Picha za afisa wa polisi aliyeshambuliwa na kundi la vijana huko Homa Bay zimeibua swali ambalo tunapaswa kujiuliza kama taifa:
Je, tofauti zetu za kisiasa zimetufanya tusahau thamani ya maisha ya binadamu?
Unaweza kuunga mkono ODM, Kenya Kwanza, Linda Mwananchi, upinzani au serikali - lakini...