kiislam

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. sanalii

    Samia ameutia aibu sana umma wa Kiislam Tanzania.

    Uongozi chini ya waislam ulisifika kwa utulivu na upole, watu waliamin nchi rais akiwa muislam inakuwa tulivu, ukijumlisha na yeye kwenda kumuangalia Tundu Lissu Nairobi, basi watu walifurahi sana na alipokea sifa kedekede. Kumbe ni vile hakuwa na power, sasa amepata power, ameharibu sifa zote...
  2. Lucha

    Mwanamke wa kiislam alietayari kwa ndoa.

    Asalam Alaykum. Nahitaji mwanamke wa kiislam alietayari kwa ndoa Sifa zangu Miaka 28 Mrefu Mwembamba Muajiriwa. Sina mtoto. Sifa za mwanamke naemuhitaji Muislam Anaevaa stara. Asiwe na mtoto. Miaka 26 kurudi chini. Asante tangazo hili ni kwa yule tu alie tayari kuingia kwenye ndoa ikiwa...
  3. C

    Katika hili viongozi wa kiislamu hamtendi Haki

    Mambo yanayoendelea nchini kila mmoja anajua, watu wanatekwa, kuumizwa, na kuuwawa lakini viongozi wetu wa kiislam mpo kimya na wengine mmekuwa watetezi juu ya mambo ya haya. Kimsingi mimi ni Muislam lakini kwenye kusimama upande wa haki nawapa kongole viongozi wa madhehebu ya kikristo. Mnafanya...
  4. M

    DR SULE amesema wanawake wote wa kiislam peponi chuchu zao zitakuwa kama msumari na maumbile yao kama binti wa miaka 16 kwa ajili ya wanaume wa enjoy

    Habari wadau. Msikilize Shehe maarufu Alhaj DR sule anavyotoa mawaidha msikitini. Kwenye video attached Dr sule anafundisha wanawake wote wa kiislamu watakaoingia peponi wote watakuwa chuchu saa sita, na hata wale waliozaa matiti yao yatasimamishwa na Allah na kuwa kama msumari, na hata...
  5. shibela

    Answar sunna pokeeni maua yenu

    Habari za asubuhi Hawa waislam wa Ansal sunn sijui ndo inaandikwa hivyo wale wanaovaaga don't touch my shoes aisee wengi wao ni waaminifu ukifanya nao biashara! Nimeshafanya biashara na wa hivyo zaidi ya watatu nabaki na hela Yao au wao wanabaki na ya kwangu na hatujawahi kuzinguana...
  6. MKATA KIU

    Sijawai kuona mwanaume wa kiislam mwenye kipato yupo above 35 hajaoa. Ila ninaona wanaume wa kikristo wengi sana wana hela na hawajaoa. Why this ?

    Hello wadau. Ukweli mimi binafsi sijawai kuona mwanaume wa kiislamu mwenye kipato hata cha milioni moja tu kwa mwezi amefikia miaka 35 bila kuoa. Yaani Kuwa bila mke halali. Ila nimeona wanaume wa kikristo wengi sana wenye kipato zaidi ya milioni 10 kwa mwezi.. wamezidi miaka 35 ila bado...
  7. mshale21

    Kuhusu utekaji nchini, Viongozi wa dini ya Kiislam mnaogopa nini kukemea utekaji ?

    Viongozi wa Dini ya kiislamu, je ? Ala na mtume Mohamad aliwafundisha kufumbia macho utekaji, uonevu, upotezaji na uuaji wa watu? Dini yenu inabariki haya mambo ya hovyo na kuyaona baraka kwa kuwa mtawala ni miongoni mwa waislamu? Mnahisi mko salama? Mnahisi msipoyakemea na kuyafumbia macho...
  8. FaizaFoxy

    Korea Kaskazini, kwa Kiduku, kuwa nchi ya Kiislam?

    Wengi wetu tulikuwa wenye mashaka (skeptical) kuwa Kim Jong UN, al maaruf Kiduku, kaamuwa kusilimu na kuwa Muislam kamili baada ya kuusoma Uislam kwa miezi kadhaa. Leo nimepekuwa sana mtandao na binafsi nimejihakikishia kasilimu kweli na wananchi kadhaa wa Korea Kaskazini wamemfata Rais wao...
  9. Megalodon

    Viongozi wa Kiislam Kupitia BAKWATA elimikeni, haki ya Uchaguzi sio Uvunjifu wa Amani

    Kwenye Baraza la Eid mmedai kuwa uchaguzi ujao wapinzani msiwe ni sehemu ya kuvunja amani na kuleta chokochoko Hizi ni Kauli za Ajabu na mara nyingi nina Doubt uwezo wa mashekh wa Bakwata. Big Up Viongozi wa KIKRISTO , Viongozi wa KIKRISTO are birds who never meant to be caged, huwa...
  10. The unpaid Seller

    Kwanini nchi za Kiarabu hazitaki kuwasaidia Waarabu na Waislamu wenzao Wapalestina?

