Kelele zinazosikika usiku huu Kinondoni

Kelele zinazosikika usiku huu Kinondoni

GOOD LADY

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2012
Posts
226
Reaction score
434
HEshima yenu wakuu.

Kuna kelele zinazosikika usiku huu karibu kinondoni nzima kuanzia makaburini mpaka kinondoni hananasifu mpaka kinondoni manyanya yote..

Kelele hizi zinatokea kwenye msikiti.zilianza mapema saa tatu usiku na mpaka usiku huu mnene bado zinaendelea na kwakweli huwezi kulala.tunaomba msaada zisitishwe ikiwezekana tunaomba kupewa namba za NEMC ili tureport kero hii.
 
HEshima yenu wakuu.
Kuna kelele zinazosikika usiku huu karibu kinondoni makaburini mpaka kinondoni hananasifu yote..kelele hizi zinatokea kwenye msikiti.zilianza mapema saa tatu usiku na mpaka usiku huu mnene bado zinaendelea na kwakweli huwezi kulala.tunaomba msaada zisitishwe ikiwezekana tunaomba kupewa namba za NEMC ili tureport kero hii.
Andika ueleweke vizuri
 
Nipo mita chache kutoka lilipo tukio wakinyamaza ni kila nankurudi tena wanavosema ni dua ok fine lakini watuangalie na ss tunataka kupumzika wqtu mpk wqnalia kwenye spike huyu mufti msambaa kaja na vituko hapa bakwata
 
Nipo mita chache kutoka lilipo tukio wakinyamaza ni kila nankurudi tena wanavosema ni dua ok fine lakini watuangalie na ss tunataka kupumzika wqtu mpk wqnalia kwenye spike huyu mufti msambaa kaja na vituko hapa bakwata
Hata kama ni dua lkn huwezi kupiga kelele za namna hii ambazo zinasikika kinondoni yooote na ni kero kweli kweli hata watoto wanashindwa kulala.na hapa ni mjini kabisa mamlaka zipo na hakuna zinachofanya
 
Wanaume wa darisalam wakuda sana. Vikelele vya kitoyo tu unaandishia Uzi. Manina zeni wanadarisalaman
 
Hata kama ni dua lkn huwezi kupiga kelele za namna hii ambazo zinasikika kinondoni yooote na ni kero kweli kweli hata watoto wanashindwa kulala.na hapa ni mjini kabisa mamlaka zipo na hakuna zinachofanya
Ni zamu yetu mtuache..,..kelele za mama
 
HEshima yenu wakuu.
Kuna kelele zinazosikika usiku huu karibu kinondoni nzima kuanzia makaburini mpaka kinondoni hananasifu mpaka kinondoni manyanya yote..kelele hizi zinatokea kwenye msikiti.zilianza mapema saa tatu usiku na mpaka usiku huu mnene bado zinaendelea na kwakweli huwezi kulala.tunaomba msaada zisitishwe ikiwezekana tunaomba kupewa namba za NEMC ili tureport kero hii.
Na bado, nyie SI mlikubali tamaduni za wageni. Ngoja wawanyooshe mpaka maji myaite mma.

China hizo dini wamevunja misikito na makabisa yao, wanaziita ni utindio wa ubongo, haiwezekani mtu mwenye akili kamili akaamini akina mudi na yezu.
 
HEshima yenu wakuu.

Kuna kelele zinazosikika usiku huu karibu kinondoni nzima kuanzia makaburini mpaka kinondoni hananasifu mpaka kinondoni manyanya yote..

Kelele hizi zinatokea kwenye msikiti.zilianza mapema saa tatu usiku na mpaka usiku huu mnene bado zinaendelea na kwakweli huwezi kulala.tunaomba msaada zisitishwe ikiwezekana tunaomba kupewa namba za NEMC ili tureport kero hii.
Wee Gudiledi,@good lady, hebu uwe na heshima na adabu kwa dini za wenzetu!,baada ya kujua ni sauti kutoka msikitini,then hizo ni sauti za dua maalum,maulid maalum au kisomo maalum,huwezi kuita kelele!,unapaswa kuita ni sauti kutoka msikitini na sio kuita kelele!。

Maadam sio sauti za kila siku,Watanzania tumefunzwa kitu kinachoitwa religious tolerance,uvumilivu wa kidini na ustahilivu wa dini za wengine。

Watu wote wanaoishi jirani na misikiti,kila siku iendayo kwa Mungu,wanaamshwa na salaa salaa,na adhana ya swala 5!,wanavumilia!

Majirani na makanisa ya wokovu wanakoma na mikesha ya makanisa hayo,wanavumilia!

Siku za mkesha wa Bulldosser Mwamposa,ni Kawe nzima,Mikocheni,Mbezi Beach jirani na Kawe,sio tuu ni hakuna kulala,bali barabara zote kuingia Kawe na kutoka ni mtiti!

P
 
Wee Gudiledi,@good lady, hebu uwe na heshima na adabu kwa dini za wenzetu!,baada ya kujua ni sauti kutoka msikitini,then hizo ni sauti za dua maalum,maulid maalum au kisomo maalum,huwezi kuita kelele!,unapaswa kuita ni sauti kutoka msikitini na sio kuita kelele!。

Maadam sio sauti za kila siku,Watanzania tumefunzwa kitu kinachoitwa religious tolerance,uvumilivu wa kidini na ustahilivu wa dini za wengine。

P
Pia kuna uvumilivu wa kisiasa, yaani watu wanaiba kura na wala hawana wasiwasi, ukiwakosoa unatekwa na kupotezwa.
 
Back
Top Bottom