kuelekea 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    GE2025 Kada wa CCM Hassani Yasini amechukua fomu kuwania ubunge Jimbo la Kawe, Dar es Salaam

    Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Hassani Yasini, ambaye pia ni Katibu wa Uchumi, Mipango na Fedha wa UVCCM Mkoa wa Dar es Salaam, amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya chama hicho ili kuwania nafasi ya Ubunge wa Jimbo la Kawe katika Uchaguzi Mkuu ujao. Yasini amesema dhamira yake ni kulitumikia...
  2. DuaZaMama

    GE2025 Jackline Milazi ajitosa ubunge jimbo la Bushosa

    Mjumbe Mkutano Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Jackline Milazi amechukua na kurudisha fomu ya kuomba ridhaa kuwania ubunge Jimbo la Buchosa, kwa Katibu wa CCM Wilaya ya Sengerema, Rashid Semendu.
  3. PAYE

    GE2025 MNEC Kigoma, Nsokolo afunguka kuhusu wasanii na watu maarufu kugombea nafasi CCM

    Katibu wa Siasa, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Kigoma Deogratius Nsokolo akizungumza kuhusu suala la wasanii na watu maarufu kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali za uongozi kupitia Chama hicho.
  4. DuaZaMama

    GE2025 Tegemea Mbogela amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kuwa mgombea ubunge wa viti maalum mkoa wa Njombe

    Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tegemea Mbogela amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kuwa mgombea ubunge wa viti maalum mkoa wa Njombe kupitia Chama hicho. Soma,Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Udiwani Uchaguzi Mkuu 2025 Chanzo:Green FM
  5. R

    GE2025 Mwanasheria Msomi, Emanuel Manase, amechukua fomu kugombea udiwani Kata ya Mbulumbulu Karatu, Arusha

    Mwanasheria Msomi, Emanuel Manase, amechukua fomu ya kugombea udiwani Kata ya Mbulumbulu Karatu, mkoani Arusha Soma pia: Pre GE2025 - Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
  6. DuaZaMama

    GE2025 Ruangwa pameanza kuchangamka. Mparuka Hashim achukua fomu kulitaka jimbo la Ruangwa

    Mjumbe wa Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Lindi na Mkurugenzi wa Ruangwa Pride Hotel, Mparuka Hashim Mtopela amechukua fomu ya kuwania Ubunge Jimbo la Ruangwa. Soma,Pia: Kassim Majaliwa, ametangaza rasmi kustaafu kugombea tena Ubunge wa Jimbo la Ruangwa 'Asanteni Ruangwa'...
  7. DuaZaMama

    GE2025 Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Stanslaus Haroon Nyongo amechukua na kurejesha fomu kuwania Ubunge Jimbo la Maswa Mashariki

    Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- Mipango na Uwekezaji, Stanslaus Haroon Nyongo, amechukua na kurejesha fomu ya kugombea ubunge kwa mara nyingine katika Jimbo la Maswa Mashariki, mkoani Simiyu. Hatua hiyo inaashiria dhamira ya kuendelea kulitumikia jimbo hilo kupitia Chama Cha Mapinduzi...
  8. Mindyou

    GE2025 Wananchi wa Mbeya wamchukulia fomu ya kuwania Ubunge Viti Maalum (Mama Ikupa) Ikupa Mwaifani

    Wakuu, Wananchi wa mkoa wa Mbeya leo Julai Mosi wamemchukulia fomu ya kuwania Ubunge Viti Maalum kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Ikupa Mwaifani ambaye ni Mkurugenzi wa Ikupa Financial Services Wamemchukulia fomu hiyo kupitia Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi (UWT) wakieleza lengo la...
  9. DuaZaMama

    GE2025 Ezra Chiwelesa amechukua fomu ya ubunge kutetea jimbo la Biharamulo Magharibi

    Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Biharamulo Magharibi Mhandisi Ezra Chiwelesa kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM kwa kipindi Cha 2020-2025 amechukua fomu ya kugombea ubunge wa jimbo hilo kwa kipindi cha pili kama ulivyo utaratibu wa chama hicho. Chiwelesa amesema matumani yake ni kuendelea...
  10. DuaZaMama

    GE2025 Kassim Majaliwa atangaza ghafla kutogombea tena Ubunge wa Jimbo la Ruangwa

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, ametangaza rasmi kustaafu kugombea tena Ubunge wa Jimbo la Ruangwa, mkoani Lindi, baada ya kuliongoza kwa takribani miaka 15 mfululizo tangu mwaka 2010. Soma, Pia: Waziri Mkuu, Majaliwa atangaza kugombea tena Ubunge wa Ruangwa...
  11. DuaZaMama

    GE2025 Wanawake 231 wamechukua fomu ya ubunge kupitia CCM. Ile kampeni ya kuwainua wanawake ndo imeanza kuzaa matunda?

