Habari ,Hivi wanaJF kuna nini Nyuma ya Tofauti hizi Mbili ambazo ziko wazi zinajionyesha :-
1. Mitaani watu wanamkubali Sana Hayati JPM kuliko Mitandaoni .
2. Mitaani wanaona kuna Ugumu wa maisha na tunapotea Mitandaoni idadi kubwa wanaona tunarudi kwenye mstari na tunaenda vizuri.
Binafsi...