kenya

Kenya
Jamhuri ya Kenya ni nchi iliyoko Afrika Mashariki katika ikweta, kando ya Bahari ya Hindi.

Kenya imepakana na Ethiopia (kaskazini), Somalia (kaskazini mashariki), Tanzania (kusini), Uganda na Ziwa Victoria (magharibi), kisha Sudan Kusini (kaskazini magharibi).

Kenya ni nchi mwanachama wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki na wa miundo mingine mbalimbali ya kimataifa.

Mji mkuu ni Nairobi.
  1. Kenya continues to lead in export of meat and meat products, as new Gulf frontier opens

    Did you know that Kenya is a lead exporter of meat and meat products to different destination markets? Yes. Apart from floriculture and horticultural export products that Kenya is widely known for, our Nyama is loved in other countries just as Kenyans love the famous local delicacy Nyama Choma...
  2. Kenya: Mahakama Kuu yazuia mapendekezo ya mabadiliko ya Katiba yenye "utata"

    Marekebisho hayo yangekuwa mabadiliko makubwa zaidi kwa mfumo wa kisiasa wa Kenya tangu ilipoanzisha katiba mpya mwaka wa 2010. Mahakama ya juu nchini Kenya imetangaza mabadiliko ya katiba yenye utata yaliyopendekezwa na Rais Uhuru Kenyatta na washirika wake kabla ya uchaguzi Mkuu mwezi Agosti...
  3. Hakimu akamatwa akiwa na binti mdogo kwenye nyumba ya kulala wageni

    Hakimu akamatwa akiwa na binti wa chini ya umri wa miaka 18 akiwa kwenye nyumba ya kulala wageni Afisa huyo wa mahakama ambaye jina lake limehifadhiwa alinaswa akiwa na msichana huyo wa umri wa miaka 17 katika nyumba ya kulala wageni katika Kituo cha Kaplong huko Bomet. Kamanda wa Kaunti ya...
  4. Kenya opens the only ice rink in East Africa

    Tourism and Wildlife secretary Najib Balala said the reopening of the rink will be a boost to ice-skating games, after Ice Lions, Kenya's only ice hockey team, hit global headlines two years ago. PHOTO | COURTESY Panari Nairobi has reopened its ice rink after two years, the only one in East...
  5. Kenya unveiled a sixth submarine internet cable

    Thirteen years since Kenya welcomed its first ever fibre optic cable, the country has now unveiled a sixth submarine internet cable that promises to offer higher speeds, lower latency and broader bandwidth. The launch of the Pakistan and East Africa Connecting Europe (Peace) cable on Tuesday...
  6. DW: Tishio la baa la njaa Nchini Kenya, Twiga wafa kwa kukosa chakula, zaidi ya robo tatu ya mifugo imekufa kwa kukosa chakula

    Shirika la Habari la Deutsche Welle (DW) Limetoa taarifa ya ukame na tishio la njaa linaloikumba nchi ya Kenya. Katika taarifa hiyo, imeonyesha idadi kubwa ya Twiga waliokufa kwa sababu ya ukame uliosababishwa na mabadiliko ya hali ya hewa. Taarifa hiyo imesema pia mifugo mingi haina chakula na...
  7. Kenya politics

    Kenya is facing a difficult time of general election and difficult economy now as politics are getting critical each and every day.https://WeekendPayout.com/?userid=121552
  8. Kenya: Kupanda kwa bei ya viazi na mafuta kwasababisha migahawa kuondoa chipsi kwenye menyu

    Bei ya mafuta ya kupikia na viazi mviringo imeonekana kuwa tatizo kwa baadhi ya maeneo ya Kenya kiasi cha wauza chakula, Chepchikoni Eateries kuondoa chipsi kati menu yao Mmiliki wa Chepchikoni amesema bei ya mafuta na viazi inasababisha apate hasara. Muuza chipsi mwingine anayetambuli kama...
  9. Kiswahili cha Kenya kinafurahisha sana

  10. Serikali ya Kenya yatumia Ksh 1B kwa wiki kununua wanasiasa wa upinzani, wakati Wakenya wengi wanakufa kwa njaa

    Nchi ya hovyo, hupata viongozi wa hovyo Tony254 dyfre
  11. Kenya: Wasiojulikana wazidi kuua, miili ya wawili yapatikana, idadi ya waliouawa wafikia 29

    Miili miwili kati ya mitatu ya watu iliyopatikana juzi Ijumaa ilikutwa ikielea katika Mto Yala Nchini Kenya. Mmoja ulikutwa umetobolewa macho huku ukiwa umekunjwa na kitambaa katika mdomo, mwingine ukiwa umezungushiwa nailoni juu ya kichwa na kufunika uso. OCPD Charles Chacha wa Yala...
  12. Kenya yaruhusu utoaji mimba

    Mahakam Kuu ya #Malindi, nchini #Kenya imetambua utoaji mimba kuwa ni Haki ya Msingi inayotambuliwa na Katiba ya Kenya. Kuwakamata wanaotoa mimba ni kinyume cha Sheria Polisi nchini humo wamekuwa wakiwakamata watumishi wa Afya na Wanawake kwa tuhuma za utoaji mimba. Kesi ya hivi karibuni ya...
  13. Karibu Kanairo, Karibu Kenya

    Hii expressway mpya 'imeua'...
  14. Microsoft opens multi-billion tech talent hub in Kenya

    Ndio umuhimu wa kuwa nchi yenye watu wenye akili kubwa, nchi yako inachaguliwa kwenye kila uwekezaji unaohitaji matumizi ya ubongo. ======== American tech firm Microsoft has opened a new Sh3 billion ($27 million) office and labs for its premier engineering hub, the African Development Centre...
  15. Kenya kutupa dozi 800,000 za Covid-19 zilizoisha muda

    Wizara ya afya nchini Kenya imetangaza kwamba muda wa matumizi wa zaidi ya dozi laki nane dhidi ya ugonjwa COVID-19 aina ya AstraZeneca umekamilika bila kutumiwa. Idadi ya watu wanaojitokeza kuchanjwa imepungua pakubwa baada ya serikali kulegeza baadhi ya masharti yaliyowekwa kudhibiti...
  16. Kenya2022 Mtihani wa kuwapata wagombea-wenza sahihi wa kiti cha urais Kenya

    Mtihani mkubwa ulioko mbele ya Wagombea wa kiti cha Urais #Kenya (Odinga na Ruto) ni chaguo la Mgombea-mwenza. Chaguo lao wote wawili huenda likabadilisha mchakato mzima wa siasa na kampeni kuelekea Uchaguzi Mkuu Agosti 9. Ni suala la kusubiri tu.
  17. Nini kimepelekea sarafu ya Tanzania kulingana thamani na sarafu ya Kenya hivi karibuni?

    👇👇👇👇
  18. Msaada wa kutuma pesa toka Kenya kwenda Tanzania (Safaricom - M-Pesa)

    Naomba kupewa maeleza step by step namna ya kutuma pesa, toka Kenya kwenda Tz kwa njia ya M-Pesa. Asanteni
  19. Kenya opens third embassy in Southeast Asia

    Kenya has opened a new embassy in Indonesia two years after it pledged to enhance ties with the southeast Asian country. The mission in Jarkata brings to three the diplomatic stations Nairobi has in the region after setting up one in Kuala Lumpur, Malaysia, five years ago. The other is in...
  20. Wanajeshi wa Kenya wauawa katika shambulizi linaloshukiwa kuwa la al-shabab

    Wanajeshi wa Kenya ni sehemu ya walinda amani wa wa AU nchini SomaliaImage caption: Wanajeshi wa Kenya ni sehemu ya walinda amani wa wa AU nchini Somalia Zaidi ya wanajeshi 10 wa Kenya wameuawa katika shambulio la kilipuzi kilchotegwa kando y abarabara kusini mwa Somalia. Wengine watano...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…