Habari wanabodi,
Kigamboni sasa imekuwa kama mkoani trafic wenye torch wapo kila barabara, kitu kinachofanya wakazi wa Kigamboni kuhisi kama ni mateso, barabara hazina folen kulazimishwa kutembea speed 50. Mbona Nyerere ,Mandela,Ali Hassan Mwinyi, Barack Obama, Bibi Titi, Morogoro na Bagamoyo...