==
Mimi ni kada mtiifu wa Chama Cha Mapinduzi CCM mwenye namba ya uanachama CM 1774858,
Rasmi natangaza kugombea na kushinda nafasi ya Ubunge katika Jimbo letu kwa nguvu ya Mungu,
Uzoefu ndani ya chama ni miaka 7,
Naomba ushauri, mawazo na connections ni jinsi gani naweza kushinda na...