PreGE2025 Prof. Kitila Mkumbo: Naimani na Wananchi wa Ubungo na CCM watanirudisha nigombee na kushinda Uchaguzi huo

PreGE2025 Prof. Kitila Mkumbo: Naimani na Wananchi wa Ubungo na CCM watanirudisha nigombee na kushinda Uchaguzi huo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Richer

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2025
Posts
2,034
Reaction score
3,201
Waziri wa Mipango na Uwekezaji, na Mbunge wa Jimbo la Ubungo Prof Kitila Mkumbo akizungumza leo Juni 12,2025 akiwasilisha Taarifa ya Hali ya Uchumi Mwaka 2024 na Mpango wa Maendeleo ya Taifa Mwaka 2025/2026 Katika Bunge la 12, Mkutano wa 19 Kikao cha 45

Amewashukuru wananchi wa Jimbo la Ubungo kwa kumuamini na kumpa nafasi hiyo, Zaidi amezungumza kuwa na imani kubwa kupata nafasi ya kugombea kupitia chama cha Mapinduzi na kushinda uchaguzi October 2025
Wana jukwaa, vipi tunamrudisha kwenye kiti kweli? the guardian 17 na Lucas Mwashambwa hapo vipi wakuu
 
Waziri wa Mipango na Uwekezaji, na Mbunge wa Jimbo la Ubungo Prof Kitila Mkumbo akizungumza leo Juni 12,2025 akiwasilisha Taarifa ya Hali ya Uchumi Mwaka 2024 na Mpango wa Maendeleo ya Taifa Mwaka 2025/2026 Katika Bunge la 12, Mkutano wa 19 Kikao cha 45

Amewashukuru wananchi wa Jimbo la Ubungo kwa kumuamini na kumpa nafasi hiyo, Zaidi amezungumza kuwa na imani kubwa kupata nafasi ya kugombea kupitia chama cha Mapinduzi na kushinda uchaguzi October 2025
Wana jukwaa, vipi tunamrudisha kwenye kiti kweli? the guardian 17 na Lucas Mwashambwa hapo vipi wakuu
Hatukutaki bana! Umetufanyia nini ubungo?

Chawa promax!
 
Back
Top Bottom