kero

  1. R

    JamiiForums Tanzania TanzLII imekuwa kero sana siku hizi. Haifunguki

    tatizo ni nini? haifunguki ikifika kwenye kuhakiki you are not a bot! Kila sectors ni laana. sasa na hii imekuja kwenye laana .ya kuwa uselessness!
  2. JamiiForums Tanzania Mkuu wa Mkoa yuko sahihi kuhusu Mabasi makubwa DSM, ni kero kwenye barabara za jiji.

    Sisi abiria tuna tabia ya kutaka kushushiwa popote karibu na nyumbani kwetu. Hivyo basi kubwa litalazimika kusimama na kushusha abiria kwenye vituo vidogo vya madaladala na kusababisha usumbufu kwa daladala na magari madogo mjini. Hivyo, hata kama mmiliki wa mabasi anayo terminal kubwa ya kupaki...
  3. JamiiForums Tanzania Ofisi za Serikali zipo lakini simu hazipatikani: Kero kubwa kwa wananchi wa Tanzania

    Hili ni kero kubwa sana kwa wananchi, kwa sababu simu za ofisi za Serikali zinapaswa kuwa moja ya njia rahisi za mwananchi kupata huduma bila kulazimika kufika ofisini. Tatizo linapojitokeza kwamba namba za landline za Halmashauri, Manispaa, Majiji na mashirika ya umma hazipatikani, hazipigi...
  4. A

    JamiiForums Tanzania KERO Arusha: Barabara ya Lamara ni mbovu kwa muda mrefu sana, Wanasiasa kila mara wanaitumia kwenye kampeni bila kuitengeneza

    Barabara ya Lemara imekuwa katika hali mbaya kwa muda mrefu, licha ya kuwa kila kipindi cha uchaguzi baadhi ya wagombea wa udiwani wamekuwa wakiitumia kama sehemu ya kampeni na kuahidi kuiboresha. Hata hivyo, hadi sasa hakuna hatua za maana zilizochukuliwa kuboresha barabara hiyo. Mara kwa mara...
  5. N

    JamiiForums Tanzania KERO Barua ya wazi wa Mkuu wa Usalama Barabarani kuhusu uendeshaji hatarishi wa vyombo vya moto kwenye barabara ya Mbeya - Tunduma

    MADEREVA WA PIKIPIKI NA BAJAJI – MBEYA Barabara ya Mbeya–Tunduma 12 Agosti 2026 Kwa: Afisa Mkuu wa Usalama Barabarani S.L.P 260 Mbeya YAH: OMBI LA HATUA DHIDI YA UENDESHAJI HATARISHI KWENYE BARABARA YA MBEYA–TUNDUMA Ndugu Afisa Mkuu wa Usalama Barabarani, Sisi, waendesha pikipiki na bajaji...
  6. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kitengo cha Ardhi – Halmashauri ya Jiji la Dodoma kuna baadhi za huduma hazijawekwa kwenye mpangilio mzuri

    Naomba Kitengo cha Ardhi katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma kiboreshwe na watumishi wake watekeleze majukumu kwa weledi na uwazi. Kwa baadhi ya viwanja vinavyouzwa kupitia TAUSI, taarifa muhimu kama mpangilio wa kufuatilia plan number na taarifa nyingine hazijawekwa vizuri kwenye mfumo. Hali...
  7. JamiiForums Tanzania Changamoto ya kupoteza simu ni ya kawaida kazi inakuja pale unapofuatilia simu yako hupewi ushirikiano ?

    Changamoto ya kupoteza simu ni ya kawaida kazi inakuja pale unapofuatilia simu yako hupewi ushirikiano na wahusika ambao ni police, mbona wao wanapoibiwa wanafustilia?
  8. JamiiForums Tanzania Kero. Masoko ya M'buyuni na Manyema ya Moshi mjini hamna parking ya magari

    Katika pita pita zangu mjini hapa, nimegundua kuwa kuna kero Moja inayofumbiwa macho na manispaa ya Moshi mjini, masoko ya hapa Moshi mjini, hususani soko la M'buyuni na soko la Manyema, yana ufinyu au hayana kabisa maegesho ya wateja kuegesha magari Yao ili wakapate huduma sokoni. Kero hizi...
  9. A

    JamiiForums Tanzania KERO Walinzi katika Mtaa wa Kidete, Manispaa ya Kahama wamekuwa kero kwa Wananchi, tunaomba msaada

    Habari, Naomba kutumia nafasi hii kuwasilisha kero kuhusu adha wanayopitia wakazi wa Mtaa wa Kidete, Manispaa ya Kahama. Kwa muda sasa, wakazi tumekuwa tukivamiwa na kusimamishwa mara kwa mara barabarani na baadhi ya walinzi wa eneo hili. Badala ya kubaki katika maeneo yao ya kazi na...
  10. L

    JamiiForums Tanzania KERO HII BADO IPO, Bomba la Maji Linavuja tangu May Oleiron Mwanama Arusha.Taarifa zimetokewa Kwa wahusika tangu May.Hakuna hatua

    Kero ya Bomba la Maji kuvuja Oleiron Mwanama Reli Arusha tangu March haijafanyiwa kazi. AUWSA wanapoteza Maji na mapato lakini hakuna anayejali. Barabara imaharibiwa vibaya na Maji hayo,TARURA nao kimya.Uwajibikaji uko wapi siku hizi. Waziri wa Maji na Tamisemi ingilieni kati.
  11. JamiiForums Tanzania Mfumo wa ukaguzi wa magari (MIMIS) hautoi control au ni mimi nakosea?