    Wakuu ==== wanawake wengi wamejitokeza kuchukua fomu katika nafasi mbalimbali kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu 2025 idadi hii ni kubwa Je? ni kweli ile kampeni ya kuwainua wanawake imeanza kufanya kazi au ni wanafuata mkumbo. Maoni yangu Tuangalie majimbo ambayo yalikuwa yanaongozwa na...
  12. Hismastersvoice

    Nini kitawakuta wanachadema wakishiriki uchaguzi huku mahakama imewazuia kufanya siasa?

    Viongozi wa Chadema wamezuiwa kushiriki siasa kinyume na katiba ya nchi inayotoa haki ya kila raia kuchagua na kuchaguliwa! Sasa endapo watashiriki kusikiliza kampeni ya mgombea yeyote yule litakuwa ni kosa la jinai? Watanzania tuna majaji wa aina gani wanaovunja katiba ya nchi ili mradi...
  13. DuaZaMama

    GE2025 Mwanasheria wa zamani wa Yanga, Simon Patrick achukua fomu ya ubunge jimbo la Muleba Kusini

    Aliyekuwa mwanasheria wa Yanga, Wakili Simon Patrick amechukua fomu kugombea ubunge Jimbo la Muleba Kusini. Simoni amekabidhiwa fomu leo Julai 2,2025 na Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Muleba Kusini, Agnes Kasela. Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025
  14. PAYE

    GE2025 Francis Luhanya atangaza nia rasmi ya Kugombea Ubunge Sumbawanga Mjini

    Francis Luhanya ametangaza rasmi nia yake ya kugombea ubunge katika Jimbo la Sumbawanga Mjini baada ya kuchukua fomu ya kugombea nafasi hiyo. Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kuchukua fomu, Luhanya alisema kuwa ana nguvu, uwezo na nia dhabiti ya kuwaongoza wananchi wa jimbo hilo...
  15. PAYE

    GE2025 Aggrey Mwanry arejesha fomu asema hatua iliyobaki ni kumuomba Mungu

    Baada ya kurejesha rasmi fomu ya kuwania nafasi ya ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), mmoja wa watia nia ameeleza kuwa hatua iliyobaki sasa ni kumuomba Mungu ili aweze kupata kibali cha kuteuliwa na chama hicho. Akizungumza mara baada ya kukamilisha zoezi la kurejesha fomu, mtia nia huyo...
  16. PAYE

    GE2025 Deo Mwanyika achukua Fomu ya Kugombea Ubunge kwa awamu ya Pili Jimbo la Njombe Mjini

    Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Njombe Mjini mwaka 2020/25, Deo Mwanyika (CCM) leo Julai 01, 2025 amechukua Fomu ya kuwania Ubunge awamu ya pili katika Jimbo la Njombe Mjini. Mwanyika amechukua Fomu hiyo katika Ofisi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Njombe ambapo amekabidhiwa Fomu na Katibu...
  17. W

    GE2025 Jackson Lupanda atia nia kuwania jimbo la Ulyankulu, Tabora

    Jackson Lupanda Maarufu kama Lupanda_Hd Slomo Master Kutoka Azam media Limited ametia nia ya kuwania nafasi ya Ubunge Jimbo la Ulyankulu Wilaya ya Kaliua Mkoani Tabora kupitia Chama cha Mapinduzi CCM. Pia soma...
  18. PAYE

    GE2025 Mhandisi Emmanuel Kisendi alitaka Jimbo la Magu kupitia CCM

    Kada wa Chama cha Mapinduzi CCM ambae pia ni Mtaalamu wa Maji na Madini Eng ,Emmanuel Kisendi amechukua fomu kuwania nafasi ya ubunge jimbo la Magu Mkoani Mwanza. Eng Kisendi anasema huu ni wakati sahihi kabisa kwake kuwatumikia wanaMagu akiwa kama Mbunge wa jimbo hilo kwa kuwaletea maendeleo.
  19. DuaZaMama

    GE2025 Aliyekuwa Katibu Tawala Mkoa wa Dar, Toba Nguvila achukua fomu kugombea Ubunge jimbo la Makete mkoani Njombe

    Aliyekuwa katibu Tawala Mkoa wa Dar es Salaam, Dkt. Toba Nguvila, amechukua fomu ya kutia nia kugombea Ubunge kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Jimbo la Makete lililopo mkoani Njombe ameijaza na kuirudisha kwenye ofisi za chama hicho zilizopo wilayani Makete, huku akipongeza utaratibu uliopo...
  20. W

    GE2025 Amani Dimile atia nia jimbo la Mvomero, Morogoro

    Kijana Amani Dimile amejitosa kuwania ubunge katika jimbo la Mvomero. Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika; "Iwe ndio, iwe hapana kazi ya mpambanaji ni kusonga mbele bila kujali matokeo ✊🏽 .. MVOMERO ARE YOU READY ✅✅" Pia soma...
Back
Top Bottom