Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,838
- 50,542
Hivi wao wangendelea na mpango wao wa kuwafanya watu wao watiki, halafu Lissu aendelee kufanya harakati za NO REFORMS NO ELECTION, kwani kingetokea nini?
Kishindo cha Lissu kimeifanya CCM nzima ichanganyikiwe na kukanganyikiwa.
Kishindo cha Lissu kimeifanya CCM nzima ichanganyikiwe na kukanganyikiwa.