Mimi ni mwalimu, juzi kati nikiwa nafundisha kuhusu topic ya Promoting Peace” wanafunzi walikuwa na maswali mengi sana.
Maswali yao yalikuwa ya kutaka kujua
1. kwa nini kuna nchi zipo vitani
2. kwa nini vita hutokea
3. Na ni namna gani vita uanza
Mfumo wa ufundishaji wangu ni wa kuwafanya...