Kwa kweli kama ni hivi inaweza badili kabisa the dynamics za geopolitics za middle east. Rais wa UAE na Mtawala wa Abu-Dhabi Sheikh Mohamed bin Zayed Al Nahyan alikuwa mtawala thabiti dhidi ya Siasa Kali za Kiislamu na Muslim Brotherhood, Aliwapigania Wayahudi waishi kwa Amani Dubai, alijitahidi...