Nauza viwanja vipo 4 vipo kigamboni njia ya kuingia Fun city nyuma ya kituo cha Njano kila kimoja kina sqm 500 kila kiwanja kinaanzia Tshs,28ML kama upo intrested njoo tuyajenge piga hii no 0743921019
Habari ya wakati huu wadau.
Nahitaji nyumba ya kupanga Kigamboni , haswa eneo la Mjimwema au Gezaulole .
Sifa : Nyumba iwe na master bedroom, Sebule na Jiko, isiwe mbali na barabara, Umeme na Maji viwepo.
Kwa mwenye kuweza kunifanikishia hitaji hilo tafadhali naomba tuwasiliane.
Natanguliza...
Mwenyekiti wa Kituo cha Wanahabari Watetezi wa Rasilimali na Taarifa (MECIRA) na Mkurugenzi wa Jamvi Media Group, Habibu Mchange, amepongeza juhudi za Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) katika kudhibiti vitendo vya rushwa, hasa kuelekea uchaguzi mkuu.
Akizungumza na gazeti la...
Habari wakuu
KIWANJA KINAUZWAA KIKO NDANI YA FENCE NI WEWE TU KUJENGA.
HAKINA MGOGORO WOWOTE.
KIGAMBONI MJI MWEMA.
SQM 900+
KARIBU NA LAMI
Bei Milion 50
Hati ipo
Kibali cha ujenzi kipo
📱0754693556
RC Chalamila
Nimesafiri kutoka kwetu "Sumbawanga Town" nikaja Dar kumsalimia bibi huko Gezaulile Kigamboni.
Kutoka Posta nilipitia Feri nikapanda pantoni, kisha basi kwenye kituo cha manasi cha Kigamboni Feri.
Taarifa nilizokutana nazo ni kwamba watumiaji wa stendi ya mabasi Kigamboni Feri...
Habibu Mchange, Mkurugenzi Mtendaji wa magazeti Jamvi la Habari, Times Observer, Tanzania Bora na mengineyo amedaiwa kushikiliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Kigamboni kwa saa kadhaa.
Inadaiwa kuwa Mchange aliitwa TAKUKURU Ijumaa saa tatu asubuhi baada ya siku ya...
Minyukano ya makada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), inayoendelea kupigania Jimbo la Kigamboni imeuibua uongozi wa Chama hicho unaodai haufurahishwi na vitendo hivyo huku ukiahidi kuwashughulikia iwapo hawata jirekebisha.
Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025...
Plots available for Sale.
Location: Kigamboni Dege, Amani Gomvu area, Dar es Salaam.
Descriptions:
Plots located 23km from ferry.
There are 10 plots in the area.
Each plot has title deed.
You can buy all area or a number of plots.
All social services are available.
Suitable for Residential or...
Plot available for sale.
Location: Kigamboni Kisarawe 2, Mwasonga road.
Descriptions:
*12km from main road(Kibada road).
*It's near to Box Factory(Kiwanda cha maboksi) and Dar es Salaam Zoo.
*It's 9.6 acres which is equal to 39,507.11SQM.
*Suitable for Industrial, Commercial or Residential...
Serikali kupitia Halmashauri ya Wilaya ya Kigamboni imekuwa ikitenga asilimia kumi ya mapato ya ndani ili kuwawezesha Wananchi kiuchumi kupitia vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu sambamba na kutoa mikopo yenye Riba nafuu kwa Wajasiriamali wadogo wadogo Ili iweze kuwainua...
Takribani wiki mbili sasa malori yamekuwa yakifunga njia ya kuingia kigamboni.
Hii inaonekana taratibu za malori kuingia na kutoka bandarini hazisimamiwi ipasavyo.
Usumbufu wa watumiaji wengine wa njia umekithiri sana.
Hatuoni Jeshi la usalama barabarani likifanya kazi yake ktk hili...
Plot available for sale.
Location: Kigamboni Kisarawe 2, Mwasonga road.
Descriptions:
*12km from main road(Kibada road).
*It's near to Box Factory(Kiwanda cha maboksi) and Dar es Salaam Zoo.
*It's 9.6 acres which is equal to 39,507.11SQM.
*Suitable for Industrial, Commercial or Residential...
Wote tunaona jinsi mataifa madogo madogo yenye rasilimali chache yanavyofanikiwa kutokana na mipango bora ya usimamizi.
Hali hii inajidhihirisha pia kwa Kigamboni, ambalo linabarikiwa na ufukwe wa bahari wenye umbali wa kilomita 70, wenye mchanga mweupe na mandhari nzuri.
Hata hivyo, kutokana...
Usafiri wa daladala kwa sisi wakazi wa kigamboni ni kero na shida kubwa.
1. Giza likiingia nauli zinapandishwa juu; Zinakuwa tofauti na zile elekezi za serikali.
2. Jioni daladala zinafanya kazi kwa kujisikia saana. Konda awapakize ama awaache kwanza mgombanie daladala. Kisha akiamua ndo...
Plots available for Sale.
Location: Kigamboni Dege, Amani Gomvu area, Dar es Salaam.
Descriptions:
Plots located 23km from ferry.
There are 10 plots in the area.
Each plot has title deed.
You can buy all area or a number of plots.
All social services are available.
Suitable for Residential or...
Plot available for sale.
Location: Kigamboni Kisarawe 2, Mwasonga road.
Descriptions:
*12km from main road(Kibada road).
*It's near to Box Factory(Kiwanda cha maboksi) and Dar es Salaam Zoo.
*It's 9.6 acres which is equal to 39,507.11SQM.
*Suitable for Industrial, Commercial or Residential...
Kigamboni ni eneo potential ambalo kama serikali ikiamua kutengeneza conference facility ya kimataifa, itaondoa kero ya kufanyia mikutano katikati ya jiji na kuathiri shughuli za kijamii.
Kigamboni ni mini Zanzibar na I na utulivu mkubwa na beach safi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.