GE2025 Jemedari Said ajitosa kuwania Ubunge Mtama

GE2025 Jemedari Said ajitosa kuwania Ubunge Mtama

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
5,231
Reaction score
18,000
Mchambuzi wa soka na mchezaji wa zamani wa timu ya Kariakoo Lindi, Jemedari Said Kazumari (kushoto) amechukua fomu za kuomba ridhaa ya kuwania Ubunge wa Jimbo la Mtama leo Juni 30, 2025.

IMG_5428.jpeg

Kazumari amekabidhiwa fomu hizo na Katibu wa Wazazi Wilaya ya Lindi Vijijini katika Ofisi ya CCM wilayani humo Anthony Ismail.

IMG_5429.jpeg
 
Jemedari Said amechukua fomu ya kugombea ubunge jimbo la Mtama mkoani Lindi

Naona mwamba anataka kuzipima na comrade Nape[emoji23][emoji23]
1751292909361.jpg


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom