krismasi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Raymanu KE

    Jinsi vijana wa Gen Z wanavyosherehekea krismasi

    😂😂
  2. Lycaon pictus

    Krismasi hii wakenya wamejua kuvaa.

    Wakenya mambo yao.
  3. ELI COHEN

    Itikadi kali wamjia juu salah kuwatakia watu Krismasi njema

    Watu wa ovyo dunia hii kuwahi kutokea, bado wanaishi stone age 👇👇
  4. Pascal Mayalla

    Krismasi ni Kuzaliwa Kwa Mwokozi Kutukomboa, Ili Tanzania, Watanzania, Tukomboke, Lazima Tuzaliwe Upya!

    Wanabodi Hii ni makala yangu ya Salaam zangu za Krismasi kwenye gazeti la Mwananchi. Leo ni Sikukuu ya Krisimasi, Watanzania tunajiunga na watu wengine duniani, kuadhimisha sikukuu hii ya Krisimasi ambayo ni sikukuu ya kuadhimisha kuzaliwa kwa Masiha, Mwokozi wa Wakristo, Bwana wetu Yesu...
  5. Mafyangula

    Sheikh Hemed Jalala awatakia Wakristo Heri ya Krismasi

    Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania, Sheikh Hemed Jalala, amewatakia Watanzania wote, hususan waumini wa dini ya Kikristo, heri ya Sikukuu ya Krismasi inayoadhimishwa duniani kote kama kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mwokozi wao, Yesu Kristo. Akizungumza katika salamu zake za sikukuu kwa mwaka...
  6. Chibike

    Maandalizi ya Krismasi yananoga, watu wanakula bia

    Kula bia kula bia kula bia kula bia 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍺🍺🍺🍺🍺🍺🍺🍺🍺🍺🍺🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻🍻 Kula bia kula bia kula bia kula bia...bia tamu 😂😂😂😂😂😂😂 we hapa lounge bar tunaondoka tarehe 2 mwakani ni kula bia kula bia kula bia ..😂😂😂😂
  7. M

    Picha: Hekaheka za Krismasi mjini Chato

    Maandalizi ya sikukuu huko Chato
  8. Mshana Jr

    Krismasi ya mapinduzi / crăciunul revoluționar

    By Malisa GJ, Mwaka 1965 aliyekuwa Rais wa Romania Gheorghe Gheorghiu-Dej, alifariki dunia akiwa madarakani. Kwa mujibu wa Katiba yao, Rais akifia madarakani, Katibu mkuu wa chama cha kikomunisti (PCR) anarithi kiti chake. Hivyo ndivyo Nicolae Ceaușescu alivyopata bahati ya kuwa Rais wa Romania...
  9. Roving Journalist

    Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Kuzaga asheherekea Krismasi na watoto wenye Mahitaji Maalum

    Jamii yatakiwa kutimiza wajibu wake kuzuia ongezeko la watoto wanaoishi katika mazingira magumu Hayo yamezungumzwa na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Benjamin Kuzaga Desemba 25, 2024 alipotembelea Kituo cha kulelea watoto wenye mahitaji maalum cha...
  10. magnifico

    Salamu Za Krismasi kutoka kwa Mohammed Salah Na Familia yake

  11. Waufukweni

    PreGE2025 BAVICHA wafika nyumbani kwa Bibi yake Soka, washerehekea Krismasi pamoja

    Vijana wa CHADEMA kutoka Kanda ya Kaskazini walijumuika kusherehekea Sikukuu ya Krismasi nyumbani kwa bibi yake Deusdedith Soka, huko Kibosho. Hafla hiyo pia iliadhimisha siku ya kuzaliwa ya Soka, ikileta furaha na mshikamano kati ya viongozi na wanachama wa chama hicho. Pia, Soma: Mke wa...
  12. Kitimoto

    Sherehe za Krismasi Mwaka Huu Kwenye Baadhi ya Nchi za Kiarab

    Sherehe za Krismasi Mwaka Huu Kwenye Baadhi ya Nchi za Kiarab ikiwemo watu wa Palestina
  13. Jackwillpower

    Padri Titus Amigu: Kwanini tunasheherekea Sikukuu ya Krismasi?

    Heri ya sikukuu ya Krismasi na mwaka mpya KITABU: ZIJUE BARABARA SIKUKUU ZA NOELI NA PASAKA Na. Padri Titus Amigu. Chapa - Benedict publication Ndanda - Peramiho - Juni 2000. KRISMASI: Pg. 56. ..... Basi, ili kuwa na umoja waamini wapate kusherekea kuzaliwa kwa Yesu, Kanisa likajiwekea...
Back
Top Bottom