    Peace, Niko na swali dogo ila tata kwa kiasi fulani, hivi inakuwaje watu walio na "umoja na mshikamano katika dini ya Mwenyezi Mungu" wako tayari hata kujilipua mabomu kwa ajili ya dini yao. Wako tayari hata kuchinja watu huku wakiwarecord ili kutetea "imani" yao "tukufu" ila linapokuja swala...
  11. Kinyungu

    Wanawake wa Kiislam Wamuomba Rais Samia Ufadhili wa Umra na Hija

    Wakuu kama title inavyojieleza hapo, ndugu zetu katika imaan wanaomba ufadhili wa rais Samia ili watekeleze ibada ya Umra na Hija. ================ Wanawake wa Kiislamu nchini wamemuomba Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kuanzisha mpango wa ufadhili kwa Wanawake wenye hali duni ili...
  12. ELI COHEN

    Namkubali sana huyu jamaa anaeitwa "Imam of Peace". Ni mtu ambae ana hamasisha itikadi kali isiendane respectively na dini ya kiheshima ya Kiislam

    Hapa ilikuwa ana expose utapeli wa khomenei mtu ambae anatumia uislam kuhamasisha machafuko. Katika historia tunakumbushwa kuwa jinsi waislam walivyokuwa wanafanyiwa machafuko, mohameed, aliwaambia wakimbilie katika ufalme wa kikristo uliokuwa ethiopia na walipokelewa vizuri Kuwa muislam...
  13. Kanye2016

    Natafuta mke wa Pili Umri kuanzia 20-40 (Binti wa Kiislam)

    Habari Wakuu!!! Natafuta mke mwenye sifa zifuatazo: Awe Muislam. (Awe ana jistiri kama dini inavyohitajika) Umri 20-40 Ajue mapishi Ajue kujiremba na ni msafi. Usiwe na tumbo kubwa. Kama ni single mother (Watoto wasiwe zaidi ya wawili) Awe ni mfanyakazi au mjasiliamali Kama sio mfanyakazi au...
  14. nasry9819

    nahitaji mke mwema wa kiislam:

    habari member
  15. Genius Man

    kueleka mfungo wa imani ya kiislam nimesikia kuna watu wanasema tusile hadharani kwanini wafuasi wa dini ndiyo wasifunge hadharani

    Nimesikia baadhi ya waislam wenye uelewa finyu wanapangia watu wengine wasile hadharani kwenye mfungo wao kwanini wao ndio wasifunge hadharani. Mtu mwenye akili ndogo anazani kufunga kuna husiana na masuala ya chakula tu na ubwabwa inasikitisha sana kwa mtu kuwa na uelewa mdogo hivi. Mtu...
  16. G

    Naupenda uislam tatizo wakijaa kunaanza matukio ya kushambulia wakristo, kulazimisha sheria za kiislam, kuweka vizuizi vya makanisa, n.k.

    Uislam ukiwa na watu wachache kwenye nchi au sehem yenye mamlaka ni dini nzuri lakini tatizo ni pale wanapokuwa wengi balaa ndipo huanza. Kunazuka mashambulizi dhidi ya wakristo kwa kuonekana ni maadui wa uislam (wao huita makafiri) - Basi hapa huzuka matukio ya wakristo kupigwa, kubomolewa...
  17. M

    Ni wapi katika katiba au sheria inayopiga marufuku sheria za Kiislam au za Kikiristo kutumika nchini?

    Tamko la rais (decree) anapolitoa huwa ni sheria. Kinachofanyoka hutungiwa mwongozo wa mipaka ya matumizi yake. Wakati rais wa awamu ya pili aliporuhusu mabinti wa kiislam kuvaa hijab, wako wakimpinga sheria hii wakinukuu kifungu cha katiba kuwa serikali haina dini. Wasichoelewa ni kuwa si...
  18. Azarel

    Wakristo wengi kuhudhuria Mikutano na Hafla za Waislam / Kiislam

    Habarini Wadau, Hiki ninachokiandika nina uhakika na Ushahidi nacho, Juzi...kama two weeks ago au mwezi kulikuwa na Tamasha kubwa sana la Kiislam lililohusisha Watu wa jinsia zote...na Walialika Wasomi wakubwa wa Dini ya Kiislam kutoka pande mbalimbali duniani ikiwepo Europe, Miongoni mwa...
  19. Mr Chromium

    Raia milioni moja wa Iran wabadili dini na kuwa wakristo

    Wakuu Serikali ya kiislam ya mapinduzi ya iran haina muda mrefu kwa kua wengi wao hawaamini tena katika dini ya kiislam. Wairan kama mnavyojua ni watu wenye Akili sana.Kwao kuendeshwa kwa kulazimishwa kuvaa hijabu,kufuata sheria za kidini ambazo wengi hawaziamini ni kiu kigumu. Kifupi wairan ni...
Back
Top Bottom