kuelekea 2025

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    PreGE2025 Mary Chatanda: Tanzania nzima, Wanawake wamshukuru Rais Samia kwa Huduma za Afya

    Mwenyekiti wa UWT Taifa, Mary Pius Chatanda, amesema wanawake nchini wanamshukuru kwa dhati Rais Samia kwa juhudi zake kubwa katika kuboresha huduma za afya kupitia ujenzi wa Zahanati, Vituo vya afya, Hospitali za Wilaya, Mikoa na Kanda. Amesema kuwa kabla ya maboresho hayo, wanawake –...
  2. Pascal Mayalla

    PreGE2025 Amos Makalla asema siri ya CCM kushinda uchaguzi kila mwaka ni kwakuwa wanakwenda na wakati, hawatulii kama jiwe

    Wanabodi https://www.youtube.com/live/_ZEl6lsHc4c?si=osZPZ2LFfZc6ACe3 Naangalia TBC live mubashara, Katibu Mwenezi wa CCM, CPA Amos Makala, ametoa siri ya ushindi wa Chama cha Mapinduzi, CCM kushinda kwenye chaguzi mbalimbali na kuendelea kuishika Ikulu yetu mwaka hadi mwaka, sababu ni moja...
  3. Mudawote

    PreGE2025 Hivi itakuwaje iwapo Rais Samia Kufanyia kazi mapendekezo ya Askofu Gwajima?

    GTs, Swali la kizushi. Hivi itakuwaje in case Rais Dkt Samia akiamua kuona kuna umuhimu wa reconciliation ya haya mambo yaliyotajwa na Askofu Gwajima na kuyafanyia kazi kwa kuchukua hatua kama vile kumuondoa IGP Wambura kwenye nafasi yake, kuwawajibisha wale wale wote waliohusika na kuua na...
  4. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 CHADEMA Zanzibar haina nia ya kususia uchaguzi mkuu 2025

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Zanzibar, kimesema hakina nia ya kususia uchaguzi mkuu 2025, bali kinataka mabadiliko ya mifumo wa uchaguzi ndio uchaguzi ufanyike kwa misingi ya haki kwa washiriki wote. Naibu Katibu Mkuu Zanzibar, Ali Ibrahim Juma, ameyasema hayo jana Visiwani...
  5. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 CHADEMA Kufanya mkutano wao Kilombero licha ya zuio la polisi

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoa wa Arusha kimeeleza kusikitishwa na taarifa ya kuzuiwa kufanya mkutano wao wa hadhara uliopangwa kufanyika kesho Mei 28, 2025, katika viwanja vya Kilombero Jijini Arusha. Mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Arusha, Elisa Stephano Mungure ameeleza kuwa...
  6. OMOYOGWANE

    Hii mbinu ya CCM kujigawa mara mbili nimeipenda, itawatoa mchezoni CHADEMA mchana kweupe

    Habari wakuu Inahitaji utulivu mkubwa kuweza kusoma mchezo, sasa hivi CCM wanakosoana wenyewe kwa wenyewe huku watu wakishangilia na kusifia viongozi wa CCM wanaoikosoa CCM. Mtoto wa nyoka ni nyoka, na mwana CCM ni mwana CCM, once a CCM always a CCM Hii mbinu imetumika sana miaka ya nyuma...
  7. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Meya wa Manispaa ya Temeke: Nampa Rais Samia alama A+ kwa anavyoendesha nchi

    Meya wa Manispaa ya Temeke Abdallah Mtinika amesema Rais Samia amefanya kazi nzuri kwenye kiwango cha kustahili alama “A+” katika kipindi cha uongozi wake. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa...
  8. T

    PreGE2025 Kwanini tumefika hapa na kwanini kuna giza mbele ya Taifa la Tanzania

    Asalam. Natumaini muwazima jamani nimeshindwa kuvumilia naomba niandike haya machache labda naweza kuliponya Taifa ama naweza zungumza na mtu kwa lugha fupi akanielewa. Hali ni mbaya ni mbaya sana Taifa limebagazwa duniani huwitaji jicho la Tatu ila maamuzi magumu hayana budi kufanyika...
  9. BLACK MOVEMENT

    PreGE2025 Mtego wa Msajili wa Vyama kwa CHADEMA kuhusu kuitisha mkutano Baraza kuu kuwapitisha viongozi wa secretarieti ya chama

    Mtego ulio tengenezwa ni kwamba CHADEMA wakiitisha tu mkutano wa Balaza kuu basi wamiesha, yaani hao viongozi wa Balaza kuu la CHADEMA watapitishiwa pesa za kutosha na either wafanye yafuatayo; 1. Kuto wapitisha kabisa viongozi hao wapya wa secretaroeti. 2. Kuleta fujo ya hatari sana ukumbini...
  10. Fernandez ERA

    Endapo CHADEMA itakaidi kutekeleza maamuzi na Maelekezo ya Msajili wa Vyama vya siasa nchini, inaweza kuchukuliwa hatua zifuatazo

    "Endapo Chadema itakaidi kutekeleza maamuzi na Maelekezo ya Msajili wa Vyama vya siasa nchini, inaweza kuchukuliwa hatua zifuatazo. 1, Kuzitaka Mamlaka husika zichukue hatua za kisheria za kijinai kwa mujibu wa kifungu cha 8B cha sheria ya Vyama vya siasa kwa wahusika wanaojinasibu kuwa...
  11. Carlos The Jackal

    Ulaya , Marekani na Mashirika ya Fedha ya Duniani Kuna sababu ya kuendelea Kutoa Misaada na Mikopo kufuatia Serikali Kusimamisha Ruzuku Kwa CHADEMA?