    Nimejaza taarifa za magari 2 na yote sijapata hata jirani yangu nae hivyo hivyo. Angalia picha
  12. JamiiForums Tanzania Gawio la mitandao ya simu ni kero tupu

    Habari zenu Wanabodi? Natumai mpo vizuri, Niingie kwa mada, Kumekuwa na hizi SMS za mitandao ya simu wakituma Kiasi cha fedha ktk akaunti ya mtumiaji wakidai ni gawio, mara nyingi binafsi huwa napata Tsh 76, na hizi Tsh 200. SASA hoja yangu hapa, ni kuwa hii fedha haisadii kwa lolote kwangu...
  13. A

    JamiiForums Tanzania KERO Walimu ajira mpya 2026 Babati tunachelewa kwa fedha za kujikimu

    Tunaomba msaada wa kutupazia sauti sisi watumishi wa ajira mpya wa mwaka 2026 katika Idara ya Elimu, Halmashauri ya Babati. Hadi leo imepita takribani miezi saba tangu kuajiriwa kwetu, lakini bado hatujapokea fedha za kujikimu ambazo ni stahiki yetu kwa mujibu wa taratibu za utumishi...
  14. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wakazi wa Sinza Mapambano tunaoishi karibu na Mama Wema Sepetu tunasumbuliwa na kelele za muziki nyakati za usiku

    Habari wana jamvi, Sisi wakazi wa Sinza Mapambano, wanaoishi jirani na nyumbani kwa mama mzazi wa Wema Sepetu, tunapitia changamoto kubwa kutokana na kelele za muziki unaopigwa usiku kucha katika sherehe inayofanyika eneo hilo. Kwa mujibu wa taarifa tulizonazo, Wema Sepetu amefanya sherehe ya...
  15. JamiiForums Tanzania Wafanyakazi wa ma Kampuni ni kero wanataka Percent ktk Project za watu

    Wafanyakazi wa makampuni ya ki bongo wanakera sana , inapotokea umefanya kz na kampuni yao wakijua kuna malipo mazuri utapokea , unakutaka mtu anajitokeza Mkuu utaniachaje. Ukichomoa wanakufanyia mizengwe kwenye kupata malipo yako kwa wakati .
  16. M

    JamiiForums Tanzania Kero yangu kubwa ya dawa za mitishamba kuna baadhi ni dawa chungu au zenye kinyaa hazinyweki kirahisi, waweza kutapika

    Nakumbuka hapo zamani nikiwa na 15 niliwahi kuumwa, basi katika kuzunguka kupata suluhisho nililetewa dawa ya asili Ni majani unayachemsha yanakuwa kama chai ya rangi Niliponyanyua kikombe na kukiweka kinywani, ilipogusa ulimu nilishusha kikombe Kwa kujua dawa hio hainyweki kirahisi wengi...
  17. A

    JamiiForums Tanzania HOJA Taasisi ya Kanisa la Upendo Masihi (KIUMA) inayumbishwa na wanasiasa mamlaka za Serikali zipo wapi ?

    Mimi ni mmoja wa wafanyakazi wa Taasisi ya KIUMA katika Idara ya Elimu. Kwa sasa, taasisi imekumbwa na mgogoro wa kiuongozi unaodaiwa kuhusisha wanasiasa na mfadhili wa KIUMA. Kutokana na hali hiyo, baadhi ya vijana wamefutiwa mikataba yao ya ajira, huku wengine wakinyimwa kuongezewa mikataba...
  18. JamiiForums Tanzania KERO Kuchelewa kwa Madaktari kutoa huduma Muhimbili, wengi wanaanza kuhudumia wagonjwa saa 5 Asubuhi

    Nimekuwa nikihudhuria Muhimbili kwa takribani mwezi sasa. Ukweli wagonjwa wanachukua muda mrefu sana kumsubiria Daktari afike. Madaktari wengi wanaanza kusikiliza wagonjwa kuanzia SAA TANO asubuhi wakati kuna watu wamefika toka saa kumi na moja asubuhi. Nashindwa kuelewa wanakuwa wapi alafu ni...
  19. A

    JamiiForums Tanzania KERO Changamoto ya ucheleweshaji wa maombi ya hati kwenye mfumo wa e-Ardhi Dodoma

    Maombi ya hati kupitia mfumo wa e-Ardhi kwa wakazi wa Dodoma bado yanaendelea kuwa changamoto kubwa. Mtumiaji anaweza kufanikiwa kutuma maombi kwenye mfumo, lakini maombi hayo hukaa muda mrefu bila kusonga kwenye hatua za uidhinishaji (approval stages) hadi pale anapomtafuta afisa anayehusika...
  20. A

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Daladala za Igawilo – Soko Kuu (Mbeya) zinaishia Kabwe badala ya kufika Soko Kuu, hiyo ni kero kubwa

    Kila siku asubuhi natumia usafiri wa daladala kutoka Igawilo kwenda katikati ya mji, jijini Mbeya. Kero kubwa tunayokumbana nayo ni baadhi ya daladala kutokufuata njia zilizoandikwa kwenye vibao vyao. Kwa mfano, gari lenye route ya Igawilo – Soko Kuu mara nyingi huishia Kabwe badala ya kufika...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…