kibaha

Kibaha is a city, with a population of 128,488 (2012 census), located in eastern Tanzania. It is the capital of Pwani Region. It is located in Kibaha District, one of the six districts of Pwani Region.

View More On Wikipedia.org
  1. JamiiForums Tanzania Tuanze na Malori, yaishie Pwani kwenye Dry port , badala ya kupambana na wenye mabasi, kwenda Mbezi!

    Mabasi yapo Maeneo Mengi ya Dar kwenye ofisi zao Binafsi ili kuturahishia Maisha.sio chanzo cha Foleni! Shida ni Yard na Maloli kila kona, Mkuu wa Mkoa aelekeze nguvu zake kwenye Malori na Dry Port zinazooteshwe kila kukichq! Walitengewa eneo lao Pwani, kwanini waendelee kusumbua maisha ya watu...
  2. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kuna wizi uliokithiri mtaa wa machinjioni kata ya Tangini manispaa ya Kibaha

    Ndugu viongozi na wananchi wenzetu, tunaomba kuwasilisha kero kubwa ya matukio ya wizi yanayoendelea katika eneo la Machinjioni, Kata ya Tangini, Manispaa ya Kibaha. Katika kipindi cha hivi karibuni, wezi wamekuwa wakivunja mara kwa mara maduka ya wananchi na kuiba mali zao. Tukio la hivi...
  3. JamiiForums Tanzania Naomba muongozo namna ya kupata nafasi ya ndugu yangu kujiunga na elimu secondary pale kibaha secondary.

    Wakuu, nina ndugu yangu ambaye anamaliza la darasa la saba mwaka huu, kama ndugu tumeona tumtafutie shule ambayo haitakuwa mbali sana na makazi yetu. Ni mtoto yatima Jibu likaja ni kibaha secondary, huyu kijana anasoma pale olympio primary, sasa kimbembe kimekuja ni namna gani tunaweza kupata...
  4. D

    JamiiForums Tanzania Bilioni 1.8 kusukuma huduma za majitaka Kibaha

    Ujenzi wa mtambo wa kisasa wa kuchakata majitaka unaotekelezwa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) katika eneo la Mitamba, Wilaya ya Kibaha, Mkoa wa Pwani, umefikia asilimia 52 ya utekelezaji. Mradi huo wa kimkakati unatekelezwa kwa gharama ya Shilingi bilioni...
  5. JamiiForums Tanzania KERO Malalamiko kuhusu ubovu wa barabara ya Kibaha-Pangani–Machinjio Mapya

    Nawasalimu, Nawasilisha malalamiko kuhusu hali mbaya ya barabara ya Pangani–Machinjio Mapya. Barabara hiyo imekuwa katika hali mbaya kwa muda mrefu na haijawahi kufanyiwa matengenezo kwa kutumia greda kwa kipindi kirefu, hali inayowasababishia usumbufu na changamoto kubwa watumiaji wa barabara...
  6. JamiiForums Tanzania TANROADS: Zoezi rasmi la tathmini upanuzi wa barabara ya Kibaha - Morogoro litaanza Agosti 2026

    Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) imetoa ufafanuzi kuhusu hoja iliyotolewa na Mdau wa JamiiForums.com aliyeandika "TANROADS ilipima makazi yetu kupitisha Barabara ya Njia Nne (Kibaha - Morogoro) mpaka sasa kimya, kama mradi haupo watuambie" TANROADS imeeleza "Zoezi la awali lililofanyika...
  7. A

    JamiiForums Tanzania KERO Responded TANROADS ilipima makazi yetu kupitisha Barabara ya Njia Nne (Kibaha - Morogoro) mpaka sasa kimya, kama mradi haupo watuambie

    Wananchi tunaoishi kando ya barabara kuu kuanzia Kibaha, Mlandizi hadi Morogoro, tumekuwa tukiendelea kuishi kwa hofu kuhusu makazi yetu, kwani mradi wa upanuzi wa barabara hiyo kuwa njia nne unaohusisha ushirikiano kati ya Sekta Binafsi na Serikali (PPP) haujulikani umekwama wapi! Ni miaka...
  8. JamiiForums Tanzania Kiwanja kinauzwa, Kibaha Maili Moja Loliondo

    KIWANJA KINAUZWA – KIBAHA MAILI MOJA (LOLIONDO) Unatafuta kiwanja kwa ajili ya kujenga nyumba au kuanzisha biashara? Hiki ni fursa nzuri! 📍 Mahali: Kibaha Maili Moja – Loliondo (Kwa Mama Rose) 📐 Ukubwa: 35.62m × 27.12m = 966 sq.m ✅ Kiwanja kimepimwa ✅ Kinafaa kwa makazi au biashara ✅ Umeme...
  9. JamiiForums Tanzania Manispaa ya Kibaha: Huduma ya Mabasi ya Mwendokasi Kibaha - Kimara imerejea leo Julai 6, 2026

    Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha imetangaza kurejeshwa kwa huduma ya usafiri wa Mwendokasi kuanzia leo 06 Julai 2026! Pichani ni mabasi katika Stendi ya Kibaha! Pia soma ~ Mwendokasi imesitisha huduma Kibaha na hakuna maelezo
  10. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kibaha Maili Moja Kwa Mbonde tumeshasahau huduma ya DAWASA, tukiwauliza wanasema maji hayana presha

    Habari ya uzima, ni mimi mwananchi kutoka Kibaha Maili Moja, Mtaa wa Muheza, mtaa wetu wa kwa Mbonde Msikitini hatupati maji kwa wiki mbili sasa na tukiwapiga DAWASA Kibaha wanadai presha ya maji iko chini. Tumechoka sanasana tunanunua maji ya maboza ya kwenye gari kwa gharama ya Sh 70,000...
  11. JamiiForums Tanzania Nyumba inauzwa Kibaha Loliondo

