kinondoni

Kinondoni District is a district in north west of Dar es Salaam's central business district, Tanzania, others being Temeke (to the far Southeast) and Ilala (downtown Dar es Salaam). To the east is the Indian Ocean, to the north and west the Pwani Region of Tanzania. The area of Kinondoni is 531 km2 (205 sq mi).
The 2002 Tanzanian National Census showed that the population of Kinondoni was 1,083,913. The census of 2012 showed that the population of Kinondoni was 1,775,049: 914,247 female and 860,802 male. There are 446,504 households in Kinondoni with an average of 4 people per household.The original inhabitants of Kinondoni were the Zaramo and Ndengereko, but due to urbanization the district has become multi-ethnic.

View More On Wikipedia.org
  1. Dennis Robert Shughuru

    JamiiForums Tanzania Njia ntakayotumia kuboresha maeneo kama Magomeni, Mburahati, Kigogo, Mabibo, Manzeshe, Kinondoni, Mwananyamala, Kijitonyama, Sinza, Ilala, Keko n.k

    Hayo maeneo ni sehemu ya city centre kwa hiyo yanatakiwa yaboreshwe Zifuatazo ni njia ntakazotumia kuboresha na kuyafanya ya kisasa ntatumia njia zifuafazo Hayo maeneo yatajengwa gorofa kuanzia 5 na mpaka 100 Wale wote wenye maeneo watatoa maeneo hayo na kuwapa madeveloper Madeveloper watajenga...
  2. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Hamad Komboza amejitosa kuomba ridhaa CCM kuwania ubunge Jimbo la Kinondoni

    Hamad Komboza Mwenyekiti wa Chama cha Walemavu Tanzania Jumatano hii amechukua fomu ya kuomba ridhaa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ili kuwania ubunge wa Jimbo la Kinondoni.
  3. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Katibu wa Watanzania waishio nje ya nchi 'Daispora' Tanzania, Hassan Maftaha achukua fomu kuwania ubunge Kinondoni

    Katibu wa Watanzania waishio nje ya nchi 'Daispora' Tanzania, Hassan Maftaha akionyesha fomu ya kuwania ubunge wa Kinondoni baada ya kuichukua leo Jumapili Juni 29,2025. Fomu hiyo amekabidhiwa na Katibu Msaidizi wa Uchaguzi Wilaya ya Kinondoni, Amosi Richard kwa ajili ya kuwania nafasi hiyo
  4. A

    JamiiForums Tanzania KERO TARURA wilaya ya Kinondoni wananizungusha malipo yangu

    Mh. Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam, habari ya leo? Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyoeleza. Ningependa kujuzwa, hivi raia anapoidai serikali (halmashauri) inachukua muda gani kulipwa stahiki zake? Ninawadai Halmashauri ya Wilaya ya Kinondoni pesa kwa mradi wao wa Tarura uliopita kiwanjani...
  5. Just Pray

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CCM Kinondoni yasema Askofu Gwajima ameliachia jimbo la Kawe, ataletwa mwakilishi mzuri

    Tunahitaji aina ya wabunge wenye ujasiri wa kuzungumza na kukemea maovu kama alivyofanya Askofu Gwajima, lakini cha kushangaza kwa CCM watu wa aina hii ni maadui na hawana nafasi chamani mwao Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kinondoni kimesema Mbunge wa Jimbo la Kawe, Askofu Josephat Gwajima...
  6. Mama Edina

    JamiiForums Tanzania Jimbo la Kinondoni, Tarimba aliwahonga hadi mkampa uwakilishi?

    Wabunge wenye tabia hizi ni wengi, wale wasio na haya kama Tarimba ndio wanatuona hatunazo kabisa, wananchi wa kinondoni mbona tuna wasomi waelewanna wapenda maendeleo wengi tuu. Yaani washaona nchi hii watusimamishe barabarani wapite wao. Tunajua moja ya viongozi nchi walio na uhuru uliovuka...
  7. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Ponjolo wa kinondoni ni nani?🤣

    Hii filamu inazidi kuwa tamu😁😁
  8. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Gwajima kasema Ponjoro wa Kinondoni atulize mashono, akimgeukia atasanda

    Gwajima kasema amemshangaa Ponjoro wa Kinondoni ambaye ameng'aka kwa mtoto wa mtu mmoja akitolewa mfano kwenye utekaji. Anasema yeye alitolea mfano kwa watoto wa wote, sababu anawajali wote, kwanini yeye aje amsemee mtoto mmoja tu? Sababu wengine hawana thamani? Kamwambia atulize mshono la...
  9. Dalali_wa_kimataifa

    JamiiForums Tanzania Corner house for sale, located at Kinondoni Dar es salaam. Price tsh 1 billion

    ENEO LENYE FRAME ZA MADUKA LINAUZWA UKUBWA WA KIWANJA NI 400 SQM BEI NI BILLION MOJA,MAONGEZI KIDOGO YAPO NI CORNER PLOT,KARIBU KABISA NA KITUO CHA MWENDOKASI DOCUMENTS:TITLE DEED 🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717
  10. Dalali wa kimataifa

    JamiiForums Tanzania CORNER HOUSE,LOCATED AT KINONDONI DARESSALAAM, PRICE TSH 1BILLION

    ENEO LENYE FRAME ZA MADUKA LINAUZWA UKUBWA WA KIWANJA NI 400 SQM BEI NI BILLION MOJA,MAONGEZI KIDOGO YAPO NI CORNER PLOT,KARIBU KABISA NA KITUO CHA MWENDOKASI DOCUMENTS:TITLE DEED 🇹🇿Call/WhatsApp +255758844717
  11. G

