kuelekea uchaguzi 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. DuaZaMama

    Profesa Mkumbo: Serikali yatengeneza ajira milioni 8 ndani ya miaka 5

    Serikali imesema katika kipindi cha kuanzia Novemba 2020 hadi Februari 2025, jumla ya ajira 8,084,204 zimezalishwa nchini. Kati ya hizo zipo zitokanazo na sekta rasmi na isiyo rasmi. Takwimu hizo ni kwa mujibu wa taarifa ya hali ya uchumi kwa mwaka 2024 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka...
  2. DuaZaMama

    PreGE2025 Vyama Vya Siasa Tumieni Majukwaa yenu ya kisiasa kuhubiri kuhusu mazingira

    wakuu Ivi karibuni kumekuwa na mikutano ya vyama siasa ila sijasikia kuhusu mazingira? Hawa akina Heche,Makala,wasira na Lema wanaosema kuhusu ajira,elimu,na barabara na afya wanajua chochote kuhusu mazingira? Hawajui kwamba utekelezaji wa mambo hayo yanahitaji mazingira hawasemi kuhusu jinsi...
  3. DuaZaMama

    AMIR: Rais Samia ametekeleza Katavi. Oktoba tunatiki'

    wakuu Ni kama October Tunatiki imeanza kupenya na No Reforms No election inasahaulika ===== Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Katavi Ndg. Amir Said Katalambula amewasihi Wananchi wa Mkoa wa Katavi kupiga kura za kishindo Kwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025 kutokana na...
  4. DuaZaMama

    PreGE2025 Msigwa: Sikusema 'Wanao-comment NO reforms NO election tutawapata'

    wakuu ni kweli hakusema? maneno ya "wanao comments No Reforms No election tutawapata" ===== Kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii, Msemaji mkuu wa serikali ameandika; "Sikusema maneno haya katika taarifa yangu ya jana, Ndugu zangu Waandishi wa Habari tuzingatie USAHIHI (ACCURACY) katika...
  5. DuaZaMama

    PreGE2025 Rungwe: Mwingine ameenda kulamba asali, Diwani wa CHADEMA Salehe Nduta atimkia CCM

    Diwani wa Kata ya Swaya katika Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe, Shaban Saleh Nduta, ametangaza rasmi kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) tarehe 11 Juni 2025, akitoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Akizungumza mbele ya umati wa wananchi na viongozi wa chama, Nduta amesema uamuzi...
  6. Just Pray

    PreGE2025 Askofu Bagonza: Aliyekuwa Katibu Mkuu wa chama kilicho likizo, kama angesaini kanuni za uchaguzi, Msajili akaja kumtengua, sahihi yake ingetenguliwa?

    Na Askofu wa dayosisi ya Karagwe, Kalikawe Lwakalinda Bagonza (PhD) kupitia ukurasa wake wa Facebook anaandika, DUNIA BILA MUNGU na WAPINZANI BILA CHAMA Ukipenda ubishi, jiepushe kuwa na hasira. Siku moja nusura nizichape na rafiki yangu Mwislamu. Akaniuliza; nyie Wakristo mnasema Yesu alikufa...
  7. DuaZaMama

    CHADEMA: Haki haiombwi, haki inapiganiwa

    No Tundu Lisu No problem makamu mwenyekiti wa Chama Cha demokrasia na maendeleo John Heche, anaendelea kuonesha kuwa yeye sio makamu kivuli wa Chama ni mtu wa mabadiliko. Wakuu Manaenda naye?
  8. DuaZaMama

    PreGE2025 Kikulacho kinguoni mwako Chadema inarudishwa Nyuma na wanachadema wenyewe

    Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kinaendelea kukumbwa na changamoto za ndani baada ya Mahakama Kuu kutangaza kusitisha shughuli zake za kisiasa kwa kipindi cha siku 14. Kesi hiyo yenye namba 8323 ya mwaka 2025, imefunguliwa na mwanachama wa chama hicho, Said Issa Mohamedi pamoja na...
  9. DuaZaMama

    PreGE2025 Shekhe Abuu Jadawi: Achaneni na wapumbavu wanaosema No reforms No election

    Mwalimu wa Dini ya kiislamu na mtaalam wa Dua Shekhe Abuu Jadawi amewataka kuachana na watu wanaoisukuma ajenda ya No reforms No election na kudai kuwa wametumwa na wanafanya Kwa maslahi yao, akisema kuwa mbwa wanopanda juu ya mtu kuwa si kawaida na kama amepanda amepandishwa na mtu. Aidha...
  10. DuaZaMama

    PreGE2025 Mchungaji Hananja achukizwa na kauli ya Askofu Gwajima kumwita Mbunge wa kinondoni Abbas Tarimba "Ponjoro"

    Mchungaji mstaafu wa kanisa la kiinjili la kilutheri( KKKT) nchini Mchungaji Richard Hananja amechukizwa na kauli ya Askofu Gwajima ambaye pia ni mbunge wa Kawe ya kumwita Mbunge huyo wa kinondoni Abbas Tarimba "Ponjoro" akiwa madhabahuni kuwa ni matumizi ya madhabahu kama sehemu ya kufanya...
  11. Lady Whistledown

