Salam wakuu.
Nimekuwa nikimpima huyu kijana wangu mara kwa mara ila nahuzunika kuona hawezi kumaster mtiririko wa masaa na kalenda.
Mfano leo nimemjaribu na mazungumzo yakawa hivi;
Mimi: "..kwanin hujaenda shule wakati leo jumapili?.."
Mtoto: "...leo ni jumatano mwalimu kasema hatuendi shule...