Wilaya ya Kigamboni Imetengwa?

Wilaya ya Kigamboni Imetengwa?

Tawire

Member
Joined
Apr 21, 2022
Posts
36
Reaction score
70
Ni miaka minne sasa wilaya hii mpya (Km chache kutoka Ikulu ya Magogoni)haijajengwa hata KM 1 ya lami!!!Hayo Maendeleo yanafanyika wapi katika nchi hii?Kwa muhusika yeyoye atakayebisha juu ya habari hii aje na takwimu zake hapa.
 
Ni miaka minne sasa wilaya hii mpya (Km chache kutoka Ikulu ya Magogoni)haijajengwa hata KM 1 ya lami!!!Hayo Maendeleo yanafanyika wapi katika nchi hii?Kwa muhusika yeyoye atakayebisha juu ya habari hii aje na takwimu zake hapa.
Watuletee Kibada- Mwasonga-Tundusongani
Kibada-Mwasonga-kimbiji

Senta kubwa na barabara ina viwanda vingi lakin hakuna kitu cha maana, kutwa nzima imachongwa tu
 
Back
Top Bottom