Black Opal

    PostGE2025 Muhtasari Taarifa ya Awali ya Uchaguzi Mkuu Tanzania 2025 kutoka SADC (SOEM): Uchaguzi haukutimiza Viwango vya Uchaguzi wa Kidemokrasia vya SADC

    Hapa chini ni muhtasari wa taarifa ya awali (final) ya waangalizi wa Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 kutoka SADC (SEOM), uliowasilishwa na Richard Msowoya, Spika wa zamani wa Bunge la Malawi na Mkuu wa Ujumbe wa Waangalizi wa SADC. Upo kwa kifupi na kwa Kiswahili, ukitaka maelezo zaidi pitia...
  9. Waufukweni

    GE2025 Video: "Hizo risasi hizo" Wananchi wakienda kumzika mwenzao aliyepigwa risasi na Polisi

    Mazishi ya Mwananchi aliyeuawa kikatili kwa kupigwa risasi na polisi yamegeuka kuwa maandamano ya sauti na hisia. Wananchi waimba “Hizo risasi hizo” wakieleza uchungu, hasira, na wito wa uwajibikaji kwa mamlaka.
  10. R

    GE2025 Edwin Soko: Waandishi wa habari walijawa hofu ya Sheria za nchi na Maadili kuripoti Matukio Oktoba 29

    Edwin Soko Mwenyekiti wa Taasisi ya Vyombo vya Habari nchi za Kusini mwa Afrika, akizungumza Novemba 5, 2025 katika Mjadala wa Nafasi ya Vyombo vya habari katika Uchaguzi wa Tanzania uliofanyika Oktoba 29, 2025 na kuambatana na vurugu za Maandamano ambapo Vyombo vya habari vilikaa kimya na umma...
  11. DuaZaMama

    PostGE2025 Polisi Kilimanjaro yawaachilia huru vijana 300 waliokamatwa kwa kudaiwa kushiriki maandamano ya Oktoba 29

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro limeeleza kuwa liliwashikilia vijana 300 kutoka maeneo mbalimbali mkoani humo kutokana na kudaiwa kushiriki vurugu zlizotokea siku ya uchaguzi mkuu Oktoba 29,2025. Limesema kuwa baada ya kuwashikilia baadae liliwaachilia huru bila masharti yoyote, kutokana na...
  12. Waufukweni

    GE2025 Kihongosi: Mtu yuko nje ya Nchi anakwambia andamana na wewe unaingia barabarani unafanya uhalifu, hii haikubaliki. Niongelee watu kufa kwenye nini?

    Kenani Kihongosi, Katibu Mwenezi wa CCM akiwa LIVE instagram, "Mtu yuko nje ya Nchi anakwambia andamana na wewe unaingia barabarani unafanya uhalifu, hii haikubaliki, lazima tulinde amani yetu. Niongelee watu kufa kwenye nini..?! wewe mbona hujafa..? maana yake ulitulia nyumbani kwako"
  13. Black Opal

    PostGE2025 Baada ya kushindwa kuficha ushahidi, sasa mnataka kuwaangushia mzigo CHADEMA waliokuwa gerezani. Ni ujinga gani huu?

    Yaani kila siku tunaona maajabu ya mwaka😂😂😂. Mlianza kusema walioandamana sio Watanzania, haikutosha mkasema waliokufa sio Watanzania mkadhani wananchi ni wajinga! Video zikaanza kuibuliwa hadi na kila inayotoka mnaulizwa huyu sio Mtanzania? Na Mungu alivyojua kuwaumbua, hata chawa wenu...
  14. kimsboy

    Niliandamana Tarehe 29 na nitaandamana tena ikibidi

    Wanabodi, Mimi ni miongoni mwa Watu waliotoka tarehe 29/10/2025.Kwanza kabisa nikiri kuwa nilitoka asubuhi sana na bango langu lakini hakukua na mtu barabarani. Baadae nikarudi pembeni, nikakuka wengi tu wamekaa pembeni, kumbe code ilikua maandamano yalipaswa kuanza saa 4. Najivunia kuwa saa...
  15. DuaZaMama

    TANZIA Mwanachama wa TLS Wakili Peter Elibariki afariki kwa kupigwa risasi na Polisi Oktoba 29, 2025

    Kwa Masikitiko Makubwa tunapenda kuwataarifu kuhusu kifo cha Wakili Peter Elibariki Makundi (Roll No. 5937), mwanachama wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) Tawi la Ubungo, aliyefariki dunia kwa bahati mbaya siku ya Jumatano, tarehe 29 Oktoba 2025, baada ya kupigwa risasi katika eneo la...
  16. Black Opal

    PostGE2025 Mliokuwa karibu na wanapozika au kuchoma miili ya watu kwa wingi tupate picha/video za ushahidi

    Maneno yaliyopo mtaani ni kuwa kinachoendelea sasa ni kuwa polisi wanazika watu makundi kwa makundi ili kufuta ushahidi kwa yaliyotekea - mass grave, na maeneo mengine wanachoma maiti. Na hili linathibitishwa zaidi maana watu wakienda hospitali kudai maiti zao-maitti hakuna! Yaani hospitgali...
  17. Waufukweni

    GE2025 PICHA: Sura za wanaodaiwa ni Askari walioshiriki kuua maelfu ya Watanzania

    Hawa watu kwenye hizi picha ni Polisi na TISS. Hawa ndo walikuwa wanapita mitaani na kuwaminia risasi ndugu zetu, hawa watu wameuwa maelfu ya Watanzania. Ukizoom sura zao zinaonekana, umemtambua yeyote?
  18. Waufukweni

    GE2025 Baadhi ya wananchi wakiwapelekea Polisi maiti ya waandamanaji waliopigwa risasi

    Baadhi ya wananchi wakiwapelekea Polisi maiti ya waandamanaji waliopigwa risasi wakati wa maandamano yaliyokuwa yakiendelea huku wakisema mmeua chukuweni.
  19. comrade_kipepe

    GE2025 Baada ya kuonyesha kilichojiri kwenye Uchaguzi 2025, chaneli ya Al-Jazeera yazuiwa (blocked) kwenye visimbuzi vya Tanzania

    Baada ya kuonekana Al Jazeera hawapepesi macho wala kuuma maneno, wameona waiondoe kwenye ving'amuzi vingi Tanzania ili watu walio Tanzania wasione video za kutisha. Kila siku Al Jazeera walikuwa wanaelezea na kuonyesha video za mauaji Tanzania.
  20. Waufukweni

    GE2025 LHRC: Tume huru ichunguze mauaji na ukiukwaji wa haki za binadamu Uchaguzi Mkuu 2025 na wahusika wawajibishwe

    TAARIFA KWA UMΜΑ Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) Kimesikitishwa na matukio ya mauaji na uvunjifu wa haki za binadamu wakati na baada ya uchaguzi mkuu uliofanyika tarehe 29 Oktoba mwaka 2025. Wakati Rais akiahidi maridhiano tunatoa wito wa kuundwa kwa Tume huru ya Kijaji kuchunguza...
Back
Top Bottom