kristo

Borjana Krišto (née Krželj; born 13 August 1961) is a Bosnian Croat politician serving as the 11th Chairwoman of the Council of Ministers of Bosnia and Herzegovina since January 2023. She previously served as the 8th president of the Federation of Bosnia and Herzegovina from 2007 to 2011. She is the first woman to hold both positions.
Krišto holds a degree in law from the Faculty of Law in Banja Luka. Following the 2006 general election, she became president of the Federation of Bosnia and Herzegovina in February 2007, serving until March 2011. In June 2011, Krišto was one of the candidates for nomination to the office of Chairwoman of the Council of Ministers. Ultimately, she was not nominated.
A member of the Croatian Democratic Union since 1995, Krišto was the party's candidate for a seat in the Bosnian Presidency as a Croat member in the 2010 and 2022 general elections. However, she failed to get elected in both elections. She was a member of both the national House of Peoples and House of Representatives as well.
In January 2023, Krišto was appointed Chairwoman of the Council of Ministers, following the 2022 general election.

View More On Wikipedia.org
  1. Tajiri Tanzanite

    Shetani kama ni kidume avae mwili kama Yesu kristo aje Duniani alete hizi tabia zake za kipumbavu

    Hapo vip! Nimetafakari sana juu ya Shetani anavyojificha katika ulimwengu wa roho na kuwatenda watu kwa hila kwa maarifa na kujificha...hii ni ishara ya uwoga,udhaifu,unafiki na uwongo. Sidhani kama akija Duniani na kwa wanadamu walivyokuwa na hasira naye kama watamuacha ata akae kwa amani kwa...
  2. Mohamed Said

    Wayahudi Hawakuogopa Kumuua Yesu Kristo Mtoto wa Mungu Wataogopa Kumuua Khamenei?

    https://youtu.be/II2yPs0OKOs?si=-69y8t4mAwPS6JVN
  3. Beira Boy

    Tunao wajibu wa kumtangaza KRISTO waigizaji wa move za Nigeria ni mabalozi wa YESU

    Aman iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU Nawasalim salam Sisi sote kama wakristo tunao wajibu mkubwa sana juu ya kumuishi na kumtangaza KRISTO katika kazi na maisha na matendo yetu KRISTO YESU ni mwana wa MUNGU aliye hai mathayo 16:15-16 Baba wa mbingun ndo katufunulia hayo...
  4. J

    Ni kwa vipi Yesu Kristo anaombea wanadamu mbinguni

    Ni kwa vipi Yesu Kristo anaombea wanadamu mbinguni Ni wapi maandiko yanasema Yesu anaombea wanadamu Katika maandiko, Warumi 8:34, yanasema, “Ni nani atakayewahukumia adhabu? Kristo Yesu ndiye aliyekufa; naam, na zaidi ya hayo, amefufuka katika wafu, naye yuko mkono wa kuume wa Mungu; tena ndiye...
  5. H

    Enyi Wakristo Uishini Ukristo. Wavuteni Wasiomjua Kristo Kwa Kuuishi Ukristo, Siyo Kupalilia Chuki

    Injili iliyoletwa na Kristo, ndiyo neno pekee la Mungu lililoleta ukamilifu wa maagizo yote yaliyotangulia yaliyokuwa na mapungufu mengi. Yesu Kristo alisema kuwa hakuja kuitangua torati ya Musa bali kuikamilisha, kwa sababu ilikuwa na mapungufu. Kwa hiyo utimilifu na ukamilifu wa unabii wote...
  6. T

    Heri ya kumbukumbu ya kuzaliwa Yesu Kristo

    Amani ya YESU KRISTO iwe nanyi ndugu Watanzania wenzangu Naomba kutumia fursa hii kumtambulisha kwenu Yesu Kristo MFALME WA AMANI ISAYA 9:6 "Maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa, Tumepewa mtoto mwanamume; Na uweza wa kifalme utakuwa begani mwake; Naye ataitwa jina lake, Mshauri wa ajabu...
  7. THE BIG SHOW

    PostGE2025 Mzee Warioba ni tunda la mfumo kristo na anachokifanya ni muendelezo wa harakati zile zile

    Friends and Our Enemies, Ukimsikiliza warioba kwa umakini sana utabaini wazi wazi kuwa ni muendelezo wa drama za TEC na Mfumo kristo mara baada ya kufeli kwa harakati zao za kutumia GENZ katika kuichafua nchi hii na kutaka kuifanya isitawalike. Besides Warioba usije ukajiona wewe ni special...
  8. Kazanazo

    Kuna watu wanapigania mfumo kristo kwa kigezo cha utanganyika tuwakatae

    Kuna mlengo fulani wa kupigania Tanganyika huku ikionwa Zanzibar inainyonya Tanganyika Watu hawa Wana ajenda fiche ya udini wakiona kuwa kuikomboa Tanganyika dhidi ya Zanzibar ni kuwatoa waislam madarakani Ndugu zangu hizi ajenda tuzikatae Zanzibar na Tanganyika ni kitu kimoja na ni watu...
  9. M

    Wakristo wa jamiiforums As-salamu alaykum, Waislam wa Jamiiforums Tumsifu Yesu Kristo

    Wakristo wa Jamiiforums Assalam Aleikum, msimu wa Christmas Mubarak unakaribia, INSHALLAH tutaalikana na kuufinya pamoja wali mchafu kama ilivyokuwa Eid kwa miaka mingi sana.
  10. THE BIG SHOW

    Baraza la maaskofu nchi hii ni ya kidemokrasia na siyo ya mfumo wa kikristo wala mfumo wa dola ya kiislamu acheni kuipa amri serikali

