kusitishwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. B

    UVCCM Songwe yatia neno mikopo ya Vijana kusitishwa

    Mwenyekiti wa Umoja wa vijana wa CCM (UVCCM) Mkoa wa Songwe Ndg Fatuma Hussein amewatoa hofu vijana kutokana na serikali kusitisha utoaji wa mikopo ya 10% iliyokuwa ikitolewa katika ngazi za Halmashauri. Fatuma ameleza kuwa kama UVCCM wanaamini kuwa serikali itakuja na mpango bora zaidi wa...
  2. Jackal

    Putin Atangaza Kusitishwa Kwa Vita Vya Urusi Na Ukraine Kwa Masaa 36

    Wadadisi wa mambo Wanasema ni mwanzo mzuri🤔 ... https://www.express.co.uk/news/world/1717211/Ukraine-war-Russia-tank-weapons-Bonus-battlefield-combat-live
  3. BARD AI

    Ruzuku ya Umeme kusitishwa Desemba 31, wananchi kulipa zaidi kuanzia Jan 1, 2023

    Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Kudhibiti Nishati na Petroli (EPRA) Daniel Kiptoo amesema #RuzukuyaSerikali ya 15% itasitishwa rasmi Desemba 31, 2022 na hivyo watumiaji watalazimika kulipia ongezeko hilo. Wanaotumia Uniti 50 kwa mwezi walikuwa wakilipa Tsh. 17,794, wanaotumia uniti 200 walilipa...
  4. BARD AI

    Zaidi ya wafanyakazi 150 wapoteza kazi baada ya kusitishwa ujenzi wa hoteli

    Wafanyakazi 150 wa Mradi wa ujenzi wa hoteli ya nyota tano Blue Amber, wamepoteza kazi baada ya Wizara ya Ardhi kusitisha mkataba wa ukodishaji ardhi kwa Kampuni ya Pennyroyal Zanzibar licha ya kuwapo amri ya Mahakama ya kutaka ujenzi kuendelea. Wakizungumza na waandishi wa habari, wafanyakazi...
  5. BARD AI

    Libya: Umoja wa Mataifa watoa wito wa kusitishwa mapigano

    Wito umetolewa kusitishwa mara moja kwa mapigano makali yanayohusisha makundi mawili ya Kisiasa yanayowania kuchukua Utawala wa Serikali katika mji mkuu wa Tripoli. Taarifa ya Umoja wa Mataifa iliyoungwa mkono na Balozi wa Marekani nchini Libya, Richard Norland imesema kuwa mapigano hayo...
  6. BroBrain25

    Kusitishwa kwa matokeo ya utabibu

    Naamin sasa ifike wakati kila mtu aamue kuvaa uhusika wake na kuchukua majukumu aliyonayo kama msimamizi au kama anaesimamiwa (UMRI HAUFICHI DHAMBI) Kauli hii itufanye tujichanganue kutokana na taarifa zinazoendelea kuwa wanafunzi wa utabibu wa LEVEL 5 Kufutiwa matokeo yao ya mitihani...
  7. Offshore Seamen

    Serikali iangalie upya suala la usajili wa meli za kigeni baada ya kusitishwa mwaka 2018

    Usajili wa Meli (Ship registration) hiki ni kitendo Cha kuipa meli uraia katika nchi Fulani na kurusiwa kutumia bendera hiyo iwapo baharini. Meli iliyosajiliwa na Tanzania italazimika kufata Sheria na katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mfano endapo meli itakiuka jambo lolote itaadhibiwa...
  8. gango2

    Safari za mabasi usiku kusitishwa: Changamoto ni nini?

    Habari wanabodi! Hivi karibuni tumeona baadhi ya watoa huduma za usafirishaji abiria kuendelea kutatuna huduma zao na kuwa wabunifu kwa kuanza safari za usiku na kufika asubuhi. Lakini ghafla tukaona safari zimesitishwa kwa taarifa wamezuiwa na mamlaka husika. Tumeona kampuni ya KAPRICON...
  9. Miss Zomboko

    RC Pwani: Sherehe za harusi zinaweza kuahirishwa kwa hekima ya kulinda Afya za Watu

    Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge alisema maelekezo ya Wizara ya Afya ni ya kusimamiwa kwa kuchukua tahadhari kwanza katika sehemu zote za huduma kwa kuhakikisha kuna maji tiririka, vitakasa mikono, kukaa mbali kati ya mtu na mtu na watu kuvaa barakoa. Kunenge alisema serikali imeshatia...
Back
Top Bottom