maandamano oktoba 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    PostGE2025 Pumzika kwa amani Kelvin Lameck, mwandishi wa Baraka FM - Mbeya aliyeuawa akiwa kazini

    Huyu anaitwa Kelvin Lameck alikuwa mwandishi wa radio inaitwa Baraka FM. Ameuawa akiwa kazini kufuatilia maandamano wakati wa Uchaguzi. Kifo chake kimeacha simanzi kubwa miongoni mwa familia, marafiki, na wasikilizaji wake waliompenda kutokana na ucheshi na bidii yake kazini. Kelvin alikuwa...
  2. Izy_Name

    GE2025 Onyo kwa Serikali, Viongozi wake, na Chawa kilichotokea ni mfano ikiwa wananchi wataendelea kupuuzwa

    Nitoe onyo kwa serikali na viongozi wake wote bila kuwasahau machawa. Kilichotokea ni mwanzo na ni mfano. Hiyo ilikuwa kama zoezi tu; sasa mechi kamili inakuja ikiwa serikali itaendelea kuwapuuza wananchi. Kifuatacho kitakuwa hatari zaidi kwa sababu Watanzania wameishapata uzoefu wa maandamano...
  3. Piere. Fm

    GE2025 Je, Polisi Wanajihami na kile walichokifanya?

    Jamaa Leo wamewasha mtandao lakini pia zimeanza kutiririka meseji kutoka jeshi la Polisi la kuwaasa watu kuepuka kutuma picha au video mtandaoni zenye kuweza kuzua taharuki. Je, hii si ishara kuwa wanawatisha kisionekane kile Walichokifanya dhidi ya watanzania?
  4. K

    GE2025 Tuseme ukweli: Maandamano ya Uchaguzi ni vijana wetu siyo kutoka nje ya nchi

    Tuseme ukweli maandamano ya chaguzi ni vijana wetu na wala siyo wakutoka nje ya nchi. Hatuwezi kuishi maisha au kubadilika kama tunaficha ukweli ambao upo wazi. Ukificha moto moshi utakuumbua Alisema yametimia
  5. M

    GE2025 Tarime, Mara: Wananchi wawaambia wanajeshi - Sisi tunakemea utekaji, tunataka Demokrasia

    Hii imetokea leo Oktoba 30, 2025 huko Tarime mkoani Mara Sikiliza, angalia:
  6. M

    GE2025 Mwanza: Maandamano yanaendelea usiku huu (Oktoba 29, 2025)

    Awali ilikuwa hivi: Hali iko hivi:
  7. Mzee Mwanakijiji

    GE2025 Kuna jaribio la kutumia Nguvu Kubwa usiku huu kuzima Maandamano

    Inahotajika hekima sana kutoka kwa watawala. Wasijaribu kutumia nguvu kubwa na kusababisha umwagikaji mkubwa wa damu kwa vijana Watanzania. Wajue wasije wakafika kwenye point of no return na majuto Endapo maandamano hayatazimwa usiku huu, Masaa 48 yajayo yatakuwa ya kukumbukwa!
  8. Echolima1

    GE2025 Hongera JWTZ kwa ukomavu mliouonyesha kwenye maandamano leo!

    Hongera nyingi sana kwa askari wa JWTZ kwa ukomavu mliouonyesha kwenye maandamano ya wananchi, Mmeonyesha kweli ninyi ni Jeshi la wananchi wa Tanzania. Hongereni sana kwa kazi iliyotukuka wananchi wameona kazi yenu nzuri!
  9. M

    GE2025 Dar: Maandamano yanaendelea usiku huu

    Vijana hawajalala, maelekezo ya IGP yamepuuzwa
  10. K

    GE2025 Serikali ya mpito ya mwaka mmoja ni muhimu Tanzania

    Serikali ya mpito ya mwaka mmoja ni muhimu Tanzania. Jeshi litangaze kwamba hakuna tena serikali ya Samia na badala yake kuundwe serikali ya mpito kutoka kwa wadau wazalendo. Lengo ni kupata katiba ambayo ndiyo itatumika, team napendekeza hawa; 1. Dr Slaa 2. Warioba au Butiku 3. Anna Makinda...
  11. K

    GE2025 Namuona Tundu Lissu akiwa Rais wa Tanzania

    Hii siku nitafurahi kwa kulia machozi na ndiyo Tanzania itakapopata uhuru wake wa wa kweli. Mungu akiamua kitu hakuna wa kumpinga imebaki muda tu. Mungu nipe maisha marefu nikalishuhudie hili.
  12. Replica

    GE2025 Jeshi la Polisi latangaza curfew (amri ya kutotoka nje) kuanzia Saa 12 jioni kwa wakazi wa Dar es Salaam

    Jeshi la Polisi limesema kuanzia leo tarehe 29 mwisho wa watu kuwa nje ni saa 12 Jioni.
  13. Roving Journalist

    Picha na Video: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu 29 Oktoba 2025

    Leo Oktoba 29, 2025 Wanaingia katika zoezi la kupiga kura na kutimiza haki yao ya kikatiba kuchagua Madiwani, Wabunge na Rais watakaoongoza kwa kipindi kingine cha miaka 5. Wakati hayo yanaendelea kuna kundi jingine lilipanga kufanya maandamano ya amani kwa kile kinachoelewa kupika mauaji, hali...
  14. JF Summary

    GE2025 Uchaguzi Mkuu Tanzania 2025: Matukio na taarifa Mubashara za Uchaguzi

    Utangulizi Oktoba 29, 2025 Tanzania inatarajia kufanya uchaguzi mkuu katika mazingira yanayoelezwa kuwa yenye hali wasiwasi mkubwa na taharuki. Uchaguzi huu unakuja takriban mwaka mmoja baada ya kufanyika kwa uchaguzi wa serikali za mitaa, uliosababisha mijadala mikubwa kutokana na matukio ya...
  15. Cute Wife

    GE2025 Mbona mnatukatisha tamaa mapema hivi wakati ndio kwanza siku imeanza? Tulieni Polisi wapate surprise!

    Wakuu, Yaani asubuhi asubuhi mshasema maandamano yamefeli? Ndio kwanza siku imeanza mbona mnatukatia tamaa mapema hivi? Hamuamini kuwa wanannchi tunaweza kuleta mabadiliko wenyewe? VItuo si vinafunguliwa, tunaamka na kutoka na vitambulisho vyetu huko huko tunaungana barabarani, mlitaka watu...
  16. Cute Wife

    GE2025 Mitandao ya YouTube, TikTok na Signal imeliwa kichwa kama X na Telegram. Facebook, Instagram na WhatsApp kufuatia?

    Wakuu, Mpaka sasa motandao ya Youtube, TikTok na Signal imeliwa kichwa, haipatikani mpaka utumie VPN, yote hii ikiwa ni kuzuia wananchi kupata taarifa wakati muhimu kabisa wa uchaguzi ambao wananchi wana haki na wanastahili kupata taarifa kujua kinachoendelea katika siku muhimu inayoenda...
  17. Cute Wife

    GE2025 Safari hii hata hawajajisumbua kupitisha greda watudanganye, wanajua NIDA zitafanya kazi anyways!

    Wakuu, Safari hii kwenye kampeni hata hawajarwmba na danganya toto za kupitisha greda kurekebisha barabara kwa muda mfupi ili watakaoenda kuwapigia kura wapite kwenye njia nzuri😂😂 Safari hii ni unyama, kiburi kiburi tu, mwingine hadi katuita mbwa huko😂😂 NIDA zinawapa kiburi kwelikweli. Utoke...
  18. PAYE

    GE2025 Tamko la BAVICHA kuunga mkono maandamano ya Amani Oktoba 29

    Tamko rasmi la Baraza la Vijana Chadema Taifa (BAVICHA) kuunga mkono maandamano ya vijana wa Gen Z, kesho Oktoba 29,2025. == Baraza la Vijana wa Chadema (BAVICHA) limeundwa kwa mujibu wa ibara ya 7.8.2 (a) ya katiba ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ya mwaka 2006 toleo la 2019...
  19. DuaZaMama

    GE2025 DCP Misime: Kama ulihamasisha maandamano hata ukitiki tunakukamata

    Msemaji mkuu wa jeshi la polisi nchini DCP Davidi Misime amesema kuwa Jeshi la polisi litawakamata wote waliohamasisha maandamano hatakama utakuja kupiga kura, miseme amesema utaruhusiwa kupiga kura lakini baada ya kumaliza tukio hilo utachukuliwa na jeshi hilo kwa hatua zaidi. Amesema...
  20. Cute Wife

    GE2025 Muliro na Mafwele walivyorekodiwa wakiongea na askari kuhusu maandamano. Wakiri kukamata watu, wawatishia kifo

    Wakuu, Haya nimewaletea kile chote alichosema Mafwele na Muliro kwenye kipande cha audio ya dk 9 walichorekodiwa na askari wakati wakiwaonya kuhusu kujihusisha na maandamano na kuripoti watu wanaojihusisha na maandamano au wanaoelekea huko ili washughulikiwe. Mbali na kuwakanya wamepewa na...
Back
Top Bottom