Jamani naomba msaada kwa anaeelewa kuhusu mafao ya NSSF.
Mimi nimewahi kuajiriwa kama professional na baada ya mkataba nilifungua madai NSSF nikalipwa kwa mfumo wa 33.3% ya mshahara wangu kwa muda wa miezi 6 then muda ukapita nikiwa napambana na maisha.
Baada ya muda nikapata kazi ambayo si...
Maneno ya utangulizi katika Mpango Kazi Wa Taifa Wa Kutokomeza Ukatili Dhidi Ya Wanawake Na Watoto (MTAKUWWA), una maneno ya kuazimia kufanya Watoto wote wakue bila kukumbana na ukatili wa aina yoyote. Na kimsingi wameweka kuwa ukatili unaingarimu Tanzania takriban dola za kimarekani bilioni 7.1...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.