    JamiiForums Tanzania Kelele zinazosikika usiku huu Kinondoni

    HEshima yenu wakuu. Kuna kelele zinazosikika usiku huu karibu kinondoni nzima kuanzia makaburini mpaka kinondoni hananasifu mpaka kinondoni manyanya yote.. Kelele hizi zinatokea kwenye msikiti.zilianza mapema saa tatu usiku na mpaka usiku huu mnene bado zinaendelea na kwakweli huwezi...
  12. Teslarati

    JamiiForums Tanzania Kinondoni hasa Mwananyamala hapafai kabisa kimaadili kwa sasa

    Aisee haya mambo sijasimuliwa nilijionea mwenyewe juzi. Kuna jamaa yetu alikua anaumwa kwa muda mrefu ikabidi kwenda kumsabahi hapo Mwananyamala hospital. Tulipofika ndio hio siku akawa ameruhusiwa kwenda kwake hivyo ikabidi niwape lift hadi wanapokaa. Ule mtaa nilioyaona aisee ni kufuru...
  13. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO DDC ni jipu litakaloleta migogoro mikubwa ya Ardhi Kinondoni

    Najiuliza hawa DDC wanapata wapi uharali wa kupima viwanja maeneo ya Mbopo, Mabwepande na Tegeta A. Nadhani sheria za ardhi zinakiukwa na naona kuna mgogoro mkubwa unakuja huko mbeleni. Wizara ya Ardhi wanatakiwa walifuatilie hili jambo kwa umakini sana
  14. radhiya

    JamiiForums Tanzania Plot available for Sale in Kinondoni Morocco Uporoto St.

    Plot Available For Sale. Location: Kinondoni Morocco, Uporoto Street. Size: SQM 3326. Price: USD 1.2 Million (Negotiable). Document: Clean Title Deed. For further details or to arrange a viewing, kindly contact us. A small viewing fee will apply. Contacts: 0784 829565 or 0767 833345 @prathlimited
  15. radhiya

    JamiiForums Tanzania Plot Available For Sale in Kinondoni Morocco

    Plot Available For Sale. Location: Kinondoni Morocco, Uporoto Street. Size: SQM 3326. Price: USD 1.2 Million (Negotiable). Document: Clean Title Deed. For further details or to arrange a viewing, kindly contact us. A small viewing fee will apply. Contacts: 0784 829565 or 0767 833345 @prathlimited
  16. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Sala ya Iddi kitoka Msikiti Mkuu wa Bakwata, Kinondoni DSM: Mgeni Rasmi Baraza la Iddi ni Rais Samia, JK, Salma, Mchengerwa Ndani!. Eid Mubarak!

    Wanabodi Nafuatilia live ya Swala ya Idd El Fitri kupitia TBC live!, kutokea kwenye Msikiti Mkuu wa Bakwata, Msikiti wa Mfalme Mohammed wa 6 wa Morocco, Kinondoni jijini Dar es Salaam. Karibuni https://www.youtube.com/live/c2Ad4IXVKUU?si=OMJZtMBCkCXGDagu Nimemuona Rais Samia amehudhuria ibada...
  17. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kinondoni: Mbunge Abbas Tarimba amwaga mitaji kwa Mama Wajasiriamali 54 Kata ya Mzimuni

    Wakuu Mbunge wa Kinondoni Mhe Tarimba Abbas amekutana na akina Mama wapatao 54 wa Kata ya Mzimuni na kuwapatia mitaji kuendeleza shughuli zao za ujasiriamali. Pia, Soma Kinondoni patachimbika! Wanaotaka Ubunge kibao, yumo Iddi Azzan, Tarimba na mjukuu wa Bakhresa
  18. M

    JamiiForums Tanzania Uongozi wote wa Manispaa ya Kinondoni kuna haja ya kujitafakari

    Uongozi wote wa Manispaa ya Kinondoni kuna haja ya kujitafakari: Stand ya daladala Bunju imehamishiwa barabara kuu ya Bagamoyo Manispaa imeshindwa kujenga standi hata ya changarawe. Matokea yake ni ajali na kugongwa kwa wananchi. Kata zote Barabara wananchi wanajichangisha wenyewe kulipia...
  19. Consultant_Silwano

    JamiiForums Tanzania MSAADA WA KUPATA NYUMBA YA KUPANGA NHC DAR ES SALAAM

    Habari wanajamii forum, Naomba msaada wa kusaidiwa kupata nyumba ya kupanga za NHC Dar es salaam eneo laweza kuwa Ubungo Shekilango au eneo lolote ambalo litanirahishia kufika hospitali ya muhimbili kwa urahisi kwani kwa sasa nauguza Mgonjwa ambaye anilazimu kumpeleka kwenye session muhimbili...
  20. ngara23

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Eng Hersi Said analitaka Jimbo la Kinondoni

    Eng Hersi amekuwa ambaye ndiyo Rais wa club ya Yanga na Mwenyekiti wa vilabu vyote Africa, amekuwa mahiri na kuonyesha uongoza thabiti na wenye weledi Akiwa Yanga amefanya mapinduzi makubwa na mafanikio kimataifa, Amefanya biashara ya mpira na kiuwezesha timu ya Yanga kuwa Moja ya timu kubwa...
Back
Top Bottom