Architecture ni taaluma ya kusanifu, kuchora na kusimamia ujenzi wa majengo mbalimbali kama nyumba, maofisi, shule, hospitali, misikiti, makanisa, n.k. Mwanafunzi wa kozi hii anafundishwa jinsi ya kubuni majengo kwa kuzingatia matumizi, uzuri, uimara, usalama na mazingira.
2. MUDA WA KOZI
Kozi...