Habari zenu wakuu,
Aya, mara mojamoja sio mbaya
....tangu uzaliwe, uliwahi kutengeneza /kubuni nini cha kwako mwenyewe?
(kwa kutumia elimu ya darasani au akili ya kuzaliwa)
wazee wa zamani hawakuwa na elimu kama tunayoipata sisi, masuala haya ya teknolojia ni mambo ya kisasa wala...