kombe

Kömbe is a kind of börek from [[Sivas, Malatya Province Turkey. It exists in both the cuisine of Turkey and that of Azerbaijan and is popular among both Turkish and Azerbaijani people.

View More On Wikipedia.org
  1. JamiiForums Tanzania Takwimu za Berkane Vs Simba kuelekea mchezo wa Final kombe la Shirikisho

    Hizi hapa takwimu za Berkane Vs Simba kuelekea mchezo wa Fainal ya kwanza hapo Jumapili. Kubwa la kuzingatia ni kuwa Berkane kafungwa mchezo mmoja tu na kuruhusu magoli mawili tu msimu huu wa mashindano ya Kombe la Shirikisho.
  2. JamiiForums Tanzania Simba na karia wenu mnatuharibia mpira na sisi tunahonga mpaka tuchukue kombe

    Mambo ya kiwaki nyie jamaa hamfai kuongoza ligi yety,mambo ya UCCM mnayaleta kwenye ball.
  3. JamiiForums Tanzania Updates fainali ya kukata na mundu kombe la muungano

    Leo ndio leo Baada ya kuona kimya nikaona isiwe vibaya nianzishe Leo mechi itakuwa uwanja wa bwawani sijui gombani Kati ya timu tishio duniani ya dae es Salaam young afrika aka nyuma mwiko na timu tishio ukatanda wa afrika mashariki ya pwani na visiwani kote Jku Mechi itakuwa ngumu sana hasa...
  4. T

    JamiiForums Tanzania Simba ya Fadlu ni 'Cold blooded animal ' Kombe la CAF Confederation kubaki Tanzania

    Simba hii imekuwa ya kushangaza, ni Simba ambayo Sisi Wana Simba tumeyasikia mengi! Cha kushangaza, toka Tu uongozi ulipomtangaza kocha mpya NI Fadlu. Ukweli yalisemwa mengi ya kejeri nk. Eti kocha hajawai kuwa kocha mkuu, ataiwezaje Simba! Niliwahi waambia watu kuwa ubuyu ulianza Kama mchicha...
  5. JamiiForums Tanzania Pongezi kwetu Yanga fainali Muungano Cup. Tunaenda beba Kombe la Muungano kibabe

    Haikuwa rahisi. Hatimaye tumeingia Fainali Kombe la Muungano. Match ilikuwa ngumu na kuamuliwa kwa penalty. Tunaenda kuwekeza nguvu kwenye kulibeba kombe wallah...
  6. JamiiForums Tanzania Kombe la Muungano na maelekezo maalumu

    Ni mawazo yangu kwamba kombe la muungano,lina maelekezo maalumu kwamba ni lazima timu za zanzibar zishinde kombe hilo.Hata leo mtaona yanga inatolewa.
  7. JamiiForums Tanzania Mwenye update kuhusu nusu final ya kombe la muungano tafadhari

    Wakuu kama mnavyojua Kuna kombe la kukata na shoka huko zenji Sasa update za nusu final naona bodi ya ligi hawatoi naomba kujua inafanyika lini kwa Azam vs KMK na Yanga vs Jku !?
  8. JamiiForums Tanzania Tetesi: NIDA ni jipu mnafeli sana sema mnafunika kombe

    Nianze kwa kusema hivi; mwaka 2018 nilikuwa mkoani Tabora nikifanya kazi kwenye kampuni moja na ndiko nilikojiandikisha kupata NIDA. Baada ya mwaka mmoja nikarejea Dar pasipo kupata Kadi yangu, nikawa mjini kwa mda wote huo hadi 2023 niliporudi Tabora kwa masuala yangu na mara hii nilibahatika...
  9. JamiiForums Tanzania Simba ataingia fainal na kuchukua kombe la shirikisho

    Game ya Jpili Simba atashinda zaid ya Goli 2, Game ya maridiano kwa Madiba itakuwa sare, Game ya Fainal Simba ataanzia Nje nayo itakuwa sare, Atakuja ukimaliza kwa mkapa kwa ushindi mnono na kubeba ubingwa wa shirikisho, huu ndo utabiri wangu
  10. JamiiForums Tanzania Acheni kulishana Upepo. Simba haiwezi kuchukua kombe hili la CAF. Anaenda kuzikwa South Africa

    Ile kushinda jana kuna mabwege wameshaanza kuandika upuuzi. Yaani hii Simba tia maji tia maji ya kufika Fainali? Nyie mnafanya masikhara sana. Labda umri wenu ndo changamoto. Mnaanza kulishana upepo mkidhani mtashiba kutokana na njaa kali ya Makombe mliyo nayo kwa miaka hii 4. Na mwaka huu...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Simba inahangaikia sana Kombe la Looser