    Friends and Our Enemies, Kuna ajenda ya udini inaendelea chini chini na haikuanza leo dhidi ya Rais Samia,Ajenda hiyo ilijicha kwa muda mrefu sana lakini hivi sasa ni wazi kabisa imejionyesha ni nani alikuwa mastermind wa ajenda hiyo. Kama sote tutakuwa na kumbu kumbu vinara wa uchochezi na...
  11. Samson Ernest

    Ukimkataa Au Ukimwacha Kristo Umejitenga Mbali Na Amani Yake

    Yer 16:5 SUV [5] Maana BWANA asema hivi, Usiingie ndani ya nyumba yenye matanga, wala usiende kuwaombolezea, wala kuwalilia; maana nimewaondolea watu hawa amani yangu, asema BWANA, hata fadhili zangu na rehema zangu. Mungu alimpa ujumbe Yeremia atangaze hukumu ya Taifa la Israeli, kilichofanya...
  12. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Ufunuo 20:4-6 inasema watakatifu watatawala na kristo kwa miaka 1000. Swali watakuwa wanamtawala nani ili hali waovu watakuwa wamekufa?

    Wajuvi wa maandiko karibuni tena tujifunze kwa pamoja. Maandiko yanasema kama ifuatavyo. ufunuo 20:4-6 Kisha nikaona viti vya enzi, wakaketi juu yake, nao wakapewa hukumu; nami nikaona roho zao waliokatwa vichwa kwa ajili ya ushuhuda wa Yesu, na kwa ajili ya neno la Mungu, na hao...
  13. Jokajeusi

    Sisi ni simba wa Yuda: Makanisa yanakubalije kanisa la Gwajima kufungiwa wao wakiwepo? Ule upendo wa Kristo unaohubiriwa umeishia wapi?

    Mughonile! Roman Catholic, Lutheran, Anglicana, Wasabato, Walokole na Wakristo wengine. Mnakubalije Ukristo kufanywa Kama nyumbu wakati sisi ni simba wa Yuda. Kanisa la wenzetu limefungiwa kisa kosa la mtu mmoja ambalo sio kosa kwani alikuwa anahubiri injili ya kukemea maovu ya watekaji. Padri...
  14. kyagata

    Hivi wakati Yesu Kristo anasurubiwa msalabani,Baba yake (Joseph) alikua wapi kumsaidia?

    Naomba anaejua anipe jibu. Biblia haijaainisha ni wapi alipokua Joseph wakati mwanae anasurubiwa msalabani,kwa nini hakujitokeza kumkingia kifua mwanae?
  15. Gospel KTV

    Kila Mtu Tarehe Yake Ya Kuzaliwa Inaanguka Kwenye Kalenda Ya Yesu Kristo Mwana wa Mungu (AC, BC, AD)

    Kila Mtu Tarehe Yake Ya Kuzaliwa Inaanguka Kwenye Kalenda Ya Yesu Kristo Ulishawahi kufikiria hili? Tarehe yako ya kuzaliwa, iwe 1990, 2000 au 2025, haijajitegemea. Imehesabiwa kwa msingi wa miaka tangu kuzaliwa kwa Yesu Kristo. Historia yote ya ulimwengu imegawanyika sehemu tatu: BC (Before...
  16. Meneja Wa Makampuni

    Faida 50 Unazopata Hapa Duniani Ukiamua kumfwata Yesu Kristo

    1. Anakupa amani ya moyo hata katikati ya changamoto. 2. Anakupa furaha ya kweli isiyoyumba kwa hali za maisha. 3. Anakupa hekima ya kufanya maamuzi sahihi. 4. Anakupa nguvu ya kuvumilia matatizo. 5. Anakufundisha kusamehe na kuishi kwa amani na watu. 6. Anakupa moyo wa upendo unaojenga...
  17. Tech Max

    Ushuhuda wa mbinguni na kuzimu alionyeshwa na YESU KRISTO

    Ushuhuda wa mbinguni na kuzimu alionyeshwa na YESU KRISTO. Tazama YouTube https://youtu.be/YoPpgm0bsP0?feature=shared
  18. Yoda

    Mtume alijuaje Yesu Kristo hakuuwawa msalabani na Warumi?

    Wayahudi waliomshitaki Yesu kwa Herode na Pontio Pilato, wanafunzi wake walioukuwa wafuasi wake wanaotembea naye kila siku na Warumi waliokuwa wakoloni watawala wa Judea ambao ndio walimuhukumu Yesu wote wanashuhudia kwamba Yesu Kristo alitundikwa na kuuwawa msalabani, wanachotofautiana tu ni...
  19. Meneja Wa Makampuni

    Nilikua Mhindu Yesu Kristo akaniokoa

    Yesu Kristo ana nguvu sana. Nilikua Mhindu Yesu Kristo akaniokoa. Ni maneno ya binti wa kihindi aliye okoka baada ya Yesu Kristo kumwokoa mama yake. https://www.instagram.com/reel/DK_9jQHt9KI/?igsh=MTBlajgxZTg1anI4Nw==
  20. Robert Heriel Mtibeli

    Ukristo ni siasa ya kimwili na kiroho; Ukristo ni umoja; Kama Kristo na Mungu walivyo wamoja. Umoja katika Haki ya Mungu

    Hamjambo! Falsafa ya Yesu ni Mungu katika Ukristo haipo katika personality na ID. Wakristo huamini Yesu ni Mungu sio kwa sababu Mungu ni Mtu au alizaliwa na binadamu. Uungu wa Kristo ni umoja wao katika baadhi ya Majukumu na utendaji. Kwa wasioelewa, nitawapa Mfano rahisi, Mwanamke na...
Back
Top Bottom