kigamboni

  1. A

    KERO Daladala za Kigamboni – Temeke zinakera Wateja kwa huduma mbovu, LATRA tusaidieni

    Naomba ujumbe huu ufike kwa Mamlaka husika ya LATRA, Daladala za Kigamboni Wilayani na Temeke hazifiki Wilayani, zinaishia Kigamboni Mwisho. Pili, nauli ya kutoka Kigamboni Mwisho hadi Temeke, mlangoni pameandikwa Sh 600 lakini wao wanatoza Sh 700. Tatu, wakishachukua hela, hawatoi tiketi...
  2. Shark

    KERO Daladala za Kigamboni zagoma kusafirisha abiria kutokana na ubovu wa barabara eneo la kwa Mchina

    Daladala zinazofanya biashara ya kusafirisha abiria kati ya Kigamboni kwenda Kongowe -> Mkuranga -> Toangoma kupitia Mjimwema zimegoma kufanya kazi baada ya kuwa na kipande kibovu hivyo kulazimika kupitia uchochoroni ambapo napo pameharibika. Kipande huko kibovu ni pale kwa Mchina kilianza...
  3. Hyrax

    Kigamboni ni wilaya pekee iliyotelekezwa ndani ya mkoa wa Dar es Salaam

    Kwa utafiti wangu hii ni moja kati ya wilaya bora sana kwa landscape yake na hali ya hewa inayochagizwa na bahari ya hindi jambo linatoa fursa mbalimbali za kiuchumi kama ukitazama wilaya hii kwa jicho la kibishiara na uwekezaji lakini jambo baya zaidi katika wilaya hii ni kama imetelekezwa...
  4. radhiya

    Looking for a Beach plot to buy at Kigamboni

    Attention Beach Plot Owners! On behalf of our client, we are looking for a beach plot to buy in Kigamboni, Dar es Salaam. The plot should be betweeen Ferry up to Puna. Client maximum budget USD 2 Million. We are looking for a plot size of 5 acre's. Plot should have Clean title deed. Send map...
  5. radhiya

    Plot For Sale in Kigamboni Kisarawe 2

    Plot Available For Sale. Location: Kigamboni Kisarawe 2, Mwasonga road. Descriptions: *12km from main road (Kibada road), 2km from Mwasonga road. *It's near to box factory and Dar es Salaam zoo. *It's 9.6 acre's which is equal to 39,507.11SQM. *Suitable for industrial, commercial or residential...
  6. KING MIDAS

    Diwani wa kata ya Msasani Luca Neghesti kugombea ubunge Jimbo la Kigamboni.

    Luca Neghesti diwani wa kata ya Msasani amejipanga kulibeba mazima Jimbo la uchaguzi la Kigamboni ambalo kwa sasa liko wazi baada aliyekuwa mbunge wa Jimbo Hilo ndugu Faustine Ndungulile kufariki dunia.
  7. Dalali wa Mjini

    Eneo linauzwa Kigamboni sqm 5000

    Habari wakuu. Eneo la sqm 5000 linauzwa kigamboni opposite chekechea. Eneo linaangalia barabara kuu ya kwenda kongowe ukitokea kigamboni darajani unaenda moja Kwa moja Hadi chekechea unakutana na eneo lako. Eneo linafaa Kwa uwekezaji wowote ule. Yard Kituo cha mafuta Hotel Apartment na...
  8. radhiya

    House For Sale in Kigamboni Kibada

    House with Three Apartments in Kibada Kigamboni for Sale Two units of three bedrooms. One unit of two bedrooms. Each unit has independent electricity meter. Mature garden, 60m freshwater borehole, fenced. 1460 Sqm, Title available. Selling Price: TZS 450m negotiable. For more information or...
  9. radhiya

    Kiwanja Kinauzwa Kigamboni Tuangoma

    Kiwanja Kinauzwa, kimezungushiwa uzio na kipo kwenye kona (Corner plot). Mahali: Kigamboni Tuangoma, karibu na nyumba ya Mkuu wa Wilaya. Kipo km 1 kutoka barabara ya kuelekea Tuangoma. Ukubwa wa Eneo: SQM 1265. Bei: Tzs Milioni 100. Maongezi yanaruhusiwa. Nyaraka: Hatimiliki. Gharama ya kwenda...
  10. radhiya

    Plot For Sale in Kigamboni Mwasonga

    Plot For Sale in Kigamboni Mwasonga. Along tarmac road, 16km from ferry. Plot size: SQM 7472. Price: Tsh 600 Million. Document: Title Deed. For further details or to arrange a viewing, kindly contact us. A small viewing fee will apply. Contacts: 0784 829565 or 0767 833345 @prathlimited
  11. upupu255