    NYUMBA INAUZWA – KIBAHA LOLIONDO 1. Vyumba 3 2. Sebule 3. Dining 4. Jiko 5. Master Bedroom 📐 Ukubwa wa kiwanja: Mita 20×20 Bei: TZS Milioni 17.5 maongezi kidogo yapo 📞 Wasiliana: 0675 065906
  12. N

    JamiiForums Tanzania RESOLVED Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha imeanza kurekebisha Barabara ya Kibaha–Mpiji na ile ya Tankini–Muheza

    Nikiwa mmoja wa Wananchi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha tunapongeza hatua ya kuanza kwa ukarabati wa Barabara ya Kibaha–Mpiji pamoja na Barabara ya Tankini–Muheza, kufuatia malalamiko niliyowasilisha kuhusu ubovu wa miundombinu hiyo. Pia soma ~ Halmashauri ya Kibaha hizo Tsh. 420M za...
  13. JamiiForums Tanzania Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha: Tumetenga Tsh. 50 kuboresha barabara za Mtaa Kibaha Mwaka wa Fedha 2026/2027

    Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha Mkoani Pwani imetoa ufafanuzi kuhusu hali ya Barabara kutoka Sheli hadi Mpigi na ile ya kuelekea Tankini na Muheza katika Kata ya Mailimoja kwa kusema kuwa ilipeleka kiasi cha Shilingi Milioni 420 kwa mgawo wa Shilingi Milioni 30 kwa kila kata. Taarifa ya...
  14. D

    JamiiForums Tanzania Habari njema kibaha! Mradi wa kisasa majitaka mbioni kukamilika

    Ujenzi wa mtambo wa kisasa wa kuchakata majitaka katika eneo la Mitamba, Wilaya ya Kibaha mkoani Pwani, umefikia asilimia 50 ya utekelezaji wake huku lengo likiwa ni kuimarisha usafi wa mazingira kwa wananchi. Mradi huo unaotekelezwa na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam...
  15. JamiiForums Tanzania Manispaa ya Kibaha yatoa Tsh. Milioni 991.5 kwa Makundi Maalum

    KIBAHA, Halmashauri ya Manispaa ya Kibaha imetoa mikopo yenye thamani ya Shilingi milioni 991.5 kwa vikundi 51 vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu katika robo ya tatu ya mwaka wa fedha 2025/2026, hatua inayolenga kuongeza fursa za kiuchumi, kupanua biashara na kupunguza umaskini kwa...
  16. JamiiForums Tanzania DAWASA yafafanua sababu ya ukosefu wa maji maeneo ya Kibaha hadi Kisarawe

    ‎ DAWASA yaomba radhi wateja kukosekana kwa huduma Kukosekana huduma ya Maji Kibaha hadi Kisarawe.. DAWASA yatoa sababu ‎ Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imetoa ufafanuzi kuhusu changamoto ya ukosefu wa huduma ya maji iliyowakumba wakazi wa maeneo...
  17. JamiiForums Tanzania Shule ya Nursery & Daycare inauzwa Kibaha Maili Moja-Mpigi

    ✨ FURSA ADIMU YA UWEKEZAJI KWENYE ELIMU – SHULE INAUZWA KIBAHA! ✨ Je, unatafuta shule tayari kwa kuanza biashara ya elimu mara moja? Hii ni nafasi ya kipekee kwako! 📍 Location: Kibaha Maili Moja – Mpigi 📐 Ukubwa wa eneo: Heka 1 👨‍🎓 Wanafunzi waliopo: 20 💰 Kila mwanafunzi analipa: Tsh 1.2...
  18. JamiiForums Tanzania Shule ya nursery & daycare inauzwa Kibaha Maili Moja-Mpigi

    ✨ FURSA ADIMU YA UWEKEZAJI KWENYE ELIMU – SHULE INAUZWA KIBAHA! ✨ Je, unatafuta shule tayari kwa kuanza biashara ya elimu mara moja? Hii ni nafasi ya kipekee kwako! Bei ni Milioni 160 Tzs. 📍 Location: Kibaha Maili Moja – Mpigi 📐 Ukubwa wa eneo: Heka 1 👨‍🎓 Wanafunzi waliopo: 20 💰 Kila...
  19. R

    JamiiForums Tanzania Kibaha: Wanaodaiwa kuwa ni Polisi wavamia usiku wa manane na kuwakamata wananchi, watatu hawajulikani walipo

    Wakazi wa eneo la Lupaso, Vikawe wilayani Kibaha mkoani Pwani wameingiwa na hofu baada ya watu wanaodaiwa kujitambulisha kuwa polisi kufanya operesheni ya usiku na kuwakamata baadhi ya wananchi, siku nane tangu kutokee vurugu zilizohusishwa na mgogoro wa ardhi katika eneo hilo. Tukio hilo...
  20. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wachina wa Global Aluminium Ltd cha Kibaha – Zogowale wananyanyasa wafanyakazi wao

    Kuna kiwanda cha kinaitwa Global Aluminium Ltd kipo Kibaha Zogowale, Wachina wanaamrisha mfanyakazi aende kazini kila siku hakuna sikukuu wala weekend. Kama hutaenda unafukuzwa kazi, mikatabao ya uongo, NSSF wanakata, barua upewi, ukimaliza mkataba kiufupi ni manyanyaso. Kuna mchina mmoja yupo...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…