Ma'abarot (Hebrew: מַעְבָּרוֹת) were immigrant and refugee absorption camps established in Israel in the 1950s, constituting one of the largest public projects planned by the state to implement its sociospatial and housing policies.The ma'abarot were meant to provide accommodation for the large influx of Jewish refugees and new Jewish immigrants (olim) arriving to the newly independent State of Israel, replacing the less habitable immigrant camps or tent cities. In 1951 there was 127 Ma'abarot housing 250,000 Jews, of which 75% were Mizrahi Jews; 58% of Mizrahi Jews who had immigrated up to that point had been sent to Ma'abarot, compared to 18% of European Jews.The ma'abarot began to empty out by the mid-1950s and many formed the basis for Israel's Development towns. The last ma'abara was dismantled in 1963. The Ma'abarot became the most ensuring symbol of the plight of Jewish immigrants from Arab lands in Israel; according to Dalia Gavriely-Nuri, the memory of these camps has been largely erased from Israeli memory.
Mwaka jana majira haya nchi za Ulaya na Marekani walikuwa kwenye kipindi kigumu sana.
Raia wao walikuwa wakifa maelfu na maelfu kwa siku sababu ya Corona.
Mbona mwaka huu hawafi? Na ninasikia Kuna wave 2.0 ya Corona ambayo ni mbaya zaidi kuliko ile ya Mwaka jana?
Next generation sequencing ni instruments inayotumika ku-unlock cells and microorganisms genetic code, ambapo baada ya ku-unlock inazalisha data (omics datanyingi ambazo zinatakiwa zifanyiwe analytics na bioinformatician
Modern medicine imekua centered na data driven tofauti na traditional...
Umofia wana JF-GT, Heri ya mwaka mpya,,
Nauza vifaa vya maabara ya binadamu hivi vinawafaa wanaopenda kuwekeza kwenye biashara ya Maabara (Diagnosis health center)
Vifaa ni vipya kabisa na havijawahi tumika kabisa.
Vifaa vilivyopo
1. Haemoglobin Tester
2. Microscope
3. Urine analyzer Machine...
Habari wakuu,
Najiandaa kusajili medicated soap TMDA, kuna document ya certificate of analysis wanahitaji. Ni maabara ipi naweza fanya parameter test?
Naomba msaada kwa namba
0713- 039 875
Maabara ya Taifa inajihusisha na kufanya tafiti pamoja na upimaji wa magonjwa ya mlipuko Kama Corona n.k.
Kipindi hi Cha Corona ndiyo wanaohusika na kupima wagonjwa na wasio wagonjwa.
Msafiri yeyote anayetaka kutoka nje ya nchi hairuhusiwi kupanda ndege mpaka awe na Cheti kutoka kwa Hawa jamaa...
Kama Bichwa la Habari lisemavyo. Kipindi tajwa hapo juu kina saidia sana kuvumbua aaina ya mahusiano ambayo vijana wanapitia.
Jana nimesikiliza kisa cha dada mmoja alikutana na jamaa ambaye alikuwa mteja wake katika bandaa la chakula cha mdada wa watu, wakaanzisha mahusiano, kila wakikutana...
Ndugu zangu watu sekta ya afya, nawaoneeni huruma sana tena sana. Kaka Beberu (🐐🐐 🇺🇸 a.k.a Rich Goat) anaenda kutupunguzia misaaada, ba ameenda mbali zaidi kwa kuwashawishi mijibeberu myenzao pia ifanye kutubana kutokana na wivu tu wa sisi kupanda daraja la kiuchumi.
Kutokana na hotuba ya Jana...
Habarini zenu wanajamvi.
Niende kwenye mada moja kwa moja.
Kuna muda nimepima magonjwa yafuatayo ; uti,typhoid,amoeba,malaria, nilipima haja kubwa na ndogo kwa pamoja, katika maabara kama tatu hizi za wafanyabiashara ama za mtaani ila naambulia majibu tofauti.
Yani hapa una uti ila huku...
Juzi hapa China ilikuta kwamba baadhi ya mifuko ya kuku na kamba ilikutwa ina wadudu wa Corona (Covid-19). KIlichofuata ni kwamba serikali ya China ilianza kujiuliza maswali mengi kuhusu jinsi gani hao wadudu waliingia kwenye kuku na kamba ambavyo viliagizwa kutoka nchi ya Brazil.
China...
UAE wametaja orodha ya nchi zitakazotakiwa kutoa ushahidi wa kutokuwa na maambukizi ya virusi vya corona mara mbili ili kuruhusiwa kuingia nchini humo kuanzia August moja. Tanzania pekee ndio imetajwa miongoni mwa nchi hizo katika ukanda wa Afrika Mashariki ambapo abiria kutoka nchi hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.