Kutokana na hali ya maandamano ya Leo na machafuko yanayoendelea nchini ni dhahiri serikali na jopo lao lote ambao waliamua kutumia nguvu ,utekaji,ukiukwaji wa haki za binadamu,kufunga upatikanaji wa taarifa wanapaswa kuchukuliwa hatua Kali za kitaifa na kimataifa. Kesi ifunguliwe mahakama ya...