Nike hivi karibuni wametoa tangazo kubwa la kimataifa la mpira wa miguu linaloitwa "Rip the Script" likiwakutanisha mastaa wakubwa duniani kama Cristiano Ronaldo, Kylian Mbappe, Erling Haaland, Ronaldinho, Zlatan Ibrahimovic, LeBron James, Kim Kardashian na wengine wengi.
Tangazo hilo...