    Wabunge wanajua Wajibu wao Bungeni? Huyu kawaombea makoti askari wa Mbeya

    Wakuu! Ni jambo la kusikitisha kuona jinsi ambavyo baadhi ya wabunge wetu bado hawajafahamu vizuri majukumu yao ya msingi kama wawakilishi wa wananchi. Katika kipindi hiki ambacho nchi inapitia changamoto nyingi kama ukosefu wa ajira, mfumuko wa bei, ubovu wa miundombinu, huduma duni za afya...
  12. upupu255

    SI KWELI PreGE2025 Millard Ayo amechapisha taarifa ikisema "CHADEMA iko kipindi cha kupotea kisiasa"

  13. Just Pray

    PreGE2025 Rais wa TAHLISO: Wanafunzi vyuo vikuu tutashiriki uchaguzi, Instagram Facebook na X sio Tume Huru ya Uchaguzi

    Wakuu Huyu kijana anatakiwa akapewe somo na Vijana wa UDOM, ameshindwa kusemea changamoto zisizokoma za wanafunzi huko vyuoni anatuletea uchawa, na hao vijana wanaomshangilia wakicheleweshewa boom wanatoa milio 24/7. === Rais wa Jumuiya ya Taasisi za Wanafunzi Wa Elimu ya Juu, TAHLISO...
  14. Just Pray

    PreGE2025 Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani atishika na 'No reforms no election' asema jambo la msingi ni kulinda amani 'kuna vita huko duniani'

    Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi,Mbunge wa Jimbo la Babati vijijini Daniel Sillo amewahakikishia Wananchi wa Jimbo Lake kuwa serikali itaendelea kuwasogezea huduma zote muhimu na wapinzani wasiotaka uchaguzi watajua wenyewe. Akizungumza kuelekea uchaguzi mkuu Sillo amesema jambo la msingi...
  15. Just Pray

    PreGE2025 Nimesikitishwa na kitendo cha Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) kufunga comments Instagram kisa 'No reforms, No election'

    Wakuu Shirika la utangazaji Tanzania (TBC) linaloendeshwa kwa kodi zetu watanzania limethubutu kufunga comments kwenye mtandao wake wa Instagram eti kwa sababu tu wananchi wanaihubiri "NO REFORMS NO ELECTION" Kwa kutoa maoni kwenye taarifa wanazozipakia. Shirika linaloendeshwa kwa kodi zetu...
  16. Just Pray

    PreGE2025 Ally Hapi: Miaka mitano ijayo tutajenga treni za mijini Dar na Dodoma

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ally Hapi amesema katika kipindi cha miaka mitano ijayo chama hicho kimedhamiria kujenga treni katikati ya miji kwa mikoa ya Dar es Salaam na Dodoma, ili kukabiliana na foleni za magari. "Naomba nichombeze, tumejenga SGR Dar es...
  17. Just Pray

    PreGE2025 Halima Mdee: Sitamani kuiacha CHADEMA. Kama itanifungia milango, basi nitaangalia mbadala mwingine

    "Waliokwenda CHAUMMA zao lao ni CHADEMA ni watu waliojenga CHADEMA kwa jasho na damu waliobaki CHADEMA kuna watu ambao waliijenga lakini kuna watu wapya ambao wamekuja wamekuta matunda yapo tayari na wakafikiria wamefika kama vile hakuna watu waliojenga kwahiyo mimi zile zote mbili ni familia...
  18. Nipe Maji

    Catherine Magige agawa sare 1,300 kwa wajumbe wa UWT Arusha

    Mbunge wa Viti Maalum kupitia Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT), Catherine Magige, amechangia sare 1,300 zenye thamani ya shilingi milioni 35.1 kwa wajumbe wa Baraza la UWT Mkoa wa Arusha. Magige alikabidhi sare hizo mbele ya wajumbe wa baraza hilo lililofanyika mkoani Arusha...
  19. Just Pray

    PreGE2025 Makalla: 'Royal tour' imefanya kazi kubwa mikoa ya kaskazini, mapato ya utalii yameongezeka

    Akiwa kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Mollel Papaa, wilayani Babati, mkoani Manyara leo, Jumatano Juni 04.2025 Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM Taifa CPA Amos Makalla amesema fulamu ya 'The Royal Tour' iliyofanywa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imekuwa...
  20. Fbn

    Miradi mingi kuelekea uchaguzi 2025 ni kama wanashika huku wanaacha huku husasani barabara zinazojengwa

    Ni mimi tu au kuna wengine mnaoweza kutuelezea yani wanabomoa hapa wakisha bomoa wanakwenda kwengine yani kama vurugu. Ni kwamba haya ni kwa ajili ya kuzindua kampeni zenu CCM kuwa mnajenga barabara.
Back
Top Bottom