king'asti asprin

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Mtakumbuka huu UJUMBE , tunaelekea Tanzania kuwa kama ZIMBABWE.Ameandika Mheshimiwa Godbless Lema

    Dhahabu ya taifa si “pesa iliyoko mezani,” bali kinga ya taifa, inadumisha thamani ya sarafu, inakabiliana na mfumuko wa bei, na inavutia uwekezaji. Kuiondoa kutoka hazina au kuuza zote mara moja ni kujipiga makofi. Ni hatari isiyo na kifani. Hatari hii si ya nadharia tu, bali ni kielelezo cha...
  2. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Wakili Boniface Mwabukusi amemtaka Jaji Mkuu wa Tanzania asiruhusu kesi kama hizo. Tundu Lissu atolewe

  3. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania RAIS SAMIA akabidhiwa Gari Na Wa-Tanzania Wenye Urai Wa Oman

  4. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Machafuko ya uchaguzi wa Oktoba29 2025 nchini Tanzania yalifunikwa na giza zito la kuzimwa kwa intaneti

    Machafuko ya uchaguzi wa Oktoba 2025 nchini Tanzania yalifunikwa na giza zito la kuzimwa kwa intaneti, baada ya mrindimo wa bunduki kunyamaza ghafla. Sasa, ushahidi mpya unafichua kile ambacho hakikusimuliwa – vifo vya watu ambao idadi yao bado haijulikani, miili iliyotoweka, na tuhuma za...
  5. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Serikali ya Tanzania imempiga Marufuku Dawa ya Kutibu Maradhi ya Uvimbe WaTezi Dume ya Dr Samsung Misango Asiuze.Kwani Anaharibu biashara ya vidonge

    Serikali imempiga Marufuku Dawa ya Kutibu Maradhi ya Uvimbe WaTezi Dume ya Dr Samsung Misango Asiuze.Kwani Anaharibu biashara ya vidonge Vinavyouzwa na serikali na kufanya Operesheni ya Tezi Dume wagonjwa hawaendi tena kutibiwa Hospitali.Kwani Dawa Za Hospitali haziwezi kuponyesha Maradhi ya...
  6. Mwanamwana

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Abdallah Makame: Oktoba 29 watu waliokuwa na silaha waliua wenzao na kuvamia vituo vya polisi

    Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki Dkt. Abdallah Makame(CCM) amesema kuwa waliofanya mauaji, kuvamia vituo vya polisi, maduka na kuchoma mali ni watu waliokuwa na silaha ambao mpaka sasa hawajajulikana ni kinanani hasa na walizipata wapi. Ameongeza kuwa hata Sheikh Sharrif Majini aliuawa kwa...
  7. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Laiti Kama ni Mimi ni Kiongozi wa Nchi ningewafukuza kazi Viongozi Wakuu wahusika Wa idara ya Maji na kumuondoa Waziri Wa Nishati

    Tuna Mito, Maziwa lakini Maji safi hatuna lohhh Majangaa kweli nchi yetu. Ni jambo la Aibu tangu tupate uhuru ni zaidi ya miaka 60 bado Wananchi wanahangaika kupata maji safi? Wakati idara na Wizara inauohusika Viongozi wake wapo maofisini wanaupiga mwingi. Maji hayo kiafya hayafai kabisa...
  8. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Ulaya Baridi Kali kuna barifu nyingi sana Kaka bora tubaki huko huko Home huku hakufai au wewe unaonaje ?

  9. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania MAREKANI: Rwanda inahatarisha Usalama wa eneo la Afrika Mashariki

    Haya yanajiri siku chache tu baada ya kusainiwa makubaliano ya amani yaliosimamiwa na Marekani. Awali balozi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa Mike Waltz, aliliambia Baraza la Usalama la Umoja huo kwamba, badala ya kupiga hatua kuelekea amani, Rwanda inaongoza eneo hilo kuelekea ukosefu wa...
  10. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania John Heche amtumia Ujumbe wa wazi Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba

  11. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Usinywe TENA Dawa Hizi TANO ( 5 ) Ukiwa Na MALARIA

  12. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Faida mojawapo inayopatikana kutokana na maandamano

  13. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Alhamdulillah Wananchi wametii amri ya Serikali, Hali ni nzuri sana mpaka muda huu

  14. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Wosia wa Baba wa Taifa. RIP Baba wa Taifa Tanzania, Mwalimu Nyerere

  15. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Maisha ya Ulaya Ni Magumu sana...............

  16. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Ninajipongeza leo siku kuu yangu ya kuzaliwa, HAPPY BIRTHDAY TO ME

    Today is My Happy Birthday nina jipongeza mwenyewe siku yangu ya kuzaliwa Ninawakaribisha Marafiki zangu wote karibuni tusherehekee sikukuu yangu ya kuzaliwa. Karibuni nyote. . ...
  17. Common Folk

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Hakuna dini ya ku-override serikali, toka niingie madarakani TEC wametoa nyaraka 8

    Rais Samia ameongeza kwa kusema "Kama haumpendi kiongozi aliyeko juu, basi vumilia wakati wake utaisha tu". Amesema tangu aingie madarakani, TEC wametoa matamko 8 Pia Soma: Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC): Wote waliokamatwa kwa kudai haki, wakiwemo viongozi wa vyama vya kisiasa...
  18. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Mwili wa Joshua Mollel umewasili nchini Tanzania

    Mwili wa Mtanzania Joshua Mollel aliyeuawa na Hamas kuwasili leo kutoka Israel Maelezo ya picha,Mwili wa Mtanzania Joshua Mollel ukiagwa nchini Israel kabla ya kurudishwa Tanzania, aliuawa na Hamas katika shambulizi la oktoba 7. Mwili wa Joshua Loitu Mollel, raia wa Tanzania mwenye umri wa...
  19. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Picha Yangu ya Leo Baada ya Uchaguzi Mkuu Wa Tanzania

    Mchora vibonzo wetu =AZVodGy-7VfJFtYauXKiSJ4maIdCuy7mr4LBz2CewgRmTb8mD-KjNErSe4fMel81EGoMLYz5XAhtECJrdgA7jKf4TzdM0j_lf9YPzUuDneRtYd8jX-B19kXtRtoMED5O8d7RMSVBZMO0U0ZrsnwtNo9AZfsGjFrBu2-IbzEJAqQQkByqtI6ddpaHt1ZUtD6i3Kv-PvrekjAlm3qFHcUdK1Y&__tn_=-]K*F']Said Michael 'Wakudata' anatupia jicho...
  20. Herbalist Dr MziziMkavu

    JamiiForums Tanzania Zaidi ya watu 200 nchini Tanzania wameshtakiwa kwa kosa la uhaini siku chache baada ya maandamano ya uchaguzi ambapo upinzani unasema

    Zaidi ya watu 200 nchini Tanzania wameshtakiwa kwa kosa la uhaini siku chache baada ya maandamano ya uchaguzi ambapo upinzani unasema mamia ya watu waliuawa. Haya ni kwa mujibu wa wakili mmoja Peter Kibatala na vyanzo vya mahakama vilivyoliarifu shirika la habari la AFP. Hapo jana, Kibatala...
Back
Top Bottom