GE2025 LHRC: Tume huru ichunguze mauaji na ukiukwaji wa haki za binadamu Uchaguzi Mkuu 2025 na wahusika wawajibishwe

GE2025 LHRC: Tume huru ichunguze mauaji na ukiukwaji wa haki za binadamu Uchaguzi Mkuu 2025 na wahusika wawajibishwe

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,911
Reaction score
16,510
TAARIFA KWA UMΜΑ

Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) Kimesikitishwa na matukio ya mauaji na uvunjifu wa haki za binadamu wakati na baada ya uchaguzi mkuu uliofanyika tarehe 29 Oktoba mwaka 2025.

Wakati Rais akiahidi maridhiano tunatoa wito wa kuundwa kwa Tume huru ya Kijaji kuchunguza mauaji haya na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu. Ni muhimu wote waliohusika wawajibishwe ili haki itendeke na Taifa lipone.

Imetolewa na
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu

Kwa Jamii Yenye Haki na Usawa.

TAARIFA KWA UMMA#maridhiano #uwajibikaji #uchaguzi2025 #hakikwawote #tanzania.webp
 
Back
Top Bottom