    Yaani jinsi ilivyokuwa inaliponda halafu eti leo hii ndio wanalipambania kwa nguvu zote hadi kutumia ulozi na uchawi.
  12. JamiiForums Tanzania GSM anaharibu kombe la Shirikisho

    Mnakumbuka alikuwa mdhamini wa timu zote mwaka juzi, Yanga ikafika fainali kwa kubebwa na ma arajiga wa CAF. Mwaka huu kaidhamini Al Masry ili itukwamishe. Kamara kapewa hela pia. Mimi ni mzee wa Simba.
  13. JamiiForums Tanzania Simba haijawahi kutwaa kombe la NBC wala CRDB tangu yaanzishwe

    Tangu kuanzishwa kwa Kombe la Ligi kuu bara chini ya udhamini wa NBC , muonekano wa makombe haya yameshabadilishwa mara kadhaa, Lakini katika mionekano yote 5imba haijawahi hata kujua uzito wa kombe mojawapo ukoje 😀 Mara zote makombe haya yameenda kwa wazee wa kutandaza soka safi na mabingwa wa...
  14. JamiiForums Tanzania Argentina atinga Kombe la Dunia kibabe; awahi Marekani/Canada na Mexico kulitetea

    Mabingwa wa soka wa dunia, timu ya taifa ya Argentina, leo alfajiri imefuzu mashindano ya kombe la dunia ya mwakani kwa kuibamiza Brazil mabao 4-1. Mashindano hayo ya mwakani yatapigwa kwenye nchi tatu za Marekani, Canada na Mexico. Baada ya ushindi wake huo, Argentina amefikisha alama 31...
  15. R

    JamiiForums Tanzania Ni kweli Simba wamewahi kukaa misimu zaidi ya sita bila kombe la ligi kuu ?

    Is this True maana imeniwia vigumu kuamini kwa ukubwa wa Simba
  16. JamiiForums Tanzania Simba iandikieni tff barua kwamba yanga wapewe kombe hata wakitaka Leo ,sio shida zetu , point 3 zinazafutwa uwanjani sio mdomoni na kulialia

    Naona yanga wanalialia kama watoto kwa makosa ya ushenzi wao !! Wanataka point za mezani kwa mechi gani waliocheza? Mwamuzi alikuwa nani ,na Kamisaa alikuwa nani? Ipeni yanga pointi 3 na ikiwezekana wapewe na za nyongeza Bado mwaka huu ubingwa hauwahusu
  17. JamiiForums Tanzania Drake Ataweza kufanya kwenye Kombe la Dunia alichokifaya Kendrick Lamar SuperBowl?

    https://fntaz.com/drake-ataweza-kufanya-kwenye-kombe-la-dunia-alichokifaya-kendrick-lamar-superbowl/
  18. JamiiForums Tanzania Records: Sure Boy na Mudathir walisimamishwa Azam kwa sababu ya kupanga matokeo dhidi ya Yanga

    WACHEZAJI watatu wa Klabu ya Azam FC ambao ni Nahodha Aggrey Morris, Salum Abuubakar (Sure Boy) pamoja na Kiungo Mudathir Yahya Abbas walisimamishwa kwa muda usiojulikana kutokana na utovu wa nidhamu. Kupitia mjadala mkali wa Crown Media imebainika kuwa walipanga matokeo dhidi ya Yanga...
  19. JamiiForums Tanzania Mbeya City yaitoa Azam FC kombe la Shirikisho la CRDB

    Huu kweli ni mwaka wa ubaya ubwela. Azam ametolewa kwa penati na Mbeya City katika mashindano ya Shirikisho la CRDB Cup. Tukumbuke kwamba Mbeya City inacheza katika ligi daraja la kwanza. Timu hizo zilimaliza mchezo kwa kufungana 1-1 ndiyo wakaenda kupigiana penati ambapo Mbeya City ikashinda...
  20. JamiiForums Tanzania Arajiga kuchezesha mechi ya kufuzu Kombe la Dunia 2026

    Waamuzi wa Tanzania Ahmed Arajiga, Kassim Mpanga, Said Hamdani na Salum Nasir wameteuliwa na na Shirikisho la soka Duniani (FIFA) kuchezesha mchezo wa Kundi G wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2026 kati ya wenyeji Botswana dhidi ya Algeria utakaopigwa Mjini Francistown Nchini Botswana Machi 21...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…