kulalamika

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. N

    Tanzania hatuna sababu ya kulalamika njaa

    Rais Samia Suluhu anaendelea kututoa hofu watanzania katika suala zima la njaa alisema kuwa watanzania hatuna sababu yoyote ya kulia njaa. "Nataka niwahimize tulime kwa sababu miaka ijayo Dunia inaona hatari ya njaa, Tanzania hatuna sababu ya kulia njaa na ndiyo maana tunaweka miundombinu ya...
  2. BARD AI

    Naibu Waziri Viwanda ataka wahitimu waache kulalamika, wajiajiri

    Naibu Waziri Exauds Kigahe amewataka Wahitimu wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) kutumia elimu waliyoipata kujiajiri ikiwemo kuanzisha biashara badala ya kuwa sehemu ya kulalamikia ukosefu wa ajira. Amesema “Ni jukumu la kila mhitimu kuukubali na kuuchangamkia zaidi msukumo wa Sayansi na...
  3. DR HAYA LAND

    Nchi inaenda vizuri, wazee wa kulalamika siku zote wapo tu hawakosi

    To be honest Huu uongozi ni Sahihi kwa ustawi wa Taifa . Nipo DSM naona miradi ya kuchagiza uchumi ikianzishwa , simaanishi madaraja no hapa nazungumzia Mambo muhimu tu. Vijana wanapambana life goes on Vitu vimepanda Bei Sana lakini hela ukijituma unapata and you can afford to pay bili zako...
  4. MK254

    Iran: Wanawake wavua hijab kulalamika mauaji ya mwenzao kisa sheria ya dini

    Wanawake wanaendelea kujitoa mhanga kama wafe basi wafe wote, mwenzao aliuawa kisa hakua amesitiri kichwa kama inavyotakiwa kwa dini ya waislamu, wameamua kuvua hijab na kuacha vichwa wazi liwalo na liwe. ============ A massive anti-hijab revolution has broken out in Iran after women came out...
  5. Nassor Elbahsany

    SoC02 Vijana tujitume, kulalamika hakuna faida

    VIJANA TUJITUME KULALAMIKA HAKUNA FAIDA Vijana wengi wa Wakitanzania wanaonekana kulalamka zaidi kuliko kujituma. Kama utafuatilia kwa umakini vijana wanalalamika kuwa serekali haitowi ajira, au hawana ajira, au kulipwa kidogo, huku wakitumia muda mwingi katika mitandao ya kijamii na maskani...
  6. Lanlady

    Hii kauli ya "acheni kulalamika tafuteni hela" ni mbinu ya kuzuia watu kusema ukweli au kudai haki zao?

    Kwa sasa kumekuwa na watu wengi sana wakitumia hiyo kauli. Je, inawezekana ni mojawapo ya mbinu ya kuwafanya wananchi waache kusema yanayowasibu kuhusiana na haki au stahiki zao?
  7. MURUSI

    Kwenye historia hakuna mabadiliko yaliyoletwa kwa kulalamika

    Hii nchi inaweza kuwa inaongoza kuwa na raia wanao lalamika na hakuna hatua wanayo chukua. Napitia sana vitabu mbalimbali vya kimageuzi duniani, sijaona nchi ambayo baada ya malalamiko ya muda mrefu kuna mageuzi yalifanyika. Kwa kifupi malalamiko ni kele za chura, haziwezi zuia ng'ombe kunywa...
  8. Suley2019

    Shabani Kaoneka alalamika Mandonga kupambwa zaidi yake aliyeshinda pambano

    Mabondia Karim Mandonga na Shaban Kaoneka wamerudi tena kwenye headlines kufuatia kauli ya Shaban Kaoneka aliyoitoa jana akizungumza na Wasafi. "Mandonga amepata bahati kuliko mimi, waandishi wa habari wakati mwingine mnakuwa wanafiki, mimi niliyeshinda nakuwa masikini aliyepigwa anakuwa...
  9. Chagu wa Malunde

    Ibara ya 37(1) ya katiba ya JMT ipo wazi kabisa rais halazimiki kufuata ushauri wa mtu yoyote. Rais Samia hakupaswa kulalamika yeye kutosikilizwa . Ni

    Sheria mama ya taifa letu ipo wazi kabisa na imeweka wazi kuwa rais hatalazimika kufuata ushauri wa mtu yoyote yule. Isipokuwa kama imetanabaishwa kwenye katiba ya JMT. Hii ipo wazi kwenye ibara ya 37(1) ya katiba ya JMT. Sasa kama rais wetu analalamika kuwa ushauri wake haukufuatwa ina maana...
  10. Robert Heriel Mtibeli

    Tabia ya kulalamika hufanywa na watu wazembe na malofa

    Heshima kwenu Wakuu! Hakuna tabia inakera Kama mtu kulalamika, sasa unalalamika nini, yaani upuuzi tuu! Kulalamika ni tabia walizonazo wazembe na malofa, kila kitu kulalamika, kila kitu kunung'unika, upuuzi mtupu! Oooh! Wanasiasa wanapiga Sana hela, Kwa nini nawe usijiingize Huko kwenye siasa...
  11. Kipenzi Changu

    Biashara ya Ngono jijini Dar inatisha, yazidi kunawiri

    Jana tulianza kuchapisha makala maalum kuhusu kushamiri kwa biashara ya ukahaba kwenye maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam. Hata hivyo, katika uchunguzi huo imebainika kuwa, kuna kushamiri zaidi kwa watoto wadogo chini ya miaka 18 kujiingiza kwenye biashara hiyo haramu. Timu ya waandishi wa...
  12. kali linux

    Wadukuzi (Hackers) wametengeneza njia ambayo kila mtu ataweza kuchangia kuipiga Urusi na Putin

    Wadukuzi wametengeneza njia ya kushambulia urusi kupitia internet ili kupunguza wimbi la usambazaji wa taarifa za uongo (propaganda) https://bit.ly/369vDDz Njia wanayotumia inaitwa DDOS Attack (Distributed Denial Of Service) Kiufupi ni kwamba user akifungua hio link atatumia kifaa chake kutuma...
  13. britanicca

    Je, kulalamika kwa kila jambo ndiyo suluhisho?

    Kumekuwa na tabia yetu kulalamika kwa kila jambo! Tulalamike lakini tutoe na Suluhu Mpaka Sasa Serikali ya CCM chini ya Rais Samia Suluhu Hassan ipongezwe walau kwa 40% ya Mambo imeyafanya kwa asilimia hizo Kati ya 100% Tujikumbushe ishu Moja ya Msingi Uhuru wa habari upo Amani imerudi kwa...
Back
Top Bottom