Kikosi Maalum (meaning "Special Force" in Swahili), also known as the Special Battalion or the grand coalition, was a militia of Ugandan exiles formed in Tanzania to fight against the regime of Idi Amin. The unit was founded by and loyal to former Ugandan President Milton Obote, and served as his de facto private army. It was commanded by former army officers David Oyite-Ojok and Tito Okello. Kikosi Maalum took part in the Uganda–Tanzania War, fighting alongside the Tanzanian military against Amin's forces. In course of this conflict, the militia was nominally unified with other Ugandan rebel groups, forming the Uganda National Liberation Army (UNLA) in 1979. After the fall of Amin's regime and Obote's return to power, Kikosi Maalum became the core of Uganda's new national army.
Majeshi majeshi!
VAENI SILAHA ZOTE ZA IMANI KUPIGANA NA YULE MUOVU!
Elewa neno SILAHA ZOTE (MASHINE mpya yesu na analogi za maombi ya sadaka na karamu za zamani katika agano la kale hatuwezi kuzipuuza)
Kama mulivyoona ibada iliyopita wana wa anaki bado wapo na sisi kutufuata fuata!
Muda wa...
Kulingana na katiba, kanuni za bunge au tume ya uchaguzi Tanzania kuna muda maalumu wa vyama vya siasa kuteua wagombea wa urais, ubunge na udiwani katika uchaguzi mkuu??
Unamlea mwanafunzi:
Mwenye changamoto ya kujifunza (slow learner)
Asiyefahamu kusoma na kuandika vizuri
Mwenye uhitaji wa mbinu maalum ya ufundishaji
Au mwanafunzi wa Special Needs anayehitaji mwalimu mwenye uvumilivu, upendo na mbinu maalum?
Tunao walimu walio bobea katika:
Phonics &...
📢 TANGAZO MAALUM KWA VIJANA WALIO CHUO, WALIOHITIMU CHUO AU FORM SIX!
Kama wewe ni mwanafunzi wa chuo, umehitimu chuo, au umemaliza kidato cha sita, basi usikose kutembelea kurasa hizi muhimu zinazokupa taarifa sahihi, maarifa na mwelekeo wa maisha ya baada ya shule:
🔹 1. Fursa za Ajira –...
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
ACT-Wazalendo, tumeshangazwa na kushtushwa na Ujumbe mfupi wa SMS, kutoka Tume ya Uchaguzi Zanzibar, ambao wanatumiwa wananchi, kufika katika Ofisi za Uchaguzi za Wilaya kuchukua Vitambulisho vyao vya kupiga kura (Vote I'd), kuanzia tarehe 17/07/2025, katika Siku na...
act
haki
haki ya kupiga kura
kupiga
kupiga kura
kura
maalum
mpango
tume
tume ya uchaguzi
tume ya uchaguzi zanzibar
uchaguzi
uchaguzi zanzibar
wananchi
wengi
zanzibar
🛢️⛏️ UZI MAALUMU: MADINI, GESI NA MAFUTA ⛏️🛢️
Karibu kwenye uzi huu maalumu ambao utakuwa mahususi kwa mambo yote yanayohusu madini, gesi, na mafuta. Hapa tutaangazia:
✅ Fursa zilizopo kwenye sekta hizi
✅ Changamoto zinazokumba wawekezaji na wananchi
✅ Taarifa na sheria muhimu kuhusu umiliki...
Watumishi wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) wameadhimisha kwa furaha na sherehe maalum siku ya 'MOI DAY 2025' , tukio linaloadhimisha mafanikio makubwa ya taasisi hiyo katika kutoa huduma bora za Kibingwa na Kibobezi za Mifupa, Ubongo, Mgongo na Mishipa ya Fahamu kwa...
Wakati huu kutakuwepo na watia nia wengi sana, toka kwa vyama vyote shiriki.
Kwa maana hiyo huu Ukumbi wa Siasa utajazwa na hao watia nia na hizi mada nyingine za kisiasa zitabanwa.
Kama kuna uwezekano, mafundi wa JF watengeneze mahala maalum pa hawa wenye nia ya kugombea nafasi mbalimbali za...
Mjumbe wa baraza la Umoja wa Vijana wa Wilaya ya Ubungo jijini Dar es salaam @dorcasmshiu amechukua fomu ya ubunge wa Viti Maalumu kundi la Vijana kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) akieleza kuakisi nyanja ya sayansi na teknolojia, kusaidia vijana kupata fursa mbalimbali na kufikisha hoja za...
Huenda nchi hii kuna utaahira wa kiwango cha juu kuwahi kutokea, kuanzia kwa wagombea mpaka kwa viongozi wanaopitisha wagombea. Hilo chaka la viti maalum ni mfano hai. Kama hujui tu, zaidi ya nusu ya wabunge wa viti maalum unao waona bungeni basi tambua tu, wanawake wale waliwahi kuwa wabunge...
Habari
Naomba nianze kutoa ufafanuzi yakinifu kuhusiana na mada niliyoleta hapo juu.
Ulimwengu wa biashara hujawaji kuwa mwepesi mara nyingi huwa na mapito ya kupanda na kushika hususani hasara inapokuwa kubwa kwenye mzunguko wa biashara yako na hivyo kujikuta ukilazimika kuongezapesa nyingine...
Ugonile,
Kuanzia leo ntakua napost nafasi za kazi au nafasi zinazoelekea na kazi humu.
Msinipigie simu tafadhali, Tangazo litakua linajitosheleza.
NB. Hizi nafasi zipo chini ya madalali hivo hakuna mlolongo wa interview ila hakikisha unafanikisha lengo lako ndo unalipa.
AVAILABLE POSITIONS...
Habar
Pasipo kupoteza muda naomba niende kwenye mada na niwaletee ufafanuzi mzuri kuhusiana na mada niliyoweka hapo juu.
Baada ya kuona uhitaji mkubwa na muhimu wa watu kutaka kuwa na makazi Yao ya kudumu na kuwa na changamoto ya upungufu wa fedha hususani katika kununua viwanja na nyumba...
DStv wameshtuka baada ya kupoteza mamilioni ya watazamaji wake.
Dunia ya teknolojia, watu wana stream mechi hawalipii tena vifurushi.
DStv wako mbioni kutuletea vifurushi pekee vyenye chaneli za michezo pekee kama wafanyavyo Canal Sports.
Hii ikitiki itakuwa safi, japo wamechelewa sana.
Mkiambiwa hamna akili au wengi hamna akili. Mnawakishwa na wasio na akili. Kweli Mbunge na akili timamu anaona hitaji kubwa walilo nalo ni namba maalum za magari? Watanzania wakati huo mnashangilia Simba na Yanga.
(1) Kwanini kuna makocha maalum wa makipa na hakuna makocha maalum wa forwards, mildfilders au mabeki??
(3) Kwanini wachezaji wengi wastaafu wakiamua kuwa makocha basi ni wale mabeki, forwards au viuongo wa zamani na sio makipa wa zamani?? Kwanini makipa wa zamani sio makocha wakuu wa timu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.