    SI KWELI Video hii inaonesha watu wakikimbia baada ya kushuka kwenye kivuko Kigamboni

    Wakuu nimekutana na hii video mtandaoni mara nyingi na inadaiwa kuwa ni kivuko cha kigamboni ambapo watu wakishuka huwa wanakimbia kwa spidi kama inavyoonekana kwenye video hiyo. JamiiCheck uhalisia ni upi?
  12. radhiya

    Plots for Sale in Kigamboni Dege

    Plots Available For Sale. Location: Kigamboni Dege, Amani Gomvu area. Descriptions: *Plots located 23km from ferry, 800m from main road. *There are 10 plots in the area. *Each plot has title deed. *You can buy all area or a number of plots. *Suitable for commercial or residential activities...
  13. radhiya

    Plot For Sale in Kigamboni Kisarawe 2

    Plot Available For Sale. Location: Kigamboni Kisarawe 2, Mwasonga road. Descriptions: *12km from main road (Kibada road), 2km from Mwasonga road. *It's near to box factory and Dar es Salaam zoo. *It's 9.6 acre's which is equal to 39,507.11SQM. *Suitable for industrial, commercial or residential...
  14. M

    KERO Kivuko cha Azam Ferry pale Kigamboni ni janga jingine linalosubiri kutokea

    Jamani jamani, wiki iliyopita nilibahatika kupanda kivuko cha Azam pale Ferry Dar es Salaam. Kivuko kinajaa sana na hakuna kinga yoyote iliyoandaliwa pindi tatizo likitokea. Tafadhali, idara ya serikali inayohusika, siku tatizo likitokea mtatueleza nini? Hakuna maboya ya kuogelea, wanaosimama...
  15. H

    NYUMBA INAUZWA 90M IPO KIGAMBONI MWASONGA ENEO LA KIGOBEDI

    Nyumba inauzwa eneo la Kigobedi, Mwasonga, Kigamboni. Ukubwa wa eneo: 580Sqm 3 rooms zote master Sitting room Dining room Kitchen Store Umeme upo kijiji cha jirani kama 500m Nyumba ni mpya haijawahi kukaliwq na mtu ndani. Document zote zipo. Mawasiliano: 0783242247 Barabara ya...
  16. D

    Inahitajika nyumba ya Kupanga Kigamboni haraka.

    Habari wadau. Nahitaji nyumba ya kupanga maeneo ya kigamboni. Nyumba isiwe mbali na barabara ya lami inayotoka ferry , maji yawepo , tiles na aluminium muhimu pamoja na gypsum, bila kusahau Usalama na itapendeza kama kutakuwa na umeme wa kujitegemea. Nyumba iwe na Chumba master, sebule na...
  17. radhiya

    Kiwanja Kinauzwa Kigamboni Tuangoma

    Kiwanja Kinauzwa, kimezungushiwa uzio na kipo kwenye kona (Corner plot). Mahali: Kigamboni Tuangoma, karibu na nyumba ya Mkuu wa Wilaya. Kipo km 1 kutoka barabara ya kuelekea Tuangoma. Ukubwa wa Eneo: SQM 1265. Bei: Tzs Milioni 100. Maongezi yanaruhusiwa. Nyaraka: Hatimiliki. Gharama ya kwenda...
  18. radhiya

    Plot For Sale at Kigamboni Mwasonga

    Plot For Sale. Location: Kigamboni Mwasonga. Along tarmac road, 16km from ferry, 5-6km from Kibada road. Size: SQM 7472. Price: Tsh 600 Million. Document: Title Deed. For further details or to arrange a viewing, kindly contact us. A small viewing fee will apply. Contacts: 0784 829565 or 0767...
  19. radhiya

    Plots For Sale at Kigamboni Dege

    Plots Available For Sale. Location: Kigamboni Dege, Amani Gomvu area. Descriptions: *Plots located 23km from ferry, 800m from main road. *There are 10 plots in the area. *Each plot has title deed. *You can buy all area or a number of plots. *Suitable for commercial or residential activities...
  20. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Mwanaisha Mndeme aomba kuteuliwa kugombea ubunge Kigamboni

    Mchakamchaka wa kuomba kuteuliwa Kugombea Ubunge katika Jimbo la Kigamboni Jijini Dar es salaam zimeanza kupamba moto ambapo leo Katibu wa Idara ya Mambo ya nje ya chama cha Act-Wazalendo Wakili MWANAISHA MNDEME amechukua fomu ya kuomba Chama hicho kumpa ridhaa ya kugombea katika Uchaguzi Mkuu...
Back
Top Bottom