Kwa yaliyotokea katika Uchaguzi huu, wananchi wengi sana wataacha kwenda kupiga kura kuanzia wana-CCM wenyewe,wasio na vyama na zaidi wafuasi wa upinzani.
Hali hii itaanza kujitokeza katika chaguzi za viporo, ambapo watu wengi hawatajitokeza kabisa.Kinachoweza kutokea katika chaguzi za viporo...