    Swali langu huko CCM Huwa siku zote ni Moja tu, Unatakiwa uwejinga Kwanza ndio uwe Mwanaccm ? Au MTU anakua na akili yake vizuri tu kwanza alafu akishakua Mwanaccm ndio anakua Mjinga?. RAIS Samia kupitia Msajili Kasitisha Ruzuku Kwa Chama Cha CHADEMA , hii sio vita dhidi ya CHADEMA, ni vita...
  12. Carlos The Jackal

    PreGE2025 Luhaga Mpina: Rais hana kinga ya kutokosolewa. Watu wanatekwa ninyi mnapongezana, wanaoikosoa serikali wasizuiliwe

    CCM Kuna Watu wachache Wazalendo kwelikweli, Juzi alisiamam Dr Gwajima , Leo kasimama Mwanasiasa machachari , Luaga Mpina ============== Mbunge wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina, ameibuka na kukemea vikali vitendo vya utekaji vinavyoendelea kuripotiwa nchini Tanzania, akitaka uwajibikaji wa...
  13. USSR

    PreGE2025 Chilewesa: Mradi wa uchimbaji wa visima vya maji utaongeza upatikanaji wa maji Biharamulo

    MRADI WA KUCHIMBA VISIMA KATIKA BAADHI YA MAENEO-BIHARAMULO. Wakati wakazi wa maeneo tofauti tofauti wilayani biharamulo wakisubilia kwa hamu kubwa mradi wa maji wa ziwa victoria bado mbunge wa biharamulo Eng Ezra Chiwelesa anasisitiza na kutilia mkazo uchimbaji wa visima katika baadhi ya...
  14. mshale21

    PreGE2025 UVCCM Dar watoa msimamo kuhusu Gwajima, wataka akamatwe akaisaidie polisi kuhusu utekaji

    Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Dar es Salaam imetoa wito mzito kwa Mbunge wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima, kutofika katika ofisi yoyote ya CCM ndani ya mkoa huo kuchukua fomu ya kuwania tena ubunge kwa mwaka 2025. Msimamo huo umetolewa siku ya...
  15. P

    PreGE2025 Waziri Bashungwa: Namuagiza IGP Camilus Wambura kuhakikisha wanaomkashifu Rais mtandaoni 'wanashughulikiwa'

    Hiki ndio CCM na Serikali mnajua best, 'kushughulikia' watu, kuhakikisha wanajuta kuwachagua lakini sio kuwajibika na kuhahakisha wananchi wanapata huduma nzuri na kujiona wapo kwenye nchi inayozingatia sheria na yenye utawala bora. ===== Waziri Bashungwa wakati akihitimisha wasilisho la...
  16. TJF1990

    PreGE2025 Tafakuri ya kisiasa na kijasusi; Majibu ya kitoto kwa hoja nzito za Askofu Gwajima

    Na: Mwananchi Mzalendo Tarehe: 27 Mei 2025 Siku ya Jumamosi ya wiki iliyopita (24 May 2025), Askofu Josephat Gwajima—Mbunge wa Kawe na Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM—alizungumza na waandishi wa habari na kutoa kauli nzito juu ya matukio ya utekaji yanayoendelea kushamiri nchini. Kwa maudhui...
  17. PureView zeiss

    PreGE2025 Hemed Hassan Salim: "Mnaosema Bora Magufuli kuliko Samia , tunawapa onyo"

    “Lakini nimesikitishwa mno na baadhi ya wabunge ambao wanaitana nyumbani kwao na watu na kusema kwa siri kuwa ni bora Rais Magufuli aliyekufa kuliko Rais Samia aliye hai hizi nazo ni kauli mbaya na tunatoa onyo” ~ Hemedi Hassan Salim, Katibu wa Hamasa Wilaya ya Kinondoni.
  18. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Dudubaya: Katiba imeruhusu kuwa na wabunge wajinga

    Msaani Dudubaya amesemea kwamba Katiba ya nchi imeruhusu mtu akijua kusoma na kuandika anaruhusia kugombea ubunge kitu ambacho kimezalisha wabunge wasiojuwa sheria na katiba. Ukijua kusoma na kuandika darasa la saba uwe ubunge kwa dunia ya sasa kwa sababu ubunge umekuwa ni biashara, jitu...
  19. Moto wa volcano

    PreGE2025 Sio kila jambo la kisiasa ni la kulitolea tamko mengine kubali yakupite

    Wakati huu wa joto la kisiasa sio kila jambo ni lazma kulitolea kauli mengine mtu unatakiwa ukubali yakupite. Mbaya sana kufunua mdomo kuongea jambo usilokuwa na uhakika nalo. Pia soma: Pre GE2025 - Askofu Gwajima: Wakuu wa Vyombo vya Usalama wasiondolewe kwenye nafasi zao kwa mapenzi ya...
  20. Waufukweni

    PreGE2025 Heche alivyopokewa Kilimanjaro kupeleka No reforms, No election

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeendelea na kampeni yake ya kudai mabadiliko ya sheria za uchaguzi kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, kupitia kampeni yao maarufu ya "No Reforms, No Election" katika Kanda ya Kaskazini. Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, John Heche...
Back
